Mitambo ya kuzuia vurugu za uchaguzi wa Rais mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya

Mitambo ya kuzuia vurugu za uchaguzi wa Rais mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya

Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya
View attachment 3220819
Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni hatari sana na mbaya zaidi Polisi wetu wanafanya kazi kwa hasira sana ndugu zangu mnaweza kudhurika vibaya mtakapoleta vurugu
View attachment 3220820
Tangu niifahamu Tanzania na Jeshi la Polisi sijawahi kuona mitambo hatari kama hii iliyonunuliwa miaka hii 2024 - 2025
Wapinzani hawaleti vurugu acheni uongo.

Halafu si muongeze hata ambulance au magari ya zimamoto maana ndio yenye uhitaji mkubwa.
 
Mwafrica ananunua vifaa vya kuumiza ndugu zake, huku anawabeba wageni. Hana vifaa tiba, hana miundombinu, vijana hawana ajira, shida kila kona. Hakika ngozi nyeusi kuna mahala haiko sawa.
 
Mimi ndiyo maana sioni mantiki ya kushiriki hilo zoezi la kupiga kura. Yaani uniibie kura yangu, na bado unaenda kununua gari la kunitishia!!
 
Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya
View attachment 3220819
Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni hatari sana na mbaya zaidi Polisi wetu wanafanya kazi kwa hasira sana ndugu zangu mnaweza kudhurika vibaya mtakapoleta vurugu
View attachment 3220820
Tangu niifahamu Tanzania na Jeshi la Polisi sijawahi kuona mitambo hatari kama hii iliyonunuliwa miaka hii 2024 - 2025
Hizo ni pesa zinazotokana na mfumo wa MUSE,hebu jiulize kwanini bajeti haikai sawasawa
 
Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya
View attachment 3220819
Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni hatari sana na mbaya zaidi Polisi wetu wanafanya kazi kwa hasira sana ndugu zangu mnaweza kudhurika vibaya mtakapoleta vurugu
View attachment 3220820
Tangu niifahamu Tanzania na Jeshi la Polisi sijawahi kuona mitambo hatari kama hii iliyonunuliwa miaka hii 2024 - 2025
Swa na kujenga madarasa mangapi?
 
Mwafrica ananunua vifaa vya kuumiza ndugu zake, huku anawabeba wageni. Hana vifaa tiba, hana miundombinu, vijana hawana ajira, shida kila kona. Hakika ngozi nyeusi kuna mahala haiko sawa.
Hii ni hatari
 
“Apiganiae haki atakuwa na mafanikio tele;

Bali afuataye mambo ya upuuzi atapata umaskini wa kumtosha.
Mithali 28:19.

Nakumbusha tu madhara ya udhalimu, rushwa, ubadhirifu, na matumizi mabaya ya fedha za umma na madaraka
Yana athiri wote walio wa chama na wasio wa chama.
Acha ccm itawale milele
 
Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya
View attachment 3220819
Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni hatari sana na mbaya zaidi Polisi wetu wanafanya kazi kwa hasira sana ndugu zangu mnaweza kudhurika vibaya mtakapoleta vurugu
View attachment 3220820
Tangu niifahamu Tanzania na Jeshi la Polisi sijawahi kuona mitambo hatari kama hii iliyonunuliwa miaka hii 2024 - 2025
Huu ni mtambo?...hahaha...
 
Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya
View attachment 3220819
Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni hatari sana na mbaya zaidi Polisi wetu wanafanya kazi kwa hasira sana ndugu zangu mnaweza kudhurika vibaya mtakapoleta vurugu
View attachment 3220820
Tangu niifahamu Tanzania na Jeshi la Polisi sijawahi kuona mitambo hatari kama hii iliyonunuliwa miaka hii 2024 - 2025
Hakuna dolla iliyowahi ishinda nguvu ya umma pia hakuna mtanbo wa maana hapo raia wakiamua kuliamsha dude.
 
Back
Top Bottom