Mitandao ya simu kazi yake ni mawasiliano, si kutoa huduma za kibenki

Kwani hiz kampun zinatoa huduma za kibank au kifedha

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
huduma za kibenk ndio hizohizo za kifedha braza.
lakini tukumbuke pia benki zetu zilishalalamika kuwa mazingira ya uwekezaji ktk sekta ya kibenk ni quite unfriendly.

Baadhi ya hoja zao ilikuwa upendeleo wa serikali kwa baadhi ya benki kutunza ''matrilion'' ya serikali ilihali nyingne zikikosa fursa hiyo (unfairness)

Hoja nyingne ni hiyo inayotolewa na mtoa hoja..madai yake yana msingi.

Business enviroment ya benki nchini is not as healthy as it ought to be.

Ila tena benki zetu nazo zibadilike.zibuni strategies za kuwafikia watumiaji wa pembezoni
 
Kumbuka ugumu wa kudhibiti makampuni haya unatokana na 'conflict of interest'. Vigogo wa serikali, watunga sera, na wakubwa wengineo ndio wamiliki na wenye hisa kubwa kwenye makampuni hayo. Kampuni za simu zinapata pesa kubwa. Sina uhakika kama serikali unapata chochote kwenye mikopo, nirushe, cha asubuhi, kuangalia salio, nk nk. Ukwasi wa Wana mziki wa bongo moja ni miito ya simu. Ukiona Diamond anaeweka msururu wa magari barabarani ni sh 100 unayolipa kwa siku kwa mwito wa wimbo wake wa 'lalala, lipa mjinga mjanja nipate'. Wateja milioni 1 x100 kwa siku anaingiza 100 million. Pamoja na makato kwa siku yuko mbali.
 
umenena.
 
Mambo kama haya uzuri wake yanamgusa kila mtu.
 
Mkuu Umenena vyema.
Good
 
Kijijini kwako kuna mabenki yapi?
Hebu yataje
 
Umeona usipotumia huduma za kutuma fedha ktk cm yako unafungiwa? Achana nayo fanya kitu kingine mkuu.
 
Ukweli mchungu
Kama upo kinijini ja hamma benki kwanini ulalamikie makato? wakat pesa yako inatumwa haraka na kwa usalama
 
Kulalamika ni lazma hasa pale unapoona nchi yenye miaka zaidi ya 50, bahari, maziwa, gas, madini, mbunga za wanyama, mito, + kodi tunazolipia kila siku bado inamatatizo ya barabara mbovu, maji, upungufu wa madara na vituo vya afya. Ila viongozi wake wanaishi maisha ya anasa kwa ela za walala hoi
 
Hawezi kuvitaja ,
jambo zito kama hili linajibiwa kwa hoja nyepesi nyepesi.
Taifa lolote haliwezi kuendelea kama watu wake hawajaelimika.
na haswa pale unapo waona watu wake hawataki kulipa kodi lkn wanataka misaada kutoka mataifa mengine ambayo wananchi wake wanatambua wajibu wao wa kulipa kodi kwa maendeleo yao.
Unajiita masikini wakati kila siku unaweza kutuma elfu 10!! masikini hana uwezo hata wa kutuma elf5.
watanzania walidekezwa na kulemazwa kwa misaaada kwa muda mrefu.
 
uko darasa la ngapi?
 
Ukweli mchungu
Kama upo kinijini ja hamma benki kwanini ulalamikie makato? wakat pesa yako inatumwa haraka na kwa usalama
NMB na CRDB wanaweza kabisa kutoa huduma hadi vijijini.
waaanzishe "mobile bank".
hilo ni jambo linalo wezekana.
 
sijawahi kuona nchi ambayo watu wake wanabembelezwa kulipa kodi au wanataka kujipangia walipe kodi kiasi gani!!!
 
sijawahi kuona nchi ambayo watu wake wanabembelezwa kulipa kodi au wanataka kujipangia walipe kodi kiasi gani!!!
Uwez iona nchi ya namna hio maana nchi zingine zinazingatia principals za kodi na hazina matozo yaliyokaa kitapeli kama haya ya hapa kwetu.

Kumbuka kodi tulikuwa tunalipa kabla ata ya haya makato lakin ukuwai kusikia watu wakilalamika sasa why now? Uwezi mkata mtu kodi mara mbili kwenye huduma moja alaf ukajisifu huo ni utapel
 
Wazaz wako wanalalamika umekaa kwa shemej yako unakenua meno na kuandika ujinga tu
 
We inaonesha akili yako ni ndogo mno. Kwenye vocha za mda wa maongezi kuna VAT, kwenye huduma za kutuma na kutoa pesa kwa simu kuna VAT, ukinunua ama kulipia bidhaa kwa simu kuna VAT, ukinunua kifurushi kuna VAT, ulipia huduma yeyote ile ya kiserikal unakatwa VAT.
Sasa niambie ni wap wananchi walilalamika ama kukataa kulipia kodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…