Mitambo ya IPTL imeibiwa na jengo kubaki Gofu. Iliwekwa rehani na Herbinder Seth

Yaani mpaka msaramia mwema anagundua haya maana yake ni kwamba dola ya Tanzania inayaacha haya yatokee mbele ya macho yao hadi waambiwe wachukue hatua ndo watu wanahojiwa.

Katiba mpya inapaswa kuwawajibisha viongozi wote wanaoshindwa kulinda maslahi nchi.

Hongera sana figganigga kwa kutujulisha umma haya madudu
 
Ilikuwa inalindwa na nani na ilikuwa chini ya nani? Sheria inasemaje dhamana ikitoweka chini ya aliyekuwa anaishikilia?
Dhamana zote za serikali zinakuwa chini ya Msajili wa Hazina.
Nchi ngumu hii
 
Kwa hiyo kwa tafsiri nyingine nyingine ni kuwa mali za PAP zimeibiwa mikononi mwa Msajili wa Hazina au? Na itakuwaje akidai mali zake?
Dhamana zote za serikali zinakuwa chini ya Msajili wa Hazina.
Nchi ngumu hii
 
Kwa hiyo kwa tafsiri nyingine nyingine ni kuwa mali za PAP zimeibiwa mikononi mwa Msajili wa Hazina au? Na itakuwaje akidai mali zake?
Atakayelipa siyo msajili wa Hazina bali Kodi yangu na yako...

Nchi hii tumerogwa na hakuna anayesikia makali ya kiwembe
 
Hii nchi haina TISS

Ndo maana kwenye uzi wangu wa Usiri wa TISS niliongelea Usiri wao kwenye ajira haya ndo matokeo
Inasikitisha sana TISS haipo kuisaidia nchi yetu
 
RIP JPM,TAIFA LITAKUKUMBUKA,
Kumkumbuka kwa maovu aliyofanya dhidi ya Watanzania. Kuwaua, kuwabanbikia kesi, kusema uwongo na kuiba fedha na kuziweka China. Kuiba uchaguzi ili awe Rais wa maisha na kutuachia bunge la hovyo
 
Kumkumbuka kwa maovu aliyofanya dhidi ya Watanzania. Kuwaua, kuwabanbikia kesi, kusema uwongo na kuiba fedha na kuziweka China. Kuiba uchaguzi ili awe Rais wa maisha na kutuachia bunge la hovyo
Unachekesha kwakweli
 
Hii nchi haina TISS

Ndo maana kwenye uzi wangu wa Usiri wa TISS niliongelea Usiri wao kwenye ajira haya ndo matokeo
TISS kimekuwa ni kitengo cha hovyo tena chenye URASIMU SANA watu waliopo hawajui hata majukumu yako na wengi wao wanajiropekea tu kuwa yye ni TISS ni hovyo kuliko hovyo
 
Ni kiwango (standard), nadra sana ya uwasilishaji wa mada wa aina hii hapa JF siku hizi.
Taarifa iliyojitosheleza kabisa, isiyokuwa na ushabiki wa aina yoyote.

Pongezi sana kwa kazi hii nzuri.
 
Nitaungana nawe katika "kushangaa" huko!

Lakini tuseme ukweli, kwa hali inavyokwenda, hilo halitakuwa tukio la kushangaza hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…