Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Asante hayati rais Magufuli kwa kuileta mbuga ya Nyerere
 
Kijiji cha Mfuto, Ilolanguru wilaya ya Uyui. Kijiji hiki kina mti ambao ulianguka kwa miaka 3 na ukasimama ghafla tu. Watu wakachukua magome kwa ajili ya dawa. Wanaume 19 waliokunywa magome ya mti huo, nguvu zao za kiume zikaongezeka sana, ikawa tabu kwao[emoji28]. Tabora kuna mambo unaweza kudhani ni movie kumbe ni Live, hii ilitokea mwaka 2014.
Hili sio tangazo la biashara yako Mkuu? Huo mti bado upo hadi leo?
 
Pwani kuna mijamaa kazi yao ni kukata mibuyuuu na wanaumalizaa kabsaaa ..... siri zao hazisemwagi hadharani

anyway labda mti utasogea wenyewe pembeni ukinenewa kwa lugha
 
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

Sasa wale wazee wa kubisha uchawi hamna, huu ndio wakati wenu wakuisadia serikali kuuondoa huo mti nenda na panga au shoka lako.
 
Weka baruti yenye uwezo wa kulipua tani moja hapo kwenye mti utapatikana mkaa wa kupikia supu ya mbwa.
 
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

Waje wanichukue mimi nikaukate bure tena kwa kutumia panga tu. Hawahitaji kunilipa, wanipe usafiri tu
 
Mzilankende Angeung'oa Huo Kama Alivyowapa Wazee Pombe Sumbawanga Wakati Anajenga Madaraja
 
Kagogo kadogo eti serikali imeshindwa kukata
 
Mambo ya Tabora hayo[emoji28]
IMG-20211018-WA0071.jpg
 
Chainsaw kabisa imevutwa mafuta ishindwe kudondosha hako kamti?
Bulldoze (kijiko?) Lishindwe kungoa hako kajiti?
Nitakuwa wa mwisho kuamini.
 
Back
Top Bottom