Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Hawajataka
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

HAWAJATAKA KUUKATA TU. Yote kwasababu na wao wana imani za kishirikina wanauogopa. Utakatwa tu. Siku hizi sio kila mtu mjinga.
 
Imani za kijinga sana hizi, hiyo story imepikwa kwa ajili tu ya kuwavutia watu kwenda kutalii.
 
Dodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.

Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Mkuu acha basi ule mbuyu pale St .Gasper nao una mambo?
 
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali...
Sio huyu mwamba
1634584395680.jpeg
 
Ukiona mtu haamini haya mambo bado mtoto mdogo. Kariakoo maeneo ya kamata, shirika la reli liliamishia kituo cha train kwamuda, eneo lile palikuwa na makaburi sasachaajabu makaburi yote wameyafukua lakn lipo moja lilishindikana had leo lipo anaebisha aende akaangalie. Hilo ni kaburi la chifu Kibasila.
Sehemu gani pale

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

Hiyo ni mbinu ya ki propoganda ili uma ujue kuna barabara iko kwenye ujenzi huki
 
Dodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.

Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Hata Namanga Mbuyuni ule mbuyu uko katikati ya barabara walishindwa kuutoa

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

This cant be! Hiyo mitambo ni mitambo inashindwa kuundoa mti?
 
Ukitoka Pasiansi-Mwanza kama unaenda Airport mitaa ya (Iloganzala) kuna mti ulikuwa unakatwa kwa upanuzi wa barabara, mti ulikuwa unalia na kutoa damu,

Duniani kuna mambo ....

Tukuyu-Mbeya, bibi alikuwa anatuambia kuna miti huwa inasafiri usiku, basi kulikuwa na uwanja mkubwa alafu kulikuwa na mti mkubwa unaambiwa nyakati zingine usiku ulikuwa ukienda uwanjani hapo unakuta mti umesafiri (haupo eneo lile),ukienda tena asubuhi unaukuta

Duniani kuna mambo ....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitoka Pasiansi-Mwanza kama unaenda Airport mitaa ya (Iloganzala) kuna mti ulikuwa unakatwa kwa upanuzi wa barabara, mti ulikuwa unalia na kutoa damu,

Duniani kuna mambo ....

Tukuyu-Mbeya, bibi alikuwa anatuambia kuna miti huwa inasafiri usiku, basi kulikuwa na uwanja mkubwa alafu kulikuwa na mti mkubwa unaambiwa nyakati zingine usiku ulikuwa ukienda uwanjani hapo unakuta mti umesafiri (haupo eneo lile),ukienda tena asubuhi unaukuta

Duniani kuna mambo ....


Sent using Jamii Forums mobile app
Unkuju(utukuju)
 
Back
Top Bottom