Kama lugha ngumu kwako sema , hayo ndio majibuHapa tunataka majibu. Kwenye link hakuna majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama lugha ngumu kwako sema , hayo ndio majibuHapa tunataka majibu. Kwenye link hakuna majibu.
Nacheka sana. Biblia inasemaje kuhusu tukio hilo ? Swali langu lipo hapo.Hatuwezi kurudi wakati Allah kathibitisha tukio waliona
Allah kasema lilitokea wewe unambishia au , embu weka waziNacheka sana. Biblia inasemaje kuhusu tukio hilo ? Swali langu lipo hapo.
Acha utoto naongelea Biblia yenu unayo iamini.Allah kasha shuhudia unataka wengine wa nini
Mimi sina shaka na maandiko yetu, swali bado hujajibu kwa mujibu wa imani yako.Allah kasema lilitokea wewe unambishia au , embu weka wazi
Kama lugha ngumu kwako sema , hayo ndio majibu
Umekiri waliona , Allah kakiri waliona Yesu msalabani , unataka ushahidi wa nani zaidi 😂😂😂😂nimeshalotolea ufafanuzi.
, jinu liko wazi, wao walijua ni Yesu, ndiyo
Tumemaliza , tukio lilitokea na watu waliona na kuandika walicho onaMimi sina shaka na maandiko yetu, swali bado hujajibu kwa mujibu wa imani yako.
Shukrani kwa kushiriki, mimi kazi yangu nimemaliza.
Utamaliza siku ambayo utaleta majina matano na utuambie kwa mujibu wa Biblia Yesu alisulubiwa au la, alikufa na akafufuka.Tumemaliza , tukio lilitokea na watu waliona na kuandika walicho ona
Majina matano ya Nini wakati Koran imekupa majibu kwamba waliona kasulubiwa , embu tuliza akili ata wewe ungekuwa pale ungeona kasulubiwa inamaana wanao sema kasulubiwa ni WA kweli maana wanaandika kitu walichoonaUtamaliza siku ambayo utaleta majina matano na utuambie kwa mujibu wa Biblia Yesu alisulubiwa au la, alikufa na akafufuka.
Nimemaliza.
Mpaka leo hii umesema Al jallayn na inb abas ni vitabu vya uongo , unaelekea pazuri kumkiri YesuUtamaliza siku ambayo utaleta majina matano na utuambie kwa mujibu wa Biblia Yesu alisulubiwa au la, alikufa na akafufuka.
Nimemaliza.
Nakuongeza swali , huyu aliefananishiwa akawa anafanana kila kitu na Yesu alikuwa nani? Identity yakeUtamaliza siku ambayo utaleta majina matano na utuambie kwa mujibu wa Biblia Yesu alisulubiwa au la, alikufa na akafufuka.
Nimemaliza.
Kama Vitabu vya dini vimesita kulizungumzia jambo, elea halina maslahi kwako wewe muumini.Weka hapa hao wengine wasiokuwa waisraeli.
Wewe unakwepa mada, Jibu kama Hujatahriwa ueleze ni kwa nini wakati wewe unadai ni mfuasi wa Yesu?Tungeanza na muhammad utuambie Kwa Nini hakutahiriwa , alikuwa govinda
Jibu swali nililo kuuliza.Majina matano ya Nini wakati Koran imekupa majibu kwamba waliona kasulubiwa , embu tuliza akili ata wewe ungekuwa pale ungeona kasulubiwa inamaana wanao sema kasulubiwa ni WA kweli maana wanaandika kitu walichoona
Jibu maswali niliyo kuuliza.Mpaka leo hii umesema Al jallayn na inb abas ni vitabu vya uongo , unaelekea pazuri kumkiri Yesu
Jibu maswali niliyo kuulizaNakuongeza swali , huyu aliefananishiwa akawa anafanana kila kitu na Yesu alikuwa nani? Identity yake
Swali lako allah kajibu ninkweli waliona Yesu kasulubiwa sasa nilikuuliza hupendi jibu la Allah au vipi?Jibu maswali niliyo kuuliza
Tuanze na unae muamini kwa nini hakuna andiko alitahiriwa na kwa nini alikuwa govindaWewe unakwepa mada, Jibu kama Hujatahriwa ueleze ni kwa nini wakati wewe unadai ni mfuasi wa Yesu?