Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kabla huo mti jamaa walikua wanautumia kwa shughul za matambiko na mambo mengine ya kimila,inasadikika kuna mizimu km yote kwenye huo mti na ndio maana haukatikAsihusike kwani chanjo hiyo?.
unaongeza nguvu za kiume au😇🤣🤑
Hili sio tangazo la biashara yako Mkuu? Huo mti bado upo hadi leo?Kijiji cha Mfuto, Ilolanguru wilaya ya Uyui. Kijiji hiki kina mti ambao ulianguka kwa miaka 3 na ukasimama ghafla tu. Watu wakachukua magome kwa ajili ya dawa. Wanaume 19 waliokunywa magome ya mti huo, nguvu zao za kiume zikaongezeka sana, ikawa tabu kwao[emoji28]. Tabora kuna mambo unaweza kudhani ni movie kumbe ni Live, hii ilitokea mwaka 2014.
Mti gani huo dadaKuna bibi mmoja kutoka Mtwara aliniambia kuna kuna miti unaikabidhi ndoa yako, isimame kama mti ukivyosimama hata kwa miaka 200.
Twende ukakate mi ntakusaidia kukupigia makofiImani potofu tu hiyo inakatika buana
Sasa wale wazee wa kubisha uchawi hamna, huu ndio wakati wenu wakuisadia serikali kuuondoa huo mti nenda na panga au shoka lako.Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.
Nenda na panga lako au shoka uwaambie unajitolea kuutoa huo mti.Imani potofu tu hiyo inakatika buana
Waje wanichukue mimi nikaukate bure tena kwa kutumia panga tu. Hawahitaji kunilipa, wanipe usafiri tuMenejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.
Unaona tundu lakini ukibeba kitu kwa ajili ya kukiweka humo utakuta pamejiziba, tulishindwa.Hapo kwenye tundu watupie bomu waone kama hawakukuta imekuwa karatasi [emoji23][emoji23]
Ukianguka kesho my sweet sisterKuna bibi mmoja kutoka Mtwara aliniambia kuna kuna miti unaikabidhi ndoa yako, isimame kama mti ukivyosimama hata kwa miaka 200.
Nusu kwa nusu, hakuna kupunjana.Mambo ya Tabora hayo[emoji28]View attachment 1978631
Wanipe tenda, panga moja mti chiniImani potofu tu hiyo inakatika buana