Mitihani ya darasa la nne nayo mnasimamia na polisi wenye bunduki?

Mitihani ya darasa la nne nayo mnasimamia na polisi wenye bunduki?

kwahyo bunduki itamfelisha, lakini chura aangalie tu, what the.....!!!
 
Mtihani wa darasa la nne nao ni mtihani? Ni mazoezi fulani hivi ya watoto wa darasa la nne. Ufeli usifeli darasa la tano utaingia tu. Walimu na walinzi wale tu posho za kamati ya mtihani wilaya/mkoa
 
Hizi shule wangefunga Security Camera pia waachane na hizo mambo za Mapolisi kila kina wanapita wataalamu na suti zao mpaka wadogo wanafurahia shule sio magobole kama wapo DRC...
 
Ulipanga kupiga tukio nini mtoa mada! Wangekutoboa shauli Yako.
 
Hawa simamii na polisi mwenye bunduki ila wanasafirisha na polisi mwenye bunduki mtihani ni kitu sensitive sana kwenye nchi
 
ije mvua ije baridi kamwe siwezi kuwa chawa wa mkuu wa shule namuona kama kiranja fulani hivi. Muajiri ndiyo bosi hata hivyo siwezi kuwa chawa wake, na mimi ninayo elimu na utashi wangu tuheshimiane
Chawa ni dhana inayokuzwa Kuna shule zinapeleka walimu hadi 20 kusimamia utasema hao ni chawa wa mkuu wa shule!?
Mkuu anabaki kuwa mkuu na mwl anabaki kuwa mwl Kila mtu anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria
 
Chawa ni dhana inayokuzwa Kuna shule zinapeleka walimu hadi 20 kusimamia utasema hao ni chawa wa mkuu wa shule!?
Mkuu anabaki kuwa mkuu na mwl anabaki kuwa mwl Kila mtu anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria
majina ya walimu wanaosimamia mitihani yapo wilayani, jina lako likiwepo huko always utapangwa kusimamia automatically labda liondolewe. Kuna maafisa wengine hupigia walimu palepale kwa kuwaomba rushwa watoe kitu kidogo ili wapangwe kusimamia mtihani. Kama hujiamini utatoa rushwa tu ili upangwe. Mkuu wa shule ndiye anayepeleka majina wilayani. Ukute jina lako halijawahi kupelekwa utasugua benchi kupokea wageni shuleni wa mitihani kila mwaka. Hii ya darasa la nne walimu hupangwa kata na ofisaelimu wa kata
 
CCM wanjijua wezi, unaweza kuta waliisha iba hiyo mitihani wanalinda kutudanganya wananchi.
 
Bunduki hizi watoto wanazoona Kila siku kwenye TV? Zikiua watu?

Vitoto vya darasa la Nne? Badala ya Kujibu mtihani kanabaki kuwaza mibunduki, pengine wanawaza watakufa?

Acheni mazoea ya Kijinga, zama zimebadilika.
Hahaha
 
Back
Top Bottom