Mitume na manabii tishio kwa Kakobe,Gamanywa na Fernandes ndio maana wanalalama

Mitume na manabii tishio kwa Kakobe,Gamanywa na Fernandes ndio maana wanalalama

Kwanini wanajiita mitume Au nabii?

Matapeli, ili wawapige hela wenye akili ndogo.. Full uwizi kutumia fake name of Jesus Christ, Jesus wanae muhubiri hakukusanya fedha na kuishi maisha ya mfano wao na muwe makini siku hizi wengi watatumia jina la Bwana, lakini hao wana Bwana wao, sio Yesu Kristo.
 
Kila kitu kinahitaji updates ili uweze kwenda na wakati uliopo...
 
Dini ina ‘evolve kama ilivvyo kwa viumbe hai. Hatua za nadharia ya Darwin(natural selection) yaani struggle for existence na survival of the fittest zinawahusu hawa makasisi na vikundi vyao
 
Yesu na mbwembwe zoooote, alifufua mfu mmoja tu.... hii ni jeuri na kutokujali au matumizi mabaya ya talanta.
Sio kweli siku aliyokufa alifufua maelfu makaburi yalipasuka na waliokufa kibao wakafurika jiji la yerusalemu na watu wakawaona
 
Mtakufa kwa kufuata miujiza someni neno!! kuweni na imani juu ya ilo zingine mbwembwe
Neno la Mungu bill miujiza Ni utapeli mtupu.Mungu akiongea muujiza lazima utokee.Biblia inasema mitume walipohubiri Mungu akalithibitisha neno kwa ishara na miujiza.Neno linathibitishwa kwa ishara na miujiza sio porojo za maneno hewa yaliyojaa misamiati ya maneno ya kigiriki nk utasikia porojo ohhhh Roho mtakatifu kiyunani Anaitwa Theotokos wakati kazi zake za miujiza Wala hazionekani.Dini zenye mlundikano wa mineno migumu ya doctorines watu wamechoka.Wamechoka hadithi za mafumbo ya imani na Theotokos wanataka kuona miujiza kwenye maisha yao
 
Point of Correction hakuna kanisa hata moja hapo hayo uliyoyataja yote ni huduma za maombezi za watu binafsi kwa kifupi makanisa ni machache sana i.e Roman Catholic,Lutheran,Anglican,Morovian,Pentekoste, na Assemblies of God (hapa bila kutenganisha EAGT na TAG) hizo zilizobaki zote ni huduma za maombezi..
Yesu Mwenyewe aliendesha huduma za maombezi tu hakuacha Kanisa.Aliacha huduma za maombezi na kufungua waliofungwa na pepo.Ni wapi Yesu alianzisha kanisa la Roman katoliki,Lutheran,TAG,EAGT,Anglikan au Moravian?
 
Someni Yohana 5:1-15

Kiswahili ni lugha yetu, mnashindwa
kutofautisha KUPONYA na KUTIBU
Kutibu unatumia physical material or liquid kuponya Ni kutumia healing powers .Ni sawa na tofauti ya creating and manufacturing.Creating is making something out of nothing while manufacturing is making something from something
 
KAnisa ni moja tuu.... Ni Kanisa Katoliki la Mitume... Full Stop and Long Break.... Hilo ndio Kanisa alilolianzisha Yesu Kristo peke yake chini ya Petro..
Yesu kanisa lake aliamzisha uyahudi sio Roma Italia.Kanisa la kwanza lilianzia Israel siyo Roma Italia.Petro alichaguliwa kiongozi wa mitume na Yesu Uyahudi sio Roma Italia ndio maana madhehebu yote ya Wakristo huenda kuhiji Israel hawaendi Roma Italia.Sababu mwanzilishi wa Ukristo alizaliwa ,kuanzisha Ukristo na kufia Israeli .Yesu mwanzilishi wa Ukristo hakufia Roma Italia.Waliomuua Yesu Ni waroma wa Italia.Ponsio Pilato aliyemhukumu Yesu kufa alikuwa mroma wa Italia.Na Askari wa Roma Italia ndio walompiga Yesu kumtesa na kumsulubisha Yesu msalabani na kumuua kwa kumchoma mkuki.

