Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niseme ukweli sijawahi kununua Tinder na badoo kabla haijavamiwa. huwa napata vya buremzee hiyo app unaweza kula kijiji kizima.
na nilivyogundua now kila mwanamke anajiuza inatofautiana njia ya kujiuza tu
Ila na yenyewe sio mbaya imo imohebu jaribu kuwa member wa hiyo mitandao utajua Hi5 si kitu
Mimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...Shida ni unaweza kutana na lidume lenzako
Shida ni unaweza kutana na li shoga
Shida ni unaweza kutana na mtu kaeka picha za ndugu zake
Siwezi jitosa kukufata kisa nimevutiwa na picha yako "sidanganyiki maaaama,nipo na yethuuuuuu"
umekipata ulichokitafuta,sio mbaya saaaana 😂 😂Mimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...
Nimekutana na dem wa brazili kumbe ni lishoga.. Alafu lina manyonyo makubwa... Nilichati nae whatsapp karibia masaa mawili likaniomba picha, nikamwambia anitumie zakwake kwanza... Kumbe ni lishoga dah
hahahaha mzeee unaendaje kichwakichwaMimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...
Nimekutana na dem wa brazili kumbe ni lishoga.. Alafu lina manyonyo makubwa... Nilichati nae whatsapp karibia masaa mawili likaniomba picha, nikamwambia anitumie zakwake kwanza... Kumbe ni lishoga dah
Duh, alafu eti kaolewa anachati ananiambia mume wake ana mb*oo ndogo kwaiyo ndoa imemchosha.. Alafu manyonyo saa sita, naliuliza una mtoto linacheka cheka....umekipata ulichokitafuta,sio mbaya saaaana [emoji23] [emoji23]
Nilikuwa natafuta Mzungu[emoji23][emoji23]hahahaha mzeee unaendaje kichwakichwa
🤣 🤣 🤣 🤣Duh, alafu eti kaolewa anachati ananiambia mume wake ana mb*oo ndogo kwaiyo ndoa imemchosha.. Alafu manyonyo saa sita, naliuliza una mtoto linacheka cheka....
Nimelipiga block na mtandao nimeufuta..
Sasa hii si ndio sababu hasa inatakiwa kuwepo?
Hi5 ???
Bado kabisa kuna mtandao hujautaja ambao ukitaka rafik wa nchi yoyote dunian unampata leo leo
Sana sana wazungu yaaani ni nje nje kuwapata
Unataka ukajiunge?
Nasubiri ruhusa yako tu, kama ukiruhusu nijiunge mimi nani wa kupinga?Unataka ukajiunge?
Endelea hivyo hivyo kuniogopaSiku hizi baada ya kubadilisha avatar nakuogopa!
Na unategemea nitakuruhusu?Nasubiri ruhusa yako tu, kama ukiruhusu nijiunge mimi nani wa kupinga?