Mitandao 10 maarufu ya kijamii ya kutafuta wachumba, yaani huku ni ushindwe wewe tu

Mitandao 10 maarufu ya kijamii ya kutafuta wachumba, yaani huku ni ushindwe wewe tu

Kwa ushauri wangu kama lijendari kwenye hii mitandao.

1. Kuna mitandao mingine haipatikani Tanzania kama zoosk(match.com) huo huku kwetu haupatikani.

2. Mitandao mingine ni lazima ulipie kama huo lovoo, eharmony, happn, nk, hii iko serious kwa ajili ya serious relationship.

3. Eskimi, Badoo na Hitwe hapo tegemea mashoga, malaya waliokubuhu wale wa kinondoni wa zamani, wengi huweka picha sio zao, kwa ujumla machangu wachafu utawakuta huko. Miaka ile ya 2012-2015 ilikua angalau, tuliowahi kulibahatika kula watoto wazuri genuine huko, kuna watoto 2 niliwala huko hadi leo ni washkaji zangu ni wazuri balaa alafu walikua bado wabichi.

4. Tinder, Tantan na Tagged hapa tegemea malaya na watoto wazuri, hii mitandao angalau wanawake wengi humu ni halisia na huweka picha zao (sio wote), bado haijavamiwa na machagu na mashoga, wako strict lwenye policy zao, mtu akireport kuhusu wewe wanaku-block mazima ukienda kinyume na policy zao. Mimi binafsi siku hizi niko hapa zaidi. Nakula watoto genuine sana hapa. Huku hata wanawake wazuri wa kuoa unawapata. Tinder unaweza kupata wanawake wa kula nao good time na wa kuoa, ni wewe tu ila kuna wanawake wazuri.

5. Instagram na Facebook. Hii inajulikana ingawa wengi humu hua huwezi kuwala ndani ya siku chachr ila ukiwa mvumilivu unakila watoto wazuri humu kila siku, cha msingi uwe tu na jitihada za kutext warembo. Mfano innstagram nenda search location yako, itakuletea watu wote walio karibu na wewe, kazi yako inakua ni kuangalia warembo na kuwatext, mnahamia kitandani.

6. Mtu akikuomba urafiki facebook au instagram huku ana followers wachache na hana profile picture na hana post yoyote ujue huyo ni shoga, kua makini. Mashoga wananitongoza on daily basis sijui hata wananitafta nini. Sijawahi kula shoga wala kuwaza kuwala ila kila mara lazima nitongozwe na lishoga.

Siku hizi nikisikia mtu kabaka namshangaa sana, unabaka wakati zimezagaa namna hii, au nasikia mtu anapiga punyeto, nashangaa sana.
 
Mbio za 160kph huwa zinanihusu ninapokuta kuna kulipia
20191119_082607.jpeg
 
Tinder inatakiwa kuwa namba moja; haijawahi kunianguasha juzi imenipa mtoto moja mkali na mtamu sana; shida yake ilikuwa dudu tu.

Kinachoanza kuniboa kuna wale wadada wa Badoo inaonekana wameshaanza kuingia kule mpka vya bure vinaanza kuadimika
Changamoto wanataka uweke picha yako halisi
 
Back
Top Bottom