Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Karudie kusoma biblia yako inawezekana ulikuwa unasoma kama gazetihata kufufua hakwenda makaburini kufufua watu ila akiitwa akafufue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karudie kusoma biblia yako inawezekana ulikuwa unasoma kama gazetihata kufufua hakwenda makaburini kufufua watu ila akiitwa akafufue
Hembu tuambie dada yake lazaro alimwambia nini yesu kabla hawajaenda kaburini... usifikiri humu watu hatusomi biblia ndugualienda Mfano kwa Lazaro na alimfufua kwa hiari yake Wala hakuna aliyemuomba alijisikia kufufua akafufua.
Kagane tapeli mkubwa kwenye mambo ya dini yeye kikimbana Cha kumbana huwa anaenda kwa TB Joshua Nigeria kusaliHAo mitume na manabii ni matapeli yenye frem za biashara.. Wanaotumia mtaji wa matatizo ya watu, pamoja na ujinga wao kukwapua pesa....
I wish KAgame angekuwa kiongozi wa nchi hii... Nadhani ungejua nini kingefuata..
ACHA UONGO!!!!Mfano kwa Lazaro na alimfufua kwa hiari yake Wala hakuna aliyemuomba alijisikia kufufua akafufua.
Ili kuwachanganya raiaKwanini wanajiita mitume Au nabii?
YAni wewe ni takataka kabisa yani... Aisee kama nchi ndio sampuli ya watu kama nyie.. Kwakweli tunasafari ndefu sana... Ndio maana hayo matapeli kina Kakobe, mwingira wanaendelea kuwakwapua watu tena masikini fedha zaoWayahudi hawakumsulubisha waliomgongomelea msalabani Ni Askari wa kiroma sio wayahudi.Alihukumiwa na Ponsio Pilato mroma kuwa asulubiwe na Askari wa kiroma ndio wali execute judgement ya kuua Yesu.Hakuna myahudi aliyeua Yesu Ni waroma
MAkanisa yote ya kilokole pamoja na hayo ya wakina Kakobe na magenge yao, yamwe yanaitwa yakipentekoste au yame yanaitwaje...Wote nyie ni magenge ya matapeli na kichaka cha watu wajinga duniani wasiotaka kutumia akili zao wakisubiri miujiza huku wakimtupia Roho Mtakatifu zigo la kuwatatulia matatizo yako...We ni kiazi mbatata kweli, unajua kwann makanisa ya walokole yanaitwa makanisa ya ki pentekoste? Unaijua misingi ya pentekoste? Unaijua misingi ya katoliki? Ukijua hayo hautasema katoliki lilianzishwa siku ya pentekoste
Point of Correction hakuna kanisa hata moja hapo hayo uliyoyataja yote ni huduma za maombezi za watu binafsi kwa kifupi makanisa ni machache sana i.e Roman Catholic,Lutheran,Anglican,Morovian,Pentekoste, na Assemblies of God (hapa bila kutenganisha EAGT na TAG) hizo zilizobaki zote ni huduma za maombezi..
Hata vijijini ni marufuku kabisa kuonekana [emoji23]Si waende mahospitali waliko na wagonjwa
Kama bwana wangu Yesu !!!...
Hawa ni wahuni
Damu ya Yesu ya nini sasa ikiwa hawaitumii zaidi ya kutumia unga, mafuta, maji na chumvi?Kutibu unatumia physical material or liquid kuponya Ni kutumia healing powers .Ni sawa na tofauti ya creating and manufacturing.Creating is making something out of nothing while manufacturing is making something from something
Alifufufua wawili nadhani.Yesu na mbwembwe zoooote, alifufua mfu mmoja tu.... hii ni jeuri na kutokujali au matumizi mabaya ya talanta.
Wajinga ndio waliwaoMkiambiwa dini ni biashara mnatoka mapovu!
Hii yote ni nini kama sio organizational competition towards scarce resources ambao ni waumini???
Biashara biasharani!
Mwenge kakobe alikuwa peke yake akiwika Ghafla akakuta Mtume mwingira huyo kaingia hatua chache toka alipo na maelfu ya waumini akimiliki.hadi ndege na television ujogoo ukaisha ghafla
Gamanywa na Fernandes walikuwa ndio majogoo mbezi Ghafla bin vuu wakakuta Mtume Mwamposya huyu hapa hatua chache toka walipo na anavuma kuliko wao.na kusomba watu kibao Hadi sehemu za kukaa hawana .Wengine kasomba waumini wao
Hi ndio sababu kuu yao wao kuanzisha Vita na mitume na manabii lakini ukweli Ni kuwa Ni frustrations za kuona wamepitwa Ghafla na vijana wa juzi juzi tu
Kifupi wajiandae kwa surprise zaidi .Kanisa Ni dynamic sio static Ukiona wewe umefika kesho utashangaa mtu hata hujui katokea wapi huyo anaku overtake.Ni Kama Daudi alivyo mu overtake Sauli na kuchukua ufalme.Mrithi wa Mfalme Sauli kawaida angekuwa mtoto wa Sauli lakini akakuta Daudi huyo kitoto toka porini hicho kinapeta
Alifufufua wawili nadhani.
Hivi hayo makanisa yenu huwa yana expire date? Maana wachungaji wanapondana wakati ni matapeli tu Wamarekani wametuharibu sana
vuguvgu la makanisa ya Kipentekoste (Walokole) chanzo chake ni Marekani..Wamarekani wameingiaje, ni lini walihubiri dini..?