Mitambo ya IPTL imeibiwa na jengo kubaki Gofu. Iliwekwa rehani na Herbinder Seth

Miaka 6 Ikulu mbona alishindwa kuitaifisha iwe ya umma, tukaishia kudanganywa kwamba anainyoosha nchi, kukimbizana na CDM mabarabarani wakati mitambo inaondoka.
unataifisha mali imeshuka thamani na kuwa kama taka tu
 
Kumkumbuka kwa maovu aliyofanya dhidi ya Watanzania. Kuwaua, kuwabanbikia kesi, kusema uwongo na kuiba fedha na kuziweka China. Kuiba uchaguzi ili awe Rais wa maisha na kutuachia bunge la hovyo
Wezi na mafisadi pamoja na watetezi wao ndo mlikiona Cha moto wakati wa magufuli
 
Miaka 6 Ikulu mbona alishindwa kuitaifisha iwe ya umma, tukaishia kudanganywa kwamba anainyoosha nchi, kukimbizana na CDM mabarabarani wakati mitambo inaondoka.
Aisee...., Sasa hivi hawakimbizwi mitambo haiondoki ?!!!!!

Au kabla ya JPM kina Ulimboka na yule mwandishi wa habari yaliyomkuta na Polisi hayakutokea ? Au Kesi ya Ugaidi na Mbowe kuweka ndani ni ilikuwa wakati wa nani ?

Mbona tunajitoa ufahamu na kuanza kupambana na mizimu wakati walio hai wanaendelea kufanya yao ? Au tunasubiri wafe ndio tuanze kudeal nao ?

By the way aliyeleta hii kadhia na huu upigaji wa hili janga hata hasemwi..., tusubiri kuwalipa fidia hawa mabwana kama zawadi au kama vile haitoshi hasara na kadhia waliyoshaliingiza Taifa.....
 
Wezi na mafisadi pamoja na watetezi wao ndo mlikiona Cha moto wakati wa magufuli
Na huo wakati hauwezi kurudi. Halafu kati ya sisi na Magufuli nani yuko jehanam anaungua na moto kwa sasa?
 
Kwa miaka 23 ni Sawa na 5*12*23 billions= 1380 or Trillions 1.38, halafu tunaenda kuomba mkopo WA madawati, like seriously 😳
Ndo mana tunapambana nao humu kuwaonyesha kwamba walichokifa ya na wanachokifanya sio sawa,Ni sawa na kulipa chama 800+ kwa mwezi wakati hao unaowalipa hawambui serikali ni malipo hewa tu.
 
Kwa hiyo hao wezi wanakwenda kuanzisha kampuni yao ya kuzalisha umeme au?
 
Kwa hiyo hao wezi wanakwenda kuanzisha kampuni yao ya kuzalisha umeme au?
Kitu Cha haramu siku zote huondoka kiharamu, Ukichukua copper Tani kumi ni Sawa na kg 10,000, Bei ya kg tzs 12,000/- Black market say 10000x12,000 = 120,000,000/- Hajatoka TU!! Huyo mwizi!?
 
Kitu Cha haramu siku zote huondoka kiharamu, Ukichukua copper Tani kumi ni Sawa na kg 10,000, Bei ya kg tzs 12,000/- Black market say 10000x12,000 = 120,000,000/- Hajatoka TU!! Huyo mwizi!?
Alaaaa kumbe madini yaliyotengeneza hiyo michuma ni kopa?
 
lazima kuna uhuni tu unataka kufanyika hapo, hayo HOF engines kwasasa utamuuzia nani? tena yamekaa miaka kadhaa bila kuunguruma. Hapo wametumwa wahuni wafanye uhuni ili mtu ajipigie mahala, TIME IS THE BEST DOCTOR.
Mihela inatafutwa hapo !! Alijisemea Jiwe kila mahali Dili dili dili !!! R.I.p Mwamba !!!
 
Na ndivyo watakavyofanya akina Seth/Ruge wataenda kudai Mahakamani !! Mitambo imeibiwa !! Watoto wa mujini wanacheza Draft tu na kahawa pembeni !!
 
Hizo bilioni 5 mara miaka yote ilopiga kazi Bora wataifishe tu kampuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…