Mitambo ya IPTL imeibiwa na jengo kubaki Gofu. Iliwekwa rehani na Herbinder Seth

Uache kiherehere wakati huna ujualo, rudi shule ukajifunze kuandika kwa ufasaha, sasa hivi elimu ni bure.
Wewe si ushajitotelea kunifundisha,alafu mbona umepanic sana na ishu ya IPTL au wewe ndo ulikuwaga nyumba ndogo ya Ruge tuliyekuwa tunasikia ulipewa tenda ya kupeleka pale vitambaa vya kufutia mitambo vumbi ukawa unalipwa 100mln kwa mwezi?
 
Aione Magufuli popote alipo mbinguni kwenye file
 
Wewe si ushajitotelea kunifundisha,alafu mbona umepanic sana na ishu ya IPTL au wewe ndo ulikuwaga nyumba ndogo ya Ruge tuliyekuwa tunasikia ulipewa tenda ya kupeleka pale vitambaa vya kufutia mitambo vumbi ukawa unalipwa 100mln kwa mwezi?

Jitahidi unapoandika uweke koma, nukta nk, maana sentensi zako zinageuka kuwa ndefu sana, jambo hili halikubaliki kiuandishi. Huu ni udhibitisho kuwa una upeo mdogo.
 
Jitahidi unapoandika uweke koma, nukta nk, maana sentensi zako zinageuka kuwa ndefu sana, jambo hili halikubaliki kiuandishi. Huu ni udhibitisho kuwa una upeo mdogo.
Nukta unayo wewe nipe niwe naweka.
 
Hii habari inahitaji mambo mawili ,Kwanza serikali ikanishe au ithibitishe

Pili ikithibitisha iseme wezi waliwezaje kufanikisha hii Nia mbovu na vifaa aliuziwa Nani wakati mwenye KAZI navifaa vya umeme ni TANESCO pekee?
Mama yupo busy huku kilimanjaro na sikukuu ya mwanawake
 
Miaka 6 Ikulu mbona alishindwa kuitaifisha iwe ya umma, tukaishia kufanganywa kwamba anainyoosha nchi, kukimbizana na CDM mabarabarani wakati mitambo inaondoka.
Angeitaifisha bilashaka leo hii ungecoment vinginevyo
 
Ndo nachoona mimi hawajamaa watakuja kudai mitambo yao
 
MIMI NI MKAZI WA TEGETA HILO JAMBO NI KWELI LINAFANYIKA. WANAIBA VYUMA NA MALI TOFAUTI ZA KIWANDA. TUNASHUHUDIA PKPK NA MAGARI ZIKITOKA NA VYUMA IPTL.
 
Kumkumbuka kwa maovu aliyofanya dhidi ya Watanzania. Kuwaua, kuwabanbikia kesi, kusema uwongo na kuiba fedha na kuziweka China. Kuiba uchaguzi ili awe Rais wa maisha na kutuachia bunge la hovyo
Na mimba aliyokuachia pia itakumbukwa
 
Hii haina tofauti nayule aliyepoteza photosynthesis.
 
We hacha tu yaani kampuni inalipwa biln 5+kwa mwezi kama bonus bado hapo hawajauza umeme?
Kwa miaka 23 ni Sawa na 5*12*23 billions= 1380 or Trillions 1.38, halafu tunaenda kuomba mkopo WA madawati, like seriously 😳
 

Ukiisoma hii habari nchi hii ina kitendawili kimoja hakijateguliwa.

Kuna hii orodha ya watu was watu kwa mujibu wa imani zao za asili.
Kwa maana si watu wabaya, si magaidi. Wanatabia nzuri sana.

Orodha ni mrefu


Harbinder Singh Sethi
James Rugemalira
Sospeter Muhongo
Anna Tibaijuka
Frederick Werema
Eliachim Maswi
William Ngeleja
Andrew Chenge

Halafu kuna watu hatari sana kwa nchi.
Ni watu hatari kuliko majambazi. Ni magaidi. Hawa wanastahili kufundishwa adabu. Wanastahili kukaa jela miaka hata 10. Hata wakofa huko ni halali yao. Wakiumwa hawastahili kutibiwa labda walipie kama wanavyolipia watu wema

Sijui nataka kuzungumza nini lkn ngoja niishie hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…