Kuna bwana mmoja alichafua hali ya hewa StarTv kipindi cha tuongee asubuhi miaka kadhaa iliyopita. Alidai mwana mazingaombwe wa kwanza alikuwa Yesu kwa miujiza aliyokuwa akifanya mpaka kufikia hatua kufa na kufufuka. Nakumbuka kipindi ilibidi kikatishwe kwani wafuasi wa kristo walitoka mapovu si mchezo. Chanzo ni yeye kama mwenyekiti wa chama cha waganga wa tiba asilia huko kwao kushutumiwa na watazamaji kuwa wanatumia uchawi. na mazingaombweSasa wawili tu promo zote hizi za nini..?
AbdarakadabraSio kweli siku aliyokufa alifufua maelfu makaburi yalipasuka na waliokufa kibao wakafurika jiji la yerusalemu na watu wakawaona
Ni sawa kuwa uyahudi ilikuwa chini ya utawala wa Roma na wayahudi wasingeweza kufanya chochote bila ya utawala wa Roma kuruhusu. Magavana wote waliteuliwa na waroma, so inawezekana kabisa walihusika moja kwa moja.Kama Wayahudi hawakumsulubisha Yesu basi Biblia yote ni fraud..
Kwa nini haya makanisa yoooote yapo Mwenge yani ni Mwenge, Ubungo na Mbezi beach whyMwenge kakobe alikuwa peke yake akiwika Ghafla akakuta Mtume mwingira huyo kaingia hatua chache toka alipo na maelfu ya waumini akimiliki.hadi ndege na television ujogoo ukaisha ghafla
Gamanywa na Fernandes walikuwa ndio majogoo mbezi Ghafla bin vuu wakakuta Mtume Mwamposya huyu hapa hatua chache toka walipo na anavuma kuliko wao.na kusomba watu kibao Hadi sehemu za kukaa hawana .Wengine kasomba waumini wao
Hi ndio sababu kuu yao wao kuanzisha Vita na mitume na manabii lakini ukweli Ni kuwa Ni frustrations za kuona wamepitwa Ghafla na vijana wa juzi juzi tu
Kifupi wajiandae kwa surprise zaidi .Kanisa Ni dynamic sio static Ukiona wewe umefika kesho utashangaa mtu hata hujui katokea wapi huyo anaku overtake.Ni Kama Daudi alivyo mu overtake Sauli na kuchukua ufalme.Mrithi wa Mfalme Sauli kawaida angekuwa mtoto wa Sauli lakini akakuta Daudi huyo kitoto toka porini hicho kinapeta
Kwa nini ni Mwenge na kawe?Mwenge kakobe alikuwa peke yake akiwika Ghafla akakuta Mtume mwingira huyo kaingia hatua chache toka alipo na maelfu ya waumini akimiliki.hadi ndege na television ujogoo ukaisha ghafla
Gamanywa na Fernandes walikuwa ndio majogoo mbezi Ghafla bin vuu wakakuta Mtume Mwamposya huyu hapa hatua chache toka walipo na anavuma kuliko wao.na kusomba watu kibao Hadi sehemu za kukaa hawana .Wengine kasomba waumini wao
Hi ndio sababu kuu yao wao kuanzisha Vita na mitume na manabii lakini ukweli Ni kuwa Ni frustrations za kuona wamepitwa Ghafla na vijana wa juzi juzi tu
Kifupi wajiandae kwa surprise zaidi .Kanisa Ni dynamic sio static Ukiona wewe umefika kesho utashangaa mtu hata hujui katokea wapi huyo anaku overtake.Ni Kama Daudi alivyo mu overtake Sauli na kuchukua ufalme.Mrithi wa Mfalme Sauli kawaida angekuwa mtoto wa Sauli lakini akakuta Daudi huyo kitoto toka porini hicho kinapeta
Umesema yesu hakuwahi Halafu unasema aliitwa akaenda mmmmhacha hizo Yesu hakuwahi kwenda hospitali kuponya mtu yeye alienda tu kule aliitwa kuponya hata kufufua hakwenda makaburini kufufua watu ila akiitwa akafufue alienda Mfano kwa Lazaro na alimfufua kwa hiari yake Wala hakuna aliyemuomba alijisikia kufufua akafufua.
