Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
What are those other types ?Zipo nguvu za asili,na zinafanya kazi,that mean we are not alone,human is one type,and there are other types.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What are those other types ?Zipo nguvu za asili,na zinafanya kazi,that mean we are not alone,human is one type,and there are other types.
Viumbe wenzetu wengi tumewatengeneza sisi wenyewe Bila kufahamu.What are those other types ?
So terrifyingViumbe wenzetu wengi tumewatengeneza sisi wenyewe Bila kufahamu.
Ukikatwa inakuaje na ndoa ndio ina miezi 8?Kuna bibi mmoja kutoka Mtwara aliniambia kuna kuna miti unaikabidhi ndoa yako, isimame kama mti ukivyosimama hata kwa miaka 200.
Hii inakua nyuma ya nyumba au shambani kwa mganga, ndiyo hiyo inayoleta kizaa wakati wa kukatwa.Ukikatwa inakuaje na ndoa ndio ina miezi 8?
Hapo chachaMti wenyewe mbona hata siyo mnene !
Kifikra let say ukauona mti fulani ukaunyenyekea ukaanza kuweka mchele unga maziwa ukazidi ukaunyenyekea ukauchinjia mnyama kama ngombe,mkaueshimu mkautamkia maneno ya kuutukuza,hayo maneno yanakwenda kuumba DEMON,that mean circuit completed Demon must born there.So terrifying
Dodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.
Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Nadhani tukupe iyo kazi uifanye, ila madhara si juu ya mtoa tenda[emoji28]Haujashindikana kuondolewa, waliopewa kazi ya kuuondoa ni incompetent.
Kijiji cha Mfuto, Ilolanguru wilaya ya Uyui. Kijiji hiki kina mti ambao ulianguka kwa miaka 3 na ukasimama ghafla tu. Watu wakachukua magome kwa ajili ya dawa. Wanaume 19 waliokunywa magome ya mti huo, nguvu zao za kiume zikaongezeka sana, ikawa tabu kwao[emoji28]. Tabora kuna mambo unaweza kudhani ni movie kumbe ni Live, hii ilitokea mwaka 2014.Weee usiniambiye [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaombe tenda ya kuangusha huo mti.😁😁😁😁Imani potofu tu hiyo inakatika buana