ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
Mie nakutafuta sana cjui nakupata site gani kati ya hizo?Na unategemea nitakuruhusu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nakutafuta sana cjui nakupata site gani kati ya hizo?Na unategemea nitakuruhusu?
Endelea hivyo hivyo kuniogopa
[emoji23][emoji23][emoji23] mwangu mmoja hv alikutana na shoga Eskim hukoShida ni unaweza kutana na lidume lenzako
Shida ni unaweza kutana na li shoga
Shida ni unaweza kutana na mtu kaeka picha za ndugu zake
Siwezi jitosa kukufata kisa nimevutiwa na picha yako "sidanganyiki maaaama,nipo na yethuuuuuu"
[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana ndio moja ya matatizo ya kutafuta mchuchu online.Mimi jana nimeona uzi wa badoo.. Nikapata hamasa nikaipakua kwenye simu yangu...
Nimekutana na dem wa brazili kumbe ni lishoga.. Alafu lina manyonyo makubwa... Nilichati nae whatsapp karibia masaa mawili likaniomba picha, nikamwambia anitumie zakwake kwanza... Kumbe ni lishoga dah
[emoji23][emoji23][emoji23] unataka uwekama konde boy.Nilikuwa natafuta Mzungu[emoji23][emoji23]
Yethuuu na wewe, wewe na yethuuuu, hamuachani. Kama Barnabas na mziki.😁Shida ni unaweza kutana na lidume lenzako
Shida ni unaweza kutana na li shoga
Shida ni unaweza kutana na mtu kaeka picha za ndugu zake
Siwezi jitosa kukufata kisa nimevutiwa na picha yako "sidanganyiki maaaama,nipo na yethuuuuuu"
Hujamshauri awe na yethuuuuu, all the time.😂😂😂umekipata ulichokitafuta,sio mbaya saaaana 😂 😂
Chura zipo huko...!Hakuna kama Badoo
Na huyo kipepeo amefata maua ya hapo chini chini.😁😁😁Bado zijaona mtandao mzuri wa kuzozea kama enzi za S.L.PView attachment 1266156
kwakweli mwana waneeeYethuuu na wewe, wewe na yethuuuu, hamuachani. Kama Barnabas na mziki.😁
Ulivyoitikia vizuri daaaah😂😂😂 nimependa na bure.kwakweli mwana waneee
Yako wapiMajivuno ya vimbaombao!
Hapana sitegemei hilo babeNa unategemea nitakuruhusu?
Upi huo utaje hapa au ni pmBado kabisa kuna mtandao hujautaja ambao ukitaka rafik wa nchi yoyote dunian unampata leo leo
Sana sana wazungu yaaani ni nje nje kuwapata