Ni kweli na wote huanzaga na msemo kwamba njoi ushiriki ibada kwangu na siku ya jumapili uende kwenye dhehebu au kanisa lako lakini unakuta kwamba hata hio Jumapili wanaambiwa waje kwenye hio huduma, moja ya sifa ya huduma ni kwamba hua hakuna bodi ya kanisa, yani mchungaji ni yeye mke wake mzee wa kanisa watoto wa mchungaji ni waimba kwaya ukikosana na familia ya mchungaji upo hati hati kufukuzwa hapo kanisaniWell spoken Kijana watu hawajui tu lakini kale ka neno"Ministry " mwisho huwa kana maanisha huduma na sio kanisa na huwa nashindwa kujua kwa nini kanakuwepoga though huwa ninahisi ni issue ya usajili au ni njia ya kuwavutia wengi wakionesha kwamba anyone from any church can participate without affecting his|her original church worshipping schedule ila wakifika wanakutana na kanisa hehehe jpil to jpili mwisho niseme tu,hawa wajiitao manabii si manabii hawana ibada zenye mguso kwa kweli na confidence yao ni pale saa ya uponyaji hehehe a real trap to most us
Mbona Ana hela kuzidi serikali atulie tuHela huleta chuki eti watu wa Mungu nao wameanza bifu.KAKOBE ATULIE ZAMU YAKE KUPIGA HELA IMEISHA SASA NI ZAMU YA KINA MWAMPOSA NA SUGUYE.
Wewe ni msikilizaji wa wapo radio?Mtoa madam hajielewi ameanzia maada asioijua ,watu hawangalii vitu tunajali utakatifu na injili kuhubiriwa ktk ukamilofu wake.hayo mengine ni porojo.Kakobe namuelewa muda mrefu.
Unaweza nitajia mashtaka ambayo Yesu alituhumiwa kuyafanya au kuayakiuaka na ....??? Na , Je hayo mashitaka au tuhuma zilikuwa ni kukiuka masharti ya Serikali ya Kirumi au taratibu za Kiyaudi...?? Je! mtu anahukumiwa kuwa kafanya kosa kwa kuvunja sheria..? Na Kama Serikali ya kirumi ndio iliyomhukumu, je ilimhukumu kwa kuvunja sheria za kirumi au kiyahudi...?Ni sawa kuwa uyahudi ilikuwa chini ya utawala wa Roma na wayahudi wasingeweza kufanya chochote bila ya utawala wa Roma kuruhusu. Magavana wote waliteuliwa na waroma, so inawezekana kabisa walihusika moja kwa moja.
Wote hao hata huyo Kakobe ni genge la matapeli kwa kutumia biblia na jina la YesuMtoa madam hajielewi ameanzia maada asioijua ,watu hawangalii vitu tunajali utakatifu na injili kuhubiriwa ktk ukamilofu wake.hayo mengine ni porojo.Kakobe namuelewa muda mrefu.
Mwenge kakobe alikuwa peke yake akiwika Ghafla akakuta Mtume mwingira huyo kaingia hatua chache toka alipo na maelfu ya waumini akimiliki.hadi ndege na television ujogoo ukaisha ghafla
Gamanywa na Fernandes walikuwa ndio majogoo mbezi Ghafla bin vuu wakakuta Mtume Mwamposya huyu hapa hatua chache toka walipo na anavuma kuliko wao.na kusomba watu kibao Hadi sehemu za kukaa hawana .Wengine kasomba waumini wao
Hi ndio sababu kuu yao wao kuanzisha Vita na mitume na manabii lakini ukweli Ni kuwa Ni frustrations za kuona wamepitwa Ghafla na vijana wa juzi juzi tu
Kifupi wajiandae kwa surprise zaidi .Kanisa Ni dynamic sio static Ukiona wewe umefika kesho utashangaa mtu hata hujui katokea wapi huyo anaku overtake.Ni Kama Daudi alivyo mu overtake Sauli na kuchukua ufalme.Mrithi wa Mfalme Sauli kawaida angekuwa mtoto wa Sauli lakini akakuta Daudi huyo kitoto toka porini hicho kinapeta
Mkuu, kosa la kwanza la Yesu ni kujiita mfalme wa wayahudi huku akijua mtawala ni mrumi, hilo pekee kwa sasa ni sawa na kosa la uhaini na adhabu yake ilikuwa kutundikwa msalabani hadi kufa. Kosa jingine dhidi ya wayahudi ni yeye kujiita mwana wa Mungu, hayo mawili yalitosha kupata adhabu aliyopata.Unaweza nitajia mashtaka ambayo Yesu alituhumiwa kuyafanya au kuayakiuaka na ....??? Na , Je hayo mashitaka au tuhuma zilikuwa ni kukiuka masharti ya Serikali ya Kirumi au taratibu za Kiyaudi...?? Je! mtu anahukumiwa kuwa kafanya kosa kwa kuvunja sheria..? Na Kama Serikali ya kirumi ndio iliyomhukumu, je ilimhukumu kwa kuvunja sheria za kirumi au kiyahudi...?