Mitandao 10 maarufu ya kijamii ya kutafuta wachumba, yaani huku ni ushindwe wewe tu

Mitandao 10 maarufu ya kijamii ya kutafuta wachumba, yaani huku ni ushindwe wewe tu

Shida ni unaweza kutana na lidume lenzako

Shida ni unaweza kutana na li shoga

Shida ni unaweza kutana na mtu kaeka picha za ndugu zake

Siwezi jitosa kukufata kisa nimevutiwa na picha yako "sidanganyiki maaaama,nipo na yethuuuuuu"
Mimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...

Nimekutana na dem wa brazili kumbe ni lishoga.. Alafu lina manyonyo makubwa... Nilichati nae whatsapp karibia masaa mawili likaniomba picha, nikamwambia anitumie zakwake kwanza... Kumbe ni lishoga dah
 
Mimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...

Nimekutana na dem wa brazili kumbe ni lishoga.. Alafu lina manyonyo makubwa... Nilichati nae whatsapp karibia masaa mawili likaniomba picha, nikamwambia anitumie zakwake kwanza... Kumbe ni lishoga dah
umekipata ulichokitafuta,sio mbaya saaaana 😂 😂
 
Mimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...

Nimekutana na dem wa brazili kumbe ni lishoga.. Alafu lina manyonyo makubwa... Nilichati nae whatsapp karibia masaa mawili likaniomba picha, nikamwambia anitumie zakwake kwanza... Kumbe ni lishoga dah
hahahaha mzeee unaendaje kichwakichwa
 
Duh, alafu eti kaolewa anachati ananiambia mume wake ana mb*oo ndogo kwaiyo ndoa imemchosha.. Alafu manyonyo saa sita, naliuliza una mtoto linacheka cheka....


Nimelipiga block na mtandao nimeufuta..
🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom