fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 738
- 1,017
Kuna bibi kaezeka nyumba yake na mabango ya njano....
Naisi ni sir ngoma kama sio madam ngoma ila....
Ivi iyo ela imetoka wapi?? Mbona mimi nilikimbia vyuo vya bongo maana kuprint graph ya rangi kweny assigment ilikua ghali?
Kodi zetu wenyewe....wanajisifia nazo kwenye kampeni zao?#
Wanatakiwa waseme nilikusanya mshahara wangu mwaka kununua ndege au kujenga daraja sio kutupa takwimu za kodi zetu
Naisi ni sir ngoma kama sio madam ngoma ila....
Ivi iyo ela imetoka wapi?? Mbona mimi nilikimbia vyuo vya bongo maana kuprint graph ya rangi kweny assigment ilikua ghali?
Kodi zetu wenyewe....wanajisifia nazo kwenye kampeni zao?#
Wanatakiwa waseme nilikusanya mshahara wangu mwaka kununua ndege au kujenga daraja sio kutupa takwimu za kodi zetu