Wayahudi Wala hawakumpiga Yesu,kumhukumu na kumuua msalabani.Ni waroma ndio walifanya Hilo kuficha uovu wao ndio wakaamua kujificha ndani ya katoliki kujifanya kanisa la kwanza lilianzia Roma walivyo matapeli! Mwanzilishi wa Ukristo Yesu alizaliwa na kuanzisha kanisa Roma? Kanisa la kwanza lilianzia Uyahudi full stop hizo zingine porojo tu hata zisemwe na papa
 
Ila kakobe ndo wa mwanzoni kabisa na kina Moses Kulola,naona hawa wapya wamekuja na mafuta,vitambaa na ahadi kemi kemi za maisha mazuri tu.
Na maisha mazuri yanapatikana kwa mafuta,vitambaa nk ndio maana utakuta hata nafasi ya kupaki gari hupati ukienda nalo.
 
Yesu kanisa lake aliamzisha uyahudi sio Roma Italia.
Una akili ndogo sana... Kanisa Katoliki limeanzia Jerusalem siku ile ya Pentekoste.. Baada ya hapo kutokana na sababu mablimbali hasa ukatili wa Wayahudi kwa wafuasi wa Yesu... Kanisa liliamia Rome... Kwa wakati ule Rome ndo ilikuwa kila kitu... Ukiweza kuiteka Rome umeiteka Dnia.. Hivyo Kanisa chini ya Mwamba Petro likaiteka Rome... Hivyo Kanisa likaeneo duniani kote(Katolikos) maana Universal...Iliyoenea kote....

Nenda Irael uone Big Shrines, Cathedrals, na Basillicas ni makanisa gani... Hapo ndipo utakapo jua Kanisa Katoliki lilianzishawa na Kristo peke yake..

Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu..

FULL STOP AND LONG BREAK.........Wewe nenfda kasepetuke na kukata mauno huko kwenye hizo frem za biashara mnazoziita makanisa ya kina kakobe na ulokole kwa ujumla..
 
Una akili ndogo sana... Kanisa Katoliki limeanzia Jerusalem siku ile ya Pentekoste.. Baada ya hapo kutokana na sababu mablimbali hasa ukatili wa Wayahudi kwa wafuasi wa Yesu... Kanisa liliamia Rome... Kwa wakati ule Rome ndo ilikuwa kila kitu... Ukiweza kuiteka Rome umeiteka Dnia.. Hivyo Kanisa chini ya Mwamba Petro likaiteka Rome... Hivyo Kanisa likaeneo duniani kote(Katolikos) maana Universal...Iliyoenea kote....

Nenda Irael uone Big Shrines, Cathedrals, na Basillicas ni makanisa gani... Hapo ndipo utakapo jua Kanisa Katoliki lilianzishawa na Kristo peke yake..

Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu..

FULL STOP AND LONG BREAK.........Wewe nenfda kasepetuke na kukata mauno huko kwenye hizo frem za biashara mnazoziita makanisa ya kina kakobe na ulokole kwa ujumla..
Kanisa la Roma halikuanzia Uyahudi week acha hizo na uache porojo za kukariri dini.Wayahudi madhehebu yote ya kikristo wasio waroma wanawaheshimu na wanajua hawakumsulubisha Yesu .Kanisa katoliki Lina ubalozi palestina na huwatetea wapalestina adui wa wayahudi.Haluwapendi wayahudi kwa taarifa yako .Na sababu Ni rahisi tu uongo wake wa kanisa katoliki kuwa wayahudi ndio walimhukumu Yesu,kumtesa,na kumuua msalabani madhehebu mengine yaligoma kutambua huo uongo kuwa waroma ndio wahusika wakuu wa mauaji ya Yesu na jaji wao mrumi ponsio Pilato na Askari wao waroma.

Roman Catholic wali absorb wauaji wa Yesu na kujifanya eti wait kanisa la kwanza!!! Mbona wanawatambua wapalestina na sio wayahudi ukoo wa Yesu? Wana guilt conciousness .
 
Back
Top Bottom