Ikiwa wameshindwa kuwamaliza kwa miaka zaidi ya 75 sasa, wataweza leo wakati watu washajuwa namna ya kuwanyoifoa mdogo mdogo?KAbla mwaka haujaisha Hezbollah itavunjwa vipande vipande
Ndio hapo sasa unajiuliza.
Kiongozi wao kauliwa, na mtarajiwa wa kumrithi kauliwa, pia mtarajiwa wa mtarajiwa wa urithi nae kauliwa. Halafu bado wanasema tutaanza.
Huu ni ujuha kabisa
patamu sana hapo...baada ya IRON DOME kudhalilika THAAD nae atakubali kudhalilika?leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.
Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,
Kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku ikiripotiwa miji 7 Israel vingora vya hatari vinasikika,makombora yasharushwa na yanatarajiwa kurushwa
Tusubiri tuone uwezo wa THAAD
ngoja tuone maneno mengi ya nini?Kama kweli hezbollah wametoa hiyo kauli, basi kuna wendawazimu wengi ndani ya hezbollah wanaoamini na binadamu wengine ni wendawazimu kama wao.
Yaani kwa wayokwishafanyiwa na Israel, kama kweli wana makombora bora zaidi, wasiyarushe mpaka wasubirie kuwekwa ulinzi wa anga mpya? Mbona wanawafanya watu wengine kuwa hawana akili. Anachofanya hezbollah na Hamas, ndiypo uwezo wao ulipoishia. Kinachobakia ni kubahatisha.
leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.
Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,
Kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku ikiripotiwa miji 7 Israel vingora vya hatari vinasikika,makombora yasharushwa na yanatarajiwa kurushwa
Tusubiri tuone uwezo wa THAAD