Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Hizi habari ndizo wanasimuliana watoto. Mtu na ndevu zako huwezi amini ishu hizi.Ukiona mtu haamini haya mambo bado mtoto mdogo. Kariakoo maeneo ya kamata, shirika la reli liliamishia kituo cha train kwamuda, eneo lile palikuwa na makaburi sasachaajabu makaburi yote wameyafukua lakn lipo moja lilishindikana had leo lipo anaebisha aende akaangalie. Hilo ni kaburi la chifu Kibasila.