Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

bado nasubiria ufafanuzi wa kilichokosewa hapo boss
 
Boc wangu nikuulize ,ikiwa mm nimekuja na panga nukupiga kwa nguvu kwenye kichwa chako tena kwenye makali lkn ukakwepa ukasalimika unapokwenda mahakamani mashahidi wako lzm waseme ulitaka umuue risasi 18 had20 walikusudia nn ,sisemi nani wala sijashuku ila kabla ya kusema tafakar ww ukigezewa tu bastola unakufa mj kwa mj ww ,mwenzako kammniwa risasi ubabwabwaja tu hujui ulisemalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtasingizia kila mtu na kila nchi,ila ukweli magufuli,alitamka mwenyewe kwa mdomo wake,ifikapo 2020 atakua ameua upinzani.sasa akiuwa upinzani,wapinzani watakua hai ? Si atakua kesha wauwa nao ?hakuishia hapo,akasema alipeleka zombie Zanzibar wakileta fyokofyoko..... !sasa hilo furushi la fyokofyoko,Lina risasi na mabomu,risasi zinapigwa kwenye miti?mabomu yanatupwa kwenye mawe si kwa watu tena CUF ili waibiwe kura zao ? Msituongopee hakuna mtu mbaya hapo ni ccm wenyewe na raisi wao ndo wauaji wa wapinzani akiwemo Lisu piriodi.Mungu usiache upotoshaji huu kuendelea tenda jambo ccm itumbukie ktk shimo ililowachimbia wapinzani.watumbukie na kujizika wenyewe,Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kama serikali ya Magufuri ingemtaka kumuua nadhani wasingekosea. Hizo ni propaganda za kuchafua Rais wetu. Hata wao Chadema wanaweza kufanya hivyo ukiangalia vizuri kifo cha Chacha Wangwe hapana shaka nao chadema hawaaminiki

Sent using Jamii Forums mobile app
''A wiseman speaks because he has something to say,but a fool bevause he has to say something'' You are fool.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila kitu kina wakati wake mkuu ulitaka wasiandike habari ya mbunge kupigwa risasi cku ya leo waandike habari gani?
Mambo hayatokei kwa bahati mbaya tu,siku hiyo hiyo,wakati serikali inapokea ripoti mbili za almasi na tanzanite,mbunge ambaye amekuwa akiipinga serikali kwa utaratibu wake wa kushughurikia makinikia,anapigwa risasi,hii sio bahati mbaya,dunia ya Leo,chochote kinawezekana
 
Wanasiasa woooote walio uawa ni Magu? Anzia kwa Sokoine hadi Mtikila. Hii ni hujuma kubwa dhidi ya Magu. Siamini upuuzi huu na tuache ushabiki wa kipumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi?? sidhani kama wao wanamjua Magufuli zaidi yetu sisi anayetutawala pia tatizo Watanganyika wengi kwa kufata ushabiki wanashindwa kujua nchi hii inapigana vita gani kwa sasa kwenye vita mbinu zote utumika kwa adui kuweza kugawanya au kukatisha tamaa mm sidhani kama Lissu alikuwa ni threat kuanzia kiuchumi,kijamii au kiusalama namna hyo mm naamini wenzetu wameamua kupigana vita vyingine vita ambayo ni mbaya sana yote ni kumfrustrate na kumchafua kiongozi wetu mbele ya jamii za kistarabu duniani namwonea huruma sana Rais wangu anapambana na watu wenye kila mbinu ikiwamo za kimafia Wacanada kupitia makampuni yao ya Goldcorp,Barrick Gold,Eldorado Gold,Yamana Gold na Kinross Gold ndio wamiliki na wauzaji wa karibu 85% ya dhahabu yote duniani huku
De Beers Group of Company ambao kwa sasa ndio wamiliki wa mgodi wa diamond wao wanamiliki 90% ya soko la Almasi duniani so naona vita tunayopigana sasa ni ngumu kwani siku zote matajiri wakiona fedha imeshindwa kufanya ushawishi au kazi njia pekee wanayotumia ni umafia tu

Hapo mwisho mkuu!!
Kama njia ni umafia, kwa nini hao jamaa wamtarget Lissu wkt yeye hausiki na dhahabu yao?



aeiou
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira
watu wanaunganisha dots!!
Mbina yule Konda wa daslam hakuwepo kwenye ukabidhi wa ripoti?
Je alikuwa anafanikisha zoezi?
Mpaka sasa yeye hajatoa pole!!

