Mitume na manabii tishio kwa Kakobe,Gamanywa na Fernandes ndio maana wanalalama

Mitume na manabii tishio kwa Kakobe,Gamanywa na Fernandes ndio maana wanalalama

Una akili ndogo sana... Kanisa Katoliki limeanzia Jerusalem siku ile ya Pentekoste.. Baada ya hapo kutokana na sababu mablimbali hasa ukatili wa Wayahudi kwa wafuasi wa Yesu... Kanisa liliamia Rome... Kwa wakati ule Rome ndo ilikuwa kila kitu... Ukiweza kuiteka Rome umeiteka Dnia.. Hivyo Kanisa chini ya Mwamba Petro likaiteka Rome... Hivyo Kanisa likaeneo duniani kote(Katolikos) maana Universal...Iliyoenea kote....

Nenda Irael uone Big Shrines, Cathedrals, na Basillicas ni makanisa gani... Hapo ndipo utakapo jua Kanisa Katoliki lilianzishawa na Kristo peke yake..

Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu..

FULL STOP AND LONG BREAK.........Wewe nenfda kasepetuke na kukata mauno huko kwenye hizo frem za biashara mnazoziita makanisa ya kina kakobe na ulokole kwa ujumla..
Kanisa la Roma halikuanzia Uyahudi wee acha hizo na uache porojo za kukariri dini.imadhehebu yote ya kikristo wasio waroma wanawaheshimu Sana wayayudi na wanajua hawakumsulubisha Yesu .Kanisa katoliki Lina ubalozi palestina na huwatetea wapalestina adui wa wayahudi.Haliwapendi wayahudi kwa taarifa yako .Na sababu Ni rahisi tu uongo wake wa kanisa katoliki kuwa wayahudi ndio walimhukumu Yesu,kumtesa,na kumuua msalabani madhehebu mengine yaligoma kutambua huo uongo kuwa waroma ndio wahusika wakuu wa mauaji ya Yesu na jaji wao mrumi ponsio Pilato na Askari wao waroma.

Roman Catholic wali absorb wauaji wa Yesu na kujifanya eti wao kanisa la kwanza!!! Mbona wanawatambua wapalestina na sio wayahudi ukoo wa Yesu? Wana guilt conciousness .
 
Una akili ndogo sana... Kanisa Katoliki limeanzia Jerusalem siku ile ya Pentekoste.. Baada ya hapo kutokana na sababu mablimbali hasa ukatili wa Wayahudi kwa wafuasi wa Yesu... Kanisa liliamia Rome... Kwa wakati ule Rome ndo ilikuwa kila kitu... Ukiweza kuiteka Rome umeiteka Dnia.. Hivyo Kanisa chini ya Mwamba Petro likaiteka Rome... Hivyo Kanisa likaeneo duniani kote(Katolikos) maana Universal...Iliyoenea kote....

Nenda Irael uone Big Shrines, Cathedrals, na Basillicas ni makanisa gani... Hapo ndipo utakapo jua Kanisa Katoliki lilianzishawa na Kristo peke yake..

Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu..

FULL STOP AND LONG BREAK.........Wewe nenfda kasepetuke na kukata mauno huko kwenye hizo frem za biashara mnazoziita makanisa ya kina kakobe na ulokole kwa ujumla..
Lord have mercy
 
Sijaelewa point yako ni nini hasa, nimesoma Mara mbili sijaelewa!!
Hao watatu Gamanywa,Kakobe na Fernandes Wameanzisha kampeni Kali ya kuwapinga mitume na manabii kupitia kitu kinaitwa Jukwaa la kumhubiri Kristo ndio nikaeleza kilichowasukuma kupinga Ni Nini?
 
Point of Correction hakuna kanisa hata moja hapo hayo uliyoyataja yote ni huduma za maombezi za watu binafsi kwa kifupi makanisa ni machache sana i.e Roman Catholic,Lutheran,Anglican,Morovian,Pentekoste, na Assemblies of God (hapa bila kutenganisha EAGT na TAG) hizo zilizobaki zote ni huduma za maombezi..
Okay , kanisa ni nini ?
 
Hapana, hata hao wengine wanaweza kuanzisha sioni dhambi
Hao watatu Gamanywa,Kakobe na Fernandes Wameanzisha kampeni Kali ya kuwapinga mitume na manabii kupitia kitu kinaitwa Jukwaa la kumhubiri Kristo ndio nikaeleza kilichowasukuma kupinga Ni Nini?
 
Hao watatu Gamanywa,Kakobe na Fernandes Wameanzisha kampeni Kali ya kuwapinga mitume na manabii kupitia kitu kinaitwa Jukwaa la kumhubiri Kristo ndio nikaeleza kilichowasukuma kupinga Ni Nini?
HAo mitume na manabii ni matapeli yenye frem za biashara.. Wanaotumia mtaji wa matatizo ya watu, pamoja na ujinga wao kukwapua pesa....

I wish KAgame angekuwa kiongozi wa nchi hii... Nadhani ungejua nini kingefuata..
 
