nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Ile bodi iliyojaa wafanya biashara haya ndio matokeo yake, kipara ni mwizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atamaliza muda wake huku watu ambao wako kwenye mfumo wakiwa wametajirika sana, biashara ya majenereta inaongezeka kwa wingi sana.Mama Atachezewa Sana, Muda
Ingekuwa Mzilankende, Kaagiza PCCB, POLICE, Watu Wanahojiwa
UMEME Ungekuwa Unawaka Chap
Lazima tuhoji kwa miaka 05 iliyopita mbona hapakuwa na mambo ya MItambo kufa mikoa 14 ni sawa na nusu ya Tanzania Bara nzima iko gizani????? Tutarudi kwa wananchi 2025 tutawaeleza tozo, umeme nk ..kutenda kinyume na maelekezo ya mola wako.
Mkuu wanajua 2025 watarudi kwenye uongozi hata kama tusipowachagua.Lazima tuhoji kwa miaka 05 iliyopita mbona hapakuwa na mambo ya MItambo kufa mikoa 14 ni sawa na nusu ya Tanzania Bara nzima iko gizani ????? Tutarudi kwa wananchi 2025 tutawaeleza tozo, umeme nk ..
Evil indeed.Aliposema hao ni wapigadili, alionekana mtu wa propaganda tu. Sasa natumai kila mtu ubongo utamkaa sawa! Msoga Empire is evil
Biblia inajibu zuri la nini mana ya uasiDhambi ni nini?
Kwahiyo unataka kusema nini mbona umekimbilia kwenye maandiko???/Biblia inajibu zuri la nini mana ya uasi
Ila mkuu tusiwe to much negativity nadhani pia Kuna hitlafu ngoja tusubiri tuoneAliposema hao ni wapigadili, alionekana mtu wa propaganda tu. Sasa natumai kila mtu ubongo utamkaa sawa! Msoga Empire is evil
Ujinga tuu huu hapa, kuna mitambo isiyoharibika?Aliposema hao ni wapigadili, alionekana mtu wa propaganda tu. Sasa natumai kila mtu ubongo utamkaa sawa! Msoga Empire is evil
limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha
Tatizo hawa jamaa wamejitengenezea title ya upigaji ndio maana mawazo kama yako yanapata nafasi, kwa sasa ni kama wanashindana kutukamua kati ya Makamba na Mwigulu kuelekea kwenye mbio zao za kuutaka urais.Hapo anatafutwa mtoto wa Tony Blair afungue Symbion Season 2 kwa ajili ya kufidia ukosefu wa umeme [emoji23][emoji23][emoji23] kwa hio mikoa ambapo bwana Februari Marope atajitwalia billion 5 kila siku kama gharama za kuendesha mtambo huku billion 2 zikiishia mfukoni mwake kila iitwapo leo kupitia kampuni hio ya mchongo.
Mfuko wa tozo umenona...wamebuni namna ya kuulamba.Hapo anatafutwa mtoto wa Tony Blair afungue Symbion Season 2 kwa ajili ya kufidia ukosefu wa umeme 😂😂😂 kwa hio mikoa ambapo bwana Februari Marope atajitwalia billion 5 kila siku kama gharama za kuendesha mtambo huku billion 2 zikiishia mfukoni mwake kila iitwapo leo kupitia kampuni hio ya mchongo.