Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Unifahamu vyema.
Kwani Mungu si alijua kuwa Ibilisi shetani atamuasi tokea anamuumba?
Lakini kwa nini alimuacha akaja kutimiza dhamira yake ile kwa Baba yetu Adamu?
Kisha akamuhukumu adamu kwa dhambi ya Kula mti na kuwa na dhambi ya Asili?
Hekima ya Mungu si ile ya Binadamu.
Ukijuwa siri ya tukio la Ibilisi utajuwa kuwa Mungu alimbakiza kutoka kwa Majini waliokuwa kabla ya Mwanadamu kuumbwa.
Hatimae Ibilisi akiwa Kitoto akachukuliwa na Malaika akawekwa mbinguni pamoja na malaika.
Pamoja na Neema hii, Ibilisi alimkanusha Mungu kwa kumpinga amri yake na kujifanya anajua zaidi.
Mungu alimlaani na kumfukuza kwenye Rehema zake.
Kisha akamruhusu ampoteze Baba yetu ili iwe funzo kwetu kuwa Shetani atakuwepo nasi na atafanya uadui.
Mungu alienelea kumuachia aishi hadi siku ya Mwisho.
Ukhoji utasema Mungu katucheza shere?
Laa sivyo,huu ni mpango wake na Hekima yake .

Mungu anamkumbatia shetani always
 
nyiniyi mumepotezwa na Paulo kwa kuwambia kuwa hamuna ulazima wa kutahiriwa
Bado tuu hujagundua kuwa Sauli alikuwa against na Yesu?
Sauli anakulisheni Nyamafu na Nguruwe,
Sauli anakunwesheni Pombe.
Na hata Kukuhalalishieni mapenzi ya jinsia moja.
Bado hamujagundua kitu hapo?
nawasikitikia sana
 
nyiniyi mumepotezwa na Paulo kwa kuwambia kuwa hamuna ulazima wa kutahiriwa
Bado tuu hujagundua kuwa Suli alikuwa against na Yesu?
Sauli anakulisheni Nyamafu na Nguruwe,
Sauli anakunwesheni Pombe.
Na hata Kukuhalalishieni mapenzi ya jinsia moja.
Bado hamugundui kitu hapo?
Paulo ni mtume wa Yesu Kristo. Hakuna mahali Paulo yupo kinyume na Yesu.


hata Kukuhalalishieni mapenzi ya jinsia moja.
Weka ushahidi wa hili.
 
All these claims simply reveals lack of understanding of the writer. There is no contradiction in any of them. Ask for light and you will immediately see. Learn first the principles of biblical interpretation.
 
Tumuulize Mkewe Mama Aisha , Je Muhammad (saw) ALITAHIRIWA?
 
Paulo ni mtume wa Yesu Kristo. Hakuna mahali Paulo yupo kinyume na Yesu.



Weka ushahidi wa hili.
Ni nani aliyefundisha kuwa Padri hahitaji kuwa na mke?
Hatimae ama wanakuwa Mashoga, au wanakuwa wabakaji Masisiter.
Hulioni hili?
 
Ni nani aliyefundisha kuwa Padri hahitaji kuwa na mke?
Hatimae ama wanakuwa Mashoga, au wanakuwa wabakaji Masisiter.
Hulioni hili?
Au tufunguike zaidi?
Kuhusu kushindiliwa ya Paulop?
 
Ni nani aliyefundisha kuwa Padri hahitaji kuwa na mke?
Hatimae ama wanakuwa Mashoga, au wanakuwa wabakaji Masisiter.
Hulioni hili?
Hakuna neno padri kwenye biblia. Paulo hajawahi kutoa agizo kwamba mtu yeyote asioe.
 
Ukiwa huna uhakika na unachoandika ni BORA KUTOANZISHA UZI....

kwenye Uislam ukisikia anatajwa Mola Mlezi utasikia kwa mfano Allah Subhanah Wataala, akitajwa Mtume utasikia Rehema na Amani ziwe juu yake, wakitajwa mitume wote waliobakia aliwemo mtume wa Allah Issah utakisikia Alayh Salam, wakitajwa maswahaba utasikia Radhiallah Anhu, Waja wema waliotangulia Rahmahullah au waliopo HAI utasikia hafidhallah

Kwa hiyo siyo kweli UNACHOKISEMA KUWA KWENYE UISLAM MTUME ANAOMBEWA MSAMAHA.....

MOLA MLEZI ameweka utaratibu wa kumtukuza YEYE kila anapotajwa au unapotaja jina la Mola Mlezi, kuwatakia salama na amani Waja wema waliotangulia kwa maana waliishi na kumridhisha YEYE na YEYE amewaridhia na wanaombewa mpaka na malaika...


KINYUME CHAKE kwa kila aliyeishi kwa UJABARI NA KUMUASI MOLA MLEZI KAMA FIRAUNI na wote wanaomfuatia basi utasikia yakitamkwa MKASIRIKO YA MOLA MLEZI NA KUWEKWA MBALI NA REHEMA ZAKE baada ya majina yao!!!!

Kwa aliye hai ataombewa UONGOFU ila akifa mwanadamu kati uasi basi hadi Malaika watamwombea Makasiriko ya Mola Mlezi....

HUJAWAHI ONA MTU ANAFARIKI NA WATU WANAFURAHI KUWA WATAPUMZIKA KUTOKANA NA MAUDHI AU DHULMA ZAKE???? Au MWINGINE ANAFARIKI KILA YUALIA KUTOKANA NA WEMA WAKE KWA WATU???

Basi jua vivyo hivyo kwa wanadamu na Mailaka kumwombea aliyefariki au hata aliye HAI...
Mhuu umeshamaliza Maneno , Wacha sasa Uzi ufikie mwisho maana Ujinga dawa yake ni ELIMU
 
Muhammad alikuwa na wake wengi kuliko maagizo ya Allah. Pia alioa mtoto wa miaka tisa.
Sifa ya Mtoto wa kiume ni kuonesha urijaali wake na
Wale wagonjwa wenye ubaradhuli Tunawahurumia tuu, maana wenyewe huamua kuwa Mashoga, au Kuto owa Kabisa.
 
Back
Top Bottom