aeiou
 
Sema Mimi kinachonishangaza mpaka sasa ni Mheshimiwa.Lissu kwa hadhi yake na fedha mbili tatu alizonazo iweje atembelee gari la namna ile lisilo na bulletproof....sijamsoma kabisa! Anyway kuongea ni rahisi kuliko kutenda sinamaana mbaya nilikuwa najaribu kufikiri kwa sauti tu.
Nchi hii utembee na bullet proof imekuwa Iraq?

aeiou
 
Hivi kama serikali ya Magufuri ingemtaka kumuua nadhani wasingekosea. Hizo ni propaganda za kuchafua Rais wetu. Hata wao Chadema wanaweza kufanya hivyo ukiangalia vizuri kifo cha Chacha Wangwe hapana shaka nao chadema hawaaminiki

Sent using Jamii Forums mobile app

Chacha mlimuua niniyi ili kuiangushia Chadema jumba bovu, hili hata mtoto wa chekechea analijua, wauaji wakubwa nyie, siasa zimewashinda mnakimbilia bunduki.
 
Rais kama taasisi ilimwagiza Mh. Spika awashughurikie Bungeni na wakija nje nae atawashughurikia..
Mwigulu nae akasema itakuaje nao wakianza kuwashughurikia maana KIBITI walikua wanaouwawa ni wanaccm na viongozi
SHAKA uvccm alisema Hivi...Lissu anajifanya muongeaji ngoja aje akutanishwe na mauti..
Mimi kama mtanzania na Mzalendo naomba ufafanuzi juu ya hizi kauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi?? sidhani kama wao wanamjua Magufuli zaidi yetu sisi anayetutawala pia tatizo Watanganyika wengi kwa kufata ushabiki wanashindwa kujua nchi hii inapigana vita gani kwa sasa kwenye vita mbinu zote utumika kwa adui kuweza kugawanya au kukatisha tamaa mm sidhani kama Lissu alikuwa ni threat kuanzia kiuchumi,kijamii au kiusalama namna hyo mm naamini wenzetu wameamua kupigana vita vyingine vita ambayo ni mbaya sana yote ni kumfrustrate na kumchafua kiongozi wetu mbele ya jamii za kistarabu duniani namwonea huruma sana Rais wangu anapambana na watu wenye kila mbinu ikiwamo za kimafia Wacanada kupitia makampuni yao ya Goldcorp,Barrick Gold,Eldorado Gold,Yamana Gold na Kinross Gold ndio wamiliki na wauzaji wa karibu 85% ya dhahabu yote duniani huku
De Beers Group of Company ambao kwa sasa ndio wamiliki wa mgodi wa diamond wao wanamiliki 90% ya soko la Almasi duniani so naona vita tunayopigana sasa ni ngumu kwani siku zote matajiri wakiona fedha imeshindwa kufanya ushawishi au kazi njia pekee wanayotumia ni umafia tu
Izzo acha maneno ya kejeli.Nywele za mdoli ndio nini ?
 
Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi?? sidhani kama wao wanamjua Magufuli zaidi yetu sisi anayetutawala pia tatizo Watanganyika wengi kwa kufata ushabiki wanashindwa kujua nchi hii inapigana vita gani kwa sasa kwenye vita mbinu zote utumika kwa adui kuweza kugawanya au kukatisha tamaa mm sidhani kama Lissu alikuwa ni threat kuanzia kiuchumi,kijamii au kiusalama namna hyo mm naamini wenzetu wameamua kupigana vita vyingine vita ambayo ni mbaya sana yote ni kumfrustrate na kumchafua kiongozi wetu mbele ya jamii za kistarabu duniani namwonea huruma sana Rais wangu anapambana na watu wenye kila mbinu ikiwamo za kimafia Wacanada kupitia makampuni yao ya Goldcorp,Barrick Gold,Eldorado Gold,Yamana Gold na Kinross Gold ndio wamiliki na wauzaji wa karibu 85% ya dhahabu yote duniani huku
De Beers Group of Company ambao kwa sasa ndio wamiliki wa mgodi wa diamond wao wanamiliki 90% ya soko la Almasi duniani so naona vita tunayopigana sasa ni ngumu kwani siku zote matajiri wakiona fedha imeshindwa kufanya ushawishi au kazi njia pekee wanayotumia ni umafia tu
Unazungumzia ''midoli'' hii inayojazia bajeti yetu na kutupa misaada mbalimbali?
 
Back
Top Bottom