Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mtu ni mpumbavu sana!Kwanini mitambo iharibike kama kuna preventive maintanance toka huyo mwehu kaingia madarakani? Maana alisingizia mitambo haikuwa inafanyiwa service. Yeye ana mwaka ofisini service alitaka amfanyie nani? The Sunk Cost Fallacy
Atakua na mashine ya kuchaji!Idadi ya kukatika umeme kwa mwaka inakimbizana na idadi ya Makamba anavyo nyoa kipara chake
Body ina hadi mtoto wa bakhresa!Ile bodi iliyojaa wafanya biashara haya ndio matokeo yake, kipara ni mwizi.
Mbona kipindi cha jiwe hiyo mitambo ilikua airibiki,walamba asali mnatuona sisi wajingaa!Ni kawaida,wewe kirikuu yako huwa haiharibiki?
Harafu saizi mahitaji ya umeme ni makubwa Sana tofauti na kipindi kile..
Ukiwa Waziri wewe umeme hautakatika?
Una uhakika? Unajua kwamba teknolojia huwa haidanganyi?Mbona kipindi cha jiwe hiyo mitambo ilikua airibiki,walamba asali mnatuona sisi wajingaa!
Tukifeli kufanya mabadiliko 2025 ndio basi tena.2025 muichague tena ccm sawa eehhh
Nashangaa na mimi. Inawezekana tatizo ni kubwa kuliko tunavyoambiwa. Au labda tupo kwenye mgao. ME 80 si nyingi kuleta athari kubwa namna hiyo.Unazungumziaje hiyo mikoa 14 iliyotajwa kwenye taarifa
Kipara kaenda kuliua hili shirikaShirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.
Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.
TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.
View attachment 2339972