Haaaaa malipo kwa force accountTukupe tender ukakate?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaa malipo kwa force accountTukupe tender ukakate?
Yes, ni 2015 hiyo, Kijiji kinaitwa Nkrurusi Wilaya ya TaboraDodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.
Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Mila zenyewe ndio hizo unataka kukata mti ufanye maendeleo mti hautaki, lini utaondoka haijulikani, sasa ni mila gani hizo??? aacha mzungu aitwe mzungu.Huko Shinyanga Kuna kajumba ka bibi fulani, kila wakikiondoa kesho yake kipo vilevile. Wakaachana na kijumba na kupindisha barabara. Hayo ni mambo yetu ya Afrika, tulidharau mila zetu na kukumbatia utamaduni wa kizungu.
😂😂😂😂😂😂Imani potofu tu hiyo inakatika buana
Chang'ombe walishaiondoa ilibidi nasikia wamtumia mjukuu wa bibi, yule bibi alikua na mjukuu wake anampenda sana ndo akipika bibi anakula la sivyo hali, wakamseti dogo na kumpatia nyumba sijui wapi?
Bibi akapikiwa chakula na mjukuu kisha mjukuu akamchanganyia na dawa za usingizii, bibi anazinduka yuko kwingine uko ndo kufanikiwa kuivunja ile nyumba pale.
Ila Makulu pale karibu na sheli GP88 ndo imeshindikana kila wakija wanaona bahari nyumba haionekani. SGR imepita pembeni yake aisee![emoji28]
Greda liligoma itakuwa hako ka kiwembeChombo hiki hapa leteni huo mti View attachment 2092936
😂😂😂😂 wanaume waliamua kujiongezawanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza
Huo sio mti tu km unavyouona!Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.
Aisee[emoji848]Miti ina mambo mengi bana kilimanjaro kule wakati wanajenga barabara ya lami Rombo miti ilikua inatoa damu ikikatwa,
Sio nguvu za asili ni nguvu za Giza hapoZipo nguvu za asili na zinafanya kazi,that mean we are not alone,human is one type, and there are other types.
Ndio umeongea nini sasa,watu wengine bwana utafikiri wanasoma chekechea...hovyo kabisaImani potofu tu hiyo inakatika buana
Ni nguvu za Giza tu ! Lucifer ktk ubora wake! Demon ni mapepoKifikra let say ukauona mti fulani ukaunyenyekea ukaanza kuweka mchele unga maziwa ukazidi ukaunyenyekea ukauchinjia mnyama kama ngombe,mkaueshimu mkautamkia maneno ya kuutukuza,hayo maneno yanakwenda kuumba DEMON,that mean circuit completed Demon must born there.
Unafikiri walikata tu?Mbona wachina sijui wajapani wakati wa ujenzi wa morogoro road pale manzese waliukata mti ,ulikuwa na imani kama hizi walikuja usiku wa manane wakaukata aubuh hakuna stori kama hii.
Ni nguvu za Giza,unakuta ni madhabahu hizo.Kijiji cha Mfuto, Ilolanguru wilaya ya Uyui. Kijiji hiki kina mti ambao ulianguka kwa miaka 3 na ukasimama ghafla tu. Watu wakachukua magome kwa ajili ya dawa. Wanaume 19 waliokunywa magome ya mti huo, nguvu zao za kiume zikaongezeka sana, ikawa tabu kwao[emoji28]. Tabora kuna mambo unaweza kudhani ni movie kumbe ni Live, hii ilitokea mwaka 2014.
[emoji23]duhHii siyo Shinyanga ni Mwanza barabara inayooandisha Bugando.
Ila unatakiwa watumishi wa Mungu wa kweli tu wenye nguvu za Mungu kumaliza hivyo vitu na inaisha sio tens kwenda kwenye nguvu za giza.Hayo mauza uza yapo ni lzm uongee na wazee wakupe ruhusa.Maeneo mengine ni kambi za kutunzia misukule, matambiko,madhabau za kichawi,milango ya kuzimu,nk.