Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #61
WANASHERIA WATAKIWA KWENDA MAHAKAMANI
TATIZO SI SHERIA AU MAHAKAMA. NI INTEGRITY NA CREDIBILITY
Mabandiko ya mwanzo tumezungumzia sana kuhusu integrity (yaani kuamin katika uadilifu na maadili ya juu kabisa) na credibility (ubora katika imani ya kushawishi na kuaminika).
Haya mawili ni sehemu ya mambo kama uchaguzi. Uchguzi kuwa free and fair haimaanishi una integrity au credibility.
Tukahoji, wale wanaosema uchaguzi wetu ulikuwa huru na haki, je ulikuwa na credibility na integrity?
Tatizo la kukosa credibility na integrity ndilo linataka kutumiwa na baadhi ya wanasheria kupindisha mambo
Mwanasheria wa zamani wa ZNZ anataka uchaguzi urudiwe, la sivyo wanaolalamika waende mahakamani.
Hoja yake ingekuwa na maanaa kama tu , kwanza, kuna sheria inayoruhusu matokeo kuhojiwa mahakamani
Hata hivyo, katika hali ya giza, tufikirie kuwa kwenda mahakamani ingetoa suluhu,CUF wana sababu ya kukataa
Mahakama zina majengo, wanasheria na sheria zinazowaongoza na ni huru kabisa.
Hata hivyo, Uhuru wa mahakama hautoshi bila imani na kuaminika. Hapa ndipo tunarudi katika credibility na integrity
Tunajua, aliyekuwa Jaji mkuu wa JMT, aliyeshika nyadhifa mbali mbali bara/visiwani, alichukua fomu za Urais CCM.
Utata uliuibuka lini alianza kuwa mwanachama wa CCM na kimaadili hilo linaruhusiwa kwa nyadhifa alizowahi kushika?
Kujitokeza kwa Jaji kuwa mgombea kuliondolea mhimili wa mahakama credibility na integrity katika masuala ya uchaguzi
Watu wanajiuliza, kama hiyo ndiyo hali, haki inawezaje kupatikana katika utata kama uliojitokeza?
Nani anayejua watakaongoza kesi na mapenzi yao iwe kwa CUF au CCM hata kama hawana mapenzi yoyote?
Tunarudi kusema, uhalali wa jambo haukamiliki kwa uhalali tu bali kuaminika, kuaminiwa na kushawishi uhalali huo.
Integrity na credibility ni vitu muhimu,CUF wana duku duku la mahakaman, kimantiki tu linaweza kuwapa advantage.
Mwisho tusistize hatuna maana yoyote ya kuhoji uadilifu na maadili ya mahakama.
Tunachokifanya ni kuonyesha tu wasi wasi na kumjibu mwanasheria aliyetaka watu waende mahakamani kwa mifano.
Kwamba, wanaokataa si kuwa wanakataa bali wana hoja zao.
Je, hoja zao zina mantiki au la, hilo kila mmoja ataamua. Tunachojaribu ni kuieleza hali ilivyo
Tusemezane
TATIZO SI SHERIA AU MAHAKAMA. NI INTEGRITY NA CREDIBILITY
Mabandiko ya mwanzo tumezungumzia sana kuhusu integrity (yaani kuamin katika uadilifu na maadili ya juu kabisa) na credibility (ubora katika imani ya kushawishi na kuaminika).
Haya mawili ni sehemu ya mambo kama uchaguzi. Uchguzi kuwa free and fair haimaanishi una integrity au credibility.
Tukahoji, wale wanaosema uchaguzi wetu ulikuwa huru na haki, je ulikuwa na credibility na integrity?
Tatizo la kukosa credibility na integrity ndilo linataka kutumiwa na baadhi ya wanasheria kupindisha mambo
Mwanasheria wa zamani wa ZNZ anataka uchaguzi urudiwe, la sivyo wanaolalamika waende mahakamani.
Hoja yake ingekuwa na maanaa kama tu , kwanza, kuna sheria inayoruhusu matokeo kuhojiwa mahakamani
Hata hivyo, katika hali ya giza, tufikirie kuwa kwenda mahakamani ingetoa suluhu,CUF wana sababu ya kukataa
Mahakama zina majengo, wanasheria na sheria zinazowaongoza na ni huru kabisa.
Hata hivyo, Uhuru wa mahakama hautoshi bila imani na kuaminika. Hapa ndipo tunarudi katika credibility na integrity
Tunajua, aliyekuwa Jaji mkuu wa JMT, aliyeshika nyadhifa mbali mbali bara/visiwani, alichukua fomu za Urais CCM.
Utata uliuibuka lini alianza kuwa mwanachama wa CCM na kimaadili hilo linaruhusiwa kwa nyadhifa alizowahi kushika?
Kujitokeza kwa Jaji kuwa mgombea kuliondolea mhimili wa mahakama credibility na integrity katika masuala ya uchaguzi
Watu wanajiuliza, kama hiyo ndiyo hali, haki inawezaje kupatikana katika utata kama uliojitokeza?
Nani anayejua watakaongoza kesi na mapenzi yao iwe kwa CUF au CCM hata kama hawana mapenzi yoyote?
Tunarudi kusema, uhalali wa jambo haukamiliki kwa uhalali tu bali kuaminika, kuaminiwa na kushawishi uhalali huo.
Integrity na credibility ni vitu muhimu,CUF wana duku duku la mahakaman, kimantiki tu linaweza kuwapa advantage.
Mwisho tusistize hatuna maana yoyote ya kuhoji uadilifu na maadili ya mahakama.
Tunachokifanya ni kuonyesha tu wasi wasi na kumjibu mwanasheria aliyetaka watu waende mahakamani kwa mifano.
Kwamba, wanaokataa si kuwa wanakataa bali wana hoja zao.
Je, hoja zao zina mantiki au la, hilo kila mmoja ataamua. Tunachojaribu ni kuieleza hali ilivyo
Tusemezane