Huyo ndiye Mungu wa kweli mwenye nguvu na hekima
Huvanya apendavyo kwa watiifu. Hahitaji fidia ili kusamehe dhambi, bali anataka utiifu tu
na huyu ndiye MUNGU MWENYE REHEMA TELE Karibu Uisamu ni kwa wote huja chelewa
na kamautasilimu leo ,basi Madhambi yako yote ytageuzwa kuwa Thawabu ,utakuwa safi kama mtoto mchanga.
Ukienda Hija, umesafishwa,
Ukitowa zakka Umetakaswa.
Ukisla sala ya Alfajiri msikitini kisha usoma Aya tul Qursiyu, wewe tyari ni mtu wa peponi ,kizuizi chako ni uhai tu na kufa
Mwenye kufanya utiifu na akatubu huongezewa nguvu ya kujizuia na madhambi