Mitambo ya THAAD ishaanza kufanya kazi Israel ,huku Hezbollah wakisema wataanza kushambulia kwa makombola ya kisasa zaidi

Mitambo ya THAAD ishaanza kufanya kazi Israel ,huku Hezbollah wakisema wataanza kushambulia kwa makombola ya kisasa zaidi

Hezbollaah kashakatwa kichwa, kimebaki kiwili wili myahudi anamalizia, jana kuna kijiji huko Lebanon kina ofisi za Hezbollah kimechakazwa vibaya sana na ndege vita za Israel hadi ofisi zote zimekuwa vumbi, yaani wanasema kulikuwa na sites 5 za Hezbollah according to BBC and Al-Jazeera, ni mabomu makali sana yaani ardhi na mahandaki yanageuka kuwa vumbi
 
Kama kweli hezbollah wametoa hiyo kauli, basi kuna wendawazimu wengi ndani ya hezbollah wanaoamini na binadamu wengine ni wendawazimu kama wao.

Yaani kwa wayokwishafanyiwa na Israel, kama kweli wana makombora bora zaidi, wasiyarushe mpaka wasubirie kuwekwa ulinzi wa anga mpya? Mbona wanawafanya watu wengine kuwa hawana akili. Anachofanya hezbollah na Hamas, ndiypo uwezo wao ulipoishia. Kinachobakia ni kubahatisha.
 
Wemua watu hawajaua lengo? Hata wakifa wote basi mtoto atakayezaliwa Leo atafanya
Ndio hapo sasa unajiuliza.

Kiongozi wao kauliwa, na mtarajiwa wa kumrithi kauliwa, pia mtarajiwa wa mtarajiwa wa urithi nae kauliwa. Halafu bado wanasema tutaanza.

Huu ni ujuha kabisa
 
leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.

Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,

Kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku ikiripotiwa miji 7 Israel vingora vya hatari vinasikika,makombora yasharushwa na yanatarajiwa kurushwa

Tusubiri tuone uwezo wa THAAD
patamu sana hapo...baada ya IRON DOME kudhalilika THAAD nae atakubali kudhalilika?
 
Kama kweli hezbollah wametoa hiyo kauli, basi kuna wendawazimu wengi ndani ya hezbollah wanaoamini na binadamu wengine ni wendawazimu kama wao.

Yaani kwa wayokwishafanyiwa na Israel, kama kweli wana makombora bora zaidi, wasiyarushe mpaka wasubirie kuwekwa ulinzi wa anga mpya? Mbona wanawafanya watu wengine kuwa hawana akili. Anachofanya hezbollah na Hamas, ndiypo uwezo wao ulipoishia. Kinachobakia ni kubahatisha.
ngoja tuone maneno mengi ya nini?
nadhani wanamaanisha makombora bora zaidi yanayoweza kupenya hiyo THAAD,huna haja ya kutumia kitu bora zaidi wakati hiki cha kawaida kinaleta faida nso lazma u reserve kilicho bora ili ukitumie kwenye nyakati ngumu sasa THAAD kama ni ngumu basi zitatumika kombora zilizo bora zaidi to parsue THAAD system defence
 
leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.

Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,

Kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku ikiripotiwa miji 7 Israel vingora vya hatari vinasikika,makombora yasharushwa na yanatarajiwa kurushwa

Tusubiri tuone uwezo wa THAAD

Taabu ni kusubiria hadi mitambo zaidi ya kujihami ifungwe
 
Back
Top Bottom