Mitandao ya simu kazi yake ni mawasiliano, si kutoa huduma za kibenki

Mitandao ya simu kazi yake ni mawasiliano, si kutoa huduma za kibenki

Siyo kutumika bali ni aina ya programu unafanya kuinstall kwa phone yako!.

Mkuu simu bila program ni kopo...Hata ile dial keys ni app/program...kwahiyo kwenye simu lazima uinstall program ndio ifanye kazi.
 
Sijui ulichonijibu kina maana gani kwa reply yangu kwa comment husika?.

Jibu lako ulilonijibu ina maanisha kwamba nilikuwa sijui kwamba simu mpaka itumike kama remote lazima iwekewe program ya remote na ndio nikakujibu simu kama simu bila program ni kama KOPO....kwahiyo By Default simu ni Program.
 
Jibu lako ulilonijibu ina maanisha kwamba nilikuwa sijui kwamba simu mpaka itumike kama remote lazima iwekewe program ya remote na ndio nikakujibu simu kama simu bila program ni kama KOPO....kwahiyo By Default simu ni Program.
Infact great thinker unapaswa kueleza jambo in thinking siyo kama ulichoeleza, kuna binadamu akili zao ni kama za bata anaweza kuhisi ni aina ya simu and not progamu tumishi.
 
usiwe mgumu kuelewa, kodi/tozo unayo katwa ni kwa ajili ya hudumu utakazo zitumia ww mwenyewe au ndugu zako, mfano;
1.Brabara, ujenzi wa barabara ktk maeneo mbalimbali.
2.Shule/ujenzi wa vyumba vya kusomea.
3. ujenzi wa zahanat/vituo vya afya.
4. n.k
Hivyo fedha unayo katwa ni kwaajili ya manufaaa yako mwenyewe, Serikali inacho kifanya ni kukusanya tu.
500 yako peke yako haiwezi kufanya chochote ila tunapo changia sote kama watanzania ndio inaleta tija. Umoja ni nguvu.
Tusi hujumu Jitihada za serikali ya awamu ya 6.
Hayo mambo uliyoorodhesha ndiyo sera za serikali tangu kupata uhuru zaidi ya miaka hamsini sasa
Inamaana kodi zilizokuwa zinachukuliwa mwanzo pamoja na hela kutoka vyanzo mablimbali vya mapato nchini kama vile madini nk je hizo hela zilikuwa zinatumika kufanyia nini???
 
Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.

Kwani pesa zinakatwa za mitandao au za mwananchi?
Aisee WaTanzania [emoji28]
 
usiwe mgumu kuelewa, kodi/tozo unayo katwa ni kwa ajili ya hudumu utakazo zitumia ww mwenyewe au ndugu zako, mfano;
1.Brabara, ujenzi wa barabara ktk maeneo mbalimbali.
2.Shule/ujenzi wa vyumba vya kusomea.
3. ujenzi wa zahanat/vituo vya afya.
4. n.k
Hivyo fedha unayo katwa ni kwaajili ya manufaaa yako mwenyewe, Serikali inacho kifanya ni kukusanya tu.
500 yako peke yako haiwezi kufanya chochote ila tunapo changia sote kama watanzania ndio inaleta tija. Umoja ni nguvu.
Tusi hujumu Jitihada za serikali ya awamu ya 6.
Mbunge wako anayelipwa 12mil /mwezi anakatwa kodi kiasi gani.. kwnai kabla ya hii ongezeko la tozo tulikuwa hatulipi kodi? ;barabara zilikuwa hazijengwi kwa kodi zetu?
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.

Huwezi kushindana na teknolojia...!!
Kwani umetumia kifaa gani kuandika huo utopolo wako hapa?
 
Huwezi kushindana na teknolojia...!!
Kwani umetumia kifaa gani kuandika huo utopolo wako hapa?
sina tatizo na "handset"
tatizo lipo kwa makampuni yanayo miliki laini, wanajifanya wao wanaijua pesa zaidi kuliko benki.
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Kama kuna kitu kimebuniwa Afrika n na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa mpaka wazungu wanakipongeza na hawaamini kama mwafrika angeweza kufanya ubunifu wa namna hii ni huduma za fedha kupitia simu za mkononi.
Hiki kitu kimebadilisha maisha ya watu wengi na kufanya utumaji na upokeaji pesa, ulipaji wa malipo ya serikali uwe rahisi sana hata kwa wale watu wasiokuwa na akaunti, maana mfano kwa tanzania ni watu wachache sana waliyo kwenye mfumowa kibenki.
Kila kitu uwa kina mwanzo, kusema kwamba mitandao ya simu haitakiwi kutoa huduma za kifedha ni kuwa na mawazo mgando yasiyotaka mabadiliko.
Hata mabenki kabla hayakuwepo lakini yalikuja na yakapokelewaw. Hata kwa wenzetu kuna makampuni yanatoa huduma za kifedha na siyo mabenki kama PayPal, Payoneer, Skrill, Wise (formerly known kama Transferwise), namengine mengi.
Lakini Mpesa mtoto wa Safaricom hata wazungu wanakiri kuwa amewapiga hawa wote kwa ubunifu walioufanya na kuwezesha kutengeneza mfumo rahisi sana uliobadilisha sekta ya kutuma na kupokea pesa Afrika.
 
sina tatizo na "handset"
tatizo lipo kwa makampuni yanayo miliki laini, wanajifanya wao wanaijua pesa zaidi kuliko benki.
Paypal si benki, Payoneer siyo benki, skrill siyo benki, Wise siyo benki ni mitandao ya kutuma na kupokea pesa kama ilivyo Mpesa. Ninahisi kwa mawazo yako ungesema hata whatsapp kimsingi haikufaa kuwepo tungeendelea tu kutumia huduma ya sms za kawaida.
Kuna Google Pay, Kuna Samsung Pay hayo yote siyo mabenki ni huduma za kutuma, kulipia na kupokea pesa.
Sasa iweje sisi ambao bado tunasuasua kwenye ubunifu Safaricom wamekuja na ubunifu bora kabisa kuwahi kutokea unasema eti hawa haafai kufanya huduma hizi?
 
Unajua maana ya technology? Hata mwanzo wakati wanaanzisha tritel ulikuwa hauwezi kutuma meseji achilia mbali internet.....Lolote linaloweza kufanyika kwenye simu lifanyike tu maana hayo ndio maendeleo! Ndio maana kuna simu zinatumika kama remote za ac/tv!
Benki zifutwe
 
Mitandao ya simu inafacilitate transactions kila kitu bado kipo under BOT na Banks...

Hivi unajua mteja mkuwa wa Mabenki ni Mitandao ya Simu ?, Sababu hizo pesa zinakuwa deposited huko..., Mitandao ya Simu imeweza kufikisha huduma pale ambapo Banks zimeshindwa (vijijini na kwenye mifuko ya kila mtumiaji wa simu) Banks walishindwa kupata wateja kufungua akaunti wala wasingeweza kufika mpaka vijijini ndani ndani kuwafikia watu

Kutokana na Teknolojia na kazi nzuri aliyoifanya Vodacom Mpesa ya kufundisha na kufikisha mawakala kila kona ya Tanzania watu wengi wakawa financially included...

Tuache Siasa kwenye mambo muhimu mwisho wa siku tunachotaka ni convinience kwa mtumiaji
vodacom ifungue benki
 
usiwe mgumu kuelewa, kodi/tozo unayo katwa ni kwa ajili ya hudumu utakazo zitumia ww mwenyewe au ndugu zako, mfano;
1.Brabara, ujenzi wa barabara ktk maeneo mbalimbali.
2.Shule/ujenzi wa vyumba vya kusomea.
3. ujenzi wa zahanat/vituo vya afya.
4. n.k
Hivyo fedha unayo katwa ni kwaajili ya manufaaa yako mwenyewe, Serikali inacho kifanya ni kukusanya tu.
500 yako peke yako haiwezi kufanya chochote ila tunapo changia sote kama watanzania ndio inaleta tija. Umoja ni nguvu.
Tusi hujumu Jitihada za serikali ya awamu ya 6.
Ni upumbavu wa hali ya juu unachotetea ni ujinga.
Jana mimi nimemtumia mtu 20000 nimekatwa mimi kama mtumaji 1560, yeye anaenda kukatwa zaidi ya 2000 atakapotoa hiyo pesa. Hebu fikiria muamala unakatwa zaidi ya 25% ya kiasi ulichotuma kama gharama.
Na watumiaji wengi wa hizi huduma ni watu wa chini wanaotuma na kupokea 5000, 10,000, 20000, 30000 kama mtu ana pesa nyingi kuanzia milioni mara nyingi ataenda benki au kwa wakala wa benki tu kudeposite.
Sasa mtu kama huyu anayetuma na kupokea 20,000 eti umkate almost 5,000 ni upuuzi.
Nchi hii ina kila aina ya neema,kuanzia madini mpaka ardhi, yani ni upuuuzi serikali kumkamua mwananchi eti kujenga barabara sijui kufanya nini kama vile nchi haina rasilimali.
Yani serikali imeshindwa kusimamia rasilimali zetu kuanzia dhahabu, ruby, chuma,gas, ardhi, bahari, tanzanite, bandari tukaweza kujenga nchi mpaka imkamue mwananchi hadi pumzi ya mwisho.
 
vodacom ifungue benki
Haina haja ya kufungua benki, PayPal ina benki, Skrill ina benki, Worldremit ina bank? Kama kuna invention ambayo imewahi kuwa successiful afrika katika karne hii ya ubunifu, ni Mpesa iliyozaliwa na Safaricom. Ni teknolojia iliyobadilisha sekta ya kifedha Afrika. Hata leo mabenki yameweka sijui mawakala, sijui nao huduma za fedha kiganjani ili kushindana na hawa. Ebu jaribu kufikiri miaka kadhaa nyuma kabla ya haya.
Mimi nakumbuka nasoma shule mzazi akitaka tuma pesa wananitumia vocha nyingi mpaka niende kwa wauza vocha za kurusha niwauzie, tena kwa bei wanayotka wao na muda mwingine wanakwmbia tuna vocha nyingi hawanunui.
 
Ni upumbavu wa hali ya juu unachotetea ni ujinga.
Jana mimi nimemtumia mtu 20000 nimekatwa mimi kama mtumaji 1560, yeye anaenda kukatwa zaidi ya 2000 atakapotoa hiyo pesa. Hebu fikiria muamala unakatwa zaidi ya 25% ya kiasi ulichotuma kama gharama.
Na watumiaji wengi wa hizi huduma ni watu wa chini wanaotuma na kupokea 5000, 10,000, 20000, 30000 kama mtu ana pesa nyingi kuanzia milioni mara nyingi ataenda benki au kwa wakala wa benki tu kudeposite.
Sasa mtu kama huyu anayetuma na kupokea 20,000 eti umkate almost 5,000 ni upuuzi.
Nchi hii ina kila aina ya neema,kuanzia madini mpaka ardhi, yani ni upuuuzi serikali kumkamua mwananchi eti kujenga barabara sijui kufanya nini kama vile nchi haina rasilimali.
Yani serikali imeshindwa kusimamia rasilimali zetu kuanzia dhahabu, ruby, chuma,gas, ardhi, bahari, tanzanite, bandari tukaweza kujenga nchi mpaka imkamue mwananchi hadi pumzi ya mwisho.
Kiukweli Ni Kama aliye shauri ana lake Jambo
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Wapumbavu Sana eti wanalia Lia ooh wateja wamepunguza kutuma miamala sijui itaua biashara mara tozo zipunguzwe, pumbavu sana mbona kwenye makato wao wanapata kikubwa kuliko serikali.

Wakitaka kipunguzwe na wao wapunguze vinginevyo wabaki kwenye core business yao
 
Back
Top Bottom