Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Yes, ni 2015 hiyo, Kijiji kinaitwa Nkrurusi Wilaya ya Tabora
 
Huko Shinyanga Kuna kajumba ka bibi fulani, kila wakikiondoa kesho yake kipo vilevile. Wakaachana na kijumba na kupindisha barabara. Hayo ni mambo yetu ya Afrika, tulidharau mila zetu na kukumbatia utamaduni wa kizungu.
Mila zenyewe ndio hizo unataka kukata mti ufanye maendeleo mti hautaki, lini utaondoka haijulikani, sasa ni mila gani hizo??? aacha mzungu aitwe mzungu.
 
SIBISHI [emoji817]
 
Huo sio mti tu km unavyouona!
Ni madhabahu ya Giza!
 
Ni nguvu za Giza tu ! Lucifer ktk ubora wake! Demon ni mapepo
 
Mbona wachina sijui wajapani wakati wa ujenzi wa morogoro road pale manzese waliukata mti ,ulikuwa na imani kama hizi walikuja usiku wa manane wakaukata aubuh hakuna stori kama hii.
Unafikiri walikata tu?
 
Ni nguvu za Giza,unakuta ni madhabahu hizo.
Tabora hukohuo pia,kuna mtumishi alikuwa anaombea eneo,vunja madhabahu za giza na kusimamisha madhabahu ya Mungu!
Weee kuna mti wa miaka ulikuwa unaogopwa,ulianguka wenyewe mpk mizizi ikang'oka ,ukiwa mbichi kabisa kipindi km cha masika!

Kesho yake asubuhi wakakuta moto unawaka ndani ya mti km vile mti mkavu ,na mtu kawasha moto humo ndani,uliwaka zaidi ya siku 2 mpk uliteketea!
 
Hayo mauza uza yapo ni lzm uongee na wazee wakupe ruhusa.Maeneo mengine ni kambi za kutunzia misukule, matambiko,madhabau za kichawi,milango ya kuzimu,nk.
Ila unatakiwa watumishi wa Mungu wa kweli tu wenye nguvu za Mungu kumaliza hivyo vitu na inaisha sio tens kwenda kwenye nguvu za giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…