MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Intaneti imewekwa kwenye bajeti ya Royo tua 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Sana mkuu.Turbo
Ngoja nidanlodi VPN yangu Fasta mno tu.Katika hali ya kushtusha Leo 7/9/2021 majira ya kuanzia saa 5 na nusu, Mamlaka ya mawasiliano Tanzania(TCRA) imefungia matumizi ya mitandao maarufu ya kijamii Twitter na YouTube.
Mtumiaji atalazimika kuwasha VPN ili kuendelea kufurahia kutumia mitandao hiyo.Mitandao hiyo siku za karibuni imekua ikitumika kama platform ya chama upinzani(CHADEMA) kujadili ajenda zake, mfano CDM wamekua wakitumia jukwaa maarufu la twitter lijulikanalo kama SPACE na Pia imekua iktumia mtandao wa YouTube kushea matukio yake mbalimbali.
Chama kikuu cha upinzani kimelazimika kutumia zaidi mitandao ya kijamii kwa shughuli zake za ukuzaji chama baada ya mazingira ya kukutana ana kwa ana ndani ya nchi yao kutokua rafiki.
Bwana yule ananinitena kashakufa yuleAu kuna jaribio la mapinduzi ila najua hawajazima mazima watakuwa wamesitisha kwa muda kwa sababu ya kumuhofia bwana yule kule twitter
Mpili VPN au Tozo VPN.VPN gani Ni nzuri wakuu?
Royal Tour + Suruali na Raba za Karume.Wamesema sababu nini hadi wakaifungia.
Sio kweli
Kaishiwa/kapoteza mwelekeo kwa sasa, Hana hoja zenye mashiko.bwana yule kule twitter
😄😄 Kombinenga.Mpili VPN au Tozo VPN.