Wote WAFANYABIASHARA na WEZI wanaotumia BIBLIA kujitajirisha. Nasema WOTEEEE sio Waulaya...America...Africa....Asia.....
Na ndio maana Mzee wa upako alipoona usanii wake unampa utajiri kwa Ujinga wa kondoo...akatamka haya " Kuwa Masikini ni Ufala"
 
Na sababu Ni rahisi tu uongo wake wa kanisa katoliki kuwa wayahudi ndio walimhukumu Yesu,kumtesa,na kumuua msalabani madhehebu mengine yaligoma kutambua huo uongo kuwa waroma ndio wahusika wakuu wa mauaji ya Yesu na jaji wao mrumi ponsio Pilato na Askari wao waroma.
Na ndio maana nika kwambia kama Romans ndio walimuua Yesu basi Biblia yote ni uongo... Maana si unajua biblia ni kitabu kilichotengenezwa na wakatoliki...? Au unaelewa nini pale Yesu aliposema jiwe walilokataa waaashi sasa limekuwa jiwe kuu la pembeni.../

Hebu niambie zile sababu tatu za msingi ambazo MAfarisayo walijenga hoja kutaka Yesu asulubiwe..??? Au Mafarisayo, Waeseni , Waaandishi na Masadukayo, Waerode wote walikuwa Waroma..???? Umeachanganyikiwa wewe...???

Nahisi wew unamatatizo ya ubongo na pengine katika historia ya familia yenu kuna tatizo la utahira flani... Hivyo naona wewe ni wa kuchuliwa tuu...
 
Wote WAFANYABIASHARA na WEZI wanaotumia BIBLIA kujitajirisha. Nasema WOTEEEE sio Waulaya...America...Africa....Asia.....
Na ndio maana Mzee wa upako alipoona usanii wake unampa utajiri kwa Ujinga wa kondoo...akatamka haya " Kuwa Masikini ni Ufala"
Ofcourse wote ni matapeli tena majangili...
 
Huko kumejaa ushetani mnoo watu hawajui tu, maskini wanapigwa hela vibaya sana na hawasikiii.
 
Yesu kanisa lake aliamzisha uyahudi sio Roma Italia.Kanisa la kwanza lilianzia Israel siyo Roma Italia.Petro alichaguliwa kiongozi wa mitume na Yesu Uyahudi sio Roma Italia ndio maana madhehebu yote ya Wakristo huenda kuhiji Israel hawaendi Roma Italia.Sababu mwanzilishi wa Ukristo alizaliwa ,kuanzisha Ukristo na kufia Israeli .Yesu mwanzilishi wa Ukristo hakufia Roma Italia.Waliomuua Yesu Ni waroma wa Italia.Ponsio Pilato aliyemhukumu Yesu kufa alikuwa mroma wa Italia.Na Askari wa Roma Italia ndio wakimpiga Yesu kumtesa na walimsulubisha Yesu msalabani na kumuua kwa kumchoma mkuki.

Wayahudi Wala hawakumpiga Yesu,kumhukumu na kumuua msalabani.Ni waroma ndio walifanya Hilo kuficha uovu wao ndio wakaamua kujificha ndani ya katoliki kujifanya kanisa la kwanza lilianzia Roma walivyo matapeli! Mwanzilishi wa Ukristo Yesu alizaliwa na kuanzisha kanisa Roma? Kanisa la kwanza lilianzia Uyahudi full stop hizo zingine porojo tu hata zisemwe na papa
Umemaliza mkuu...
 
Una akili ndogo sana... Kanisa Katoliki limeanzia Jerusalem siku ile ya Pentekoste.. Baada ya hapo kutokana na sababu mablimbali hasa ukatili wa Wayahudi kwa wafuasi wa Yesu... Kanisa liliamia Rome... Kwa wakati ule Rome ndo ilikuwa kila kitu... Ukiweza kuiteka Rome umeiteka Dnia.. Hivyo Kanisa chini ya Mwamba Petro likaiteka Rome... Hivyo Kanisa likaeneo duniani kote(Katolikos) maana Universal...Iliyoenea kote....

Nenda Irael uone Big Shrines, Cathedrals, na Basillicas ni makanisa gani... Hapo ndipo utakapo jua Kanisa Katoliki lilianzishawa na Kristo peke yake..

Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu..

FULL STOP AND LONG BREAK.........Wewe nenfda kasepetuke na kukata mauno huko kwenye hizo frem za biashara mnazoziita makanisa ya kina kakobe na ulokole kwa ujumla..
We ni kiazi mbatata kweli, unajua kwann makanisa ya walokole yanaitwa makanisa ya ki pentekoste? Unaijua misingi ya pentekoste? Unaijua misingi ya katoliki? Ukijua hayo hautasema katoliki lilianzishwa siku ya pentekoste
 
Kama Wayahudi hawakumsulubisha Yesu basi Biblia yote ni fraud..
Wayahudi hawakumsulubisha waliomgongomelea msalabani Ni Askari wa kiroma sio wayahudi.Alihukumiwa na Ponsio Pilato mroma kuwa asulubiwe na Askari wa kiroma ndio wali execute judgement ya kuua Yesu.Hakuna myahudi aliyeua Yesu Ni waroma
 
Back
Top Bottom