Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Unapotaja majina unaweka na andiko lenu kutikia nguvu hicho ulichosema.

Sababu historia inasema wanafunzi wa Yesu hawakuzidi hata 120, na kutokana manyanyaso ilikuwa ngumu kuelezea au kueneza Injili ya nabii Issa (Yesu) sababu ilikuwa ikisikika tu unauliwa.

Bado hujajibu maswali niliyo kuuliza. Nimekaa hapa nasubiri majibu ya maswali yangu.
Tukio liliwekwa kwenye kumbukumbu kijana maana umekiri waliona Isa bandia kama original , huu uongo wa Allah ni WