Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Aisee[emoji848]Ukiona mtu haamini haya mambo bado mtoto mdogo. Kariakoo maeneo ya kamata, shirika la reli liliamishia kituo cha train kwamuda, eneo lile palikuwa na makaburi sasachaajabu makaburi yote wameyafukua lakn lipo moja lilishindikana had leo lipo anaebisha aende akaangalie. Hilo ni kaburi la chifu Kibasila.
Aiseee we need GodNaujua mbuyu karibu na st.Gaspar mashine zote zilifeli kuukata n nyumba moja katika barabara ya wajenzi chang'ombe ni mtiti .Ulishawahi kuona greda au Backactor lina pinduka basi hayo yalitokea maeneo hayo.
Sehemu gani?Hivi mnaobisha kila kitu, mshawauliza Tanesco pale Iringa ilikuwaje wakahamishia nguzo upande wa pili wa barabara kisha mbele zikarudi upande wake? Msibishe tu kila kitu hakuna hakuna, tembeeni ongeeni na watu mpate maarifa ya ziada
Umeona eehMila zenyewe ndio hizo unataka kukata mti ufanye maendeleo mti hautaki, lini utaondoka haijulikani, sasa ni mila gani hizo??? aacha mzungu aitwe mzungu.
Hako unakokadharau, kanaangusha mti unaoweza kukushangaza!Greda liligoma itakuwa hako ka kiwembe
Ila Nyumba za waganda masikini walibomoa na wengine hata fidia walizisikia kwenye bomba sio?Waganda waliikwepesha barabara wakaiacha mahakama ya kikoloni bila kuigusa
Mbuyu unakatwa kirahisi sana kwa kutiliwa sumu tu unakufa kisha shuhuli nyingine ya kuudondosha inaendeleaPwani kuna mijamaa kazi yao ni kukata mibuyuuu na wanaumalizaa kabsaaa ..... siri zao hazisemwagi hadharani
anyway labda mti utasogea wenyewe pembeni ukinenewa kwa lugha
Tumezoea kuyaita greda lakini ni ma excavator na backactor zilishindwaHako unakokadharau, kanaangusha mti unaoweza kukushangaza!
By the way, greda halina uwezo wa kuondoa mti.. labda uzungumzie wheel loader au excavator!