Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha umenyimwa tenda nini?Hii mitihani kusimamia mpaka uwe chawa wa mkuu wa shule... Kwel Africa tuko nyuma sana
Tenda gan tena mkuu?Hahahahaha umenyimwa tenda nini?
Chawa ni dhana inayokuzwa Kuna shule zinapeleka walimu hadi 20 kusimamia utasema hao ni chawa wa mkuu wa shule!?ije mvua ije baridi kamwe siwezi kuwa chawa wa mkuu wa shule namuona kama kiranja fulani hivi. Muajiri ndiyo bosi hata hivyo siwezi kuwa chawa wake, na mimi ninayo elimu na utashi wangu tuheshimiane
Umepandwa na pepo gani wewe?Mbona bank kuna bunduki
Au kwa kuwa ni hela zenu?
Na hao watoto wako kwanini waangalie vitu vya kutisha vya kuuana? Katuni na akili akili zimeisha?
majina ya walimu wanaosimamia mitihani yapo wilayani, jina lako likiwepo huko always utapangwa kusimamia automatically labda liondolewe. Kuna maafisa wengine hupigia walimu palepale kwa kuwaomba rushwa watoe kitu kidogo ili wapangwe kusimamia mtihani. Kama hujiamini utatoa rushwa tu ili upangwe. Mkuu wa shule ndiye anayepeleka majina wilayani. Ukute jina lako halijawahi kupelekwa utasugua benchi kupokea wageni shuleni wa mitihani kila mwaka. Hii ya darasa la nne walimu hupangwa kata na ofisaelimu wa kataChawa ni dhana inayokuzwa Kuna shule zinapeleka walimu hadi 20 kusimamia utasema hao ni chawa wa mkuu wa shule!?
Mkuu anabaki kuwa mkuu na mwl anabaki kuwa mwl Kila mtu anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria
Hii Si hoja.Ukijua gharama za kuandaa mtihani sidhani kama waweza shangaa kulindwa na polisi
Mara ngapi mitihan inavuja?.Tatizo hamjui gharama za kuandaa huo mtihani endapo ukivuja
HahahaBunduki hizi watoto wanazoona Kila siku kwenye TV? Zikiua watu?
Vitoto vya darasa la Nne? Badala ya Kujibu mtihani kanabaki kuwaza mibunduki, pengine wanawaza watakufa?
Acheni mazoea ya Kijinga, zama zimebadilika.
Mara ngapi mitihan inavuja?.
Yale Mabunduki ndio yanfanya majambazi yasivamie ehhh?. Et eehh.
Yaan hapa Hoja ni kwamba, BUNDUKI NI ZA KAZI GAN??.
CCM wanjijua wezi, unaweza kuta waliisha iba hiyo mitihani wanalinda kutudanganya wananchi.
Hapo sawa, nimekuelewa kiongozi
HahahaNakumbuka tulisimamiwa kipindi kile😄😄magobole