Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Najiuliza sipati jibu.
Ni jambo jipya ambalo halijapata kuwepo nchini tangu mitandao hii ianze.
Ndivyo tunavyotakiwa kulinda amani yetu, umoja wetu na Taifa letu?
Hofu yetu kubwa ni nini hasa juu ya mitandao hii?
Haya, sio Mara ya kwanza 2015 JF ilishambuliwa sana na wakafanikiwa kwa muda kuiondosha hewani.
 
Najiuliza sipati jibu.
Ni jambo jipya ambalo halijapata kuwepo nchini tangu mitandao hii ianze.
Ndivyo tunavyotakiwa kulinda amani yetu, umoja wetu na Taifa letu?
Hofu yetu kubwa ni nini hasa juu ya mitandao hii?
Tukisema magufuli hafai kuwa Raisi msidhani kuwa tuna chuki nae bali tunasema ukweli na tunamaanisha kweli. Huyu mtu ni kweli hafai kabisa sio tu kuwa Raisi bali hata diwani tu. Huyu mtu ni fedhuli na dikteta wa kiwango cha juu kabisa na hana ubinadamu kabisa.

Wito wangu kwa watanzania, Leo tu mmeona udhalimu wa huyu jamaa kwa kuzima mitandao, huu ni uthibitisho kuwa kesho tukapige kura kwa wingi na tuzilinde kura zetu kweli kuhakikisha huyu fedhuli harudi tena madarakani
 
Najiuliza sipati jibu.
Ni jambo jipya ambalo halijapata kuwepo nchini tangu mitandao hii ianze.
Ndivyo tunavyotakiwa kulinda amani yetu, umoja wetu na Taifa letu?
Hofu yetu kubwa ni nini hasa juu ya mitandao hii?
YouTube na Facebook hazifanyi kazi vizuri
 
Nadhani kwa state ya vyombo vya habari vya mitandaoni tuliyonayo kwa sasa... Its only logical to shut everything kuondoa sintofahamu inayoweza kuletwa na "Bad Reporting; we have come to be acostomed to"

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa haya mawazo yako ungeyaandikia wapi, kama na JF ikizimwa. Nyie CCM hamnaga akili.
 
Nchi zote duniani watu wenye akili timamu uwa wanawalinda raia wao
Watu wa siasa awazidi hata million 5
Wachochezi katika siasa awazidi hata 100
Athari ya mitandao ya kijamii hasa twitter, facebook, na social media zingine ni kubwq mno hasa kipindi hiki cha uchaguzi
Kuna watu ni machizi lakini wanatumia hii mitandao
Taarifa wala azijathibitishwa tayari machizi wameshazisambaza social media wakidhani ni sifa kumbe wanaliingiza taifa katika machafuko yasiyo ya lazima
Kwangu mm ni sawa tu TCRA Piga Ban kila kwenye viashiria vya kuvunja Aman
Sio kila mtanzania ni mwana siasa.
Huu ujinga wako ungeuandikia wapi, kama na JF kama na Jf ingefanikiwa kuzimwa?. Nyie ccm hamnaga akili, mnawaza teuzi.
 
Tuko kwenye uchaguzi, ni kawaida kufanya hivyo. Huchelewi kuona Account za NEC zikidukuliwa na Membe kutangazwa mshindi wa kiti cha uRais
 
Back
Top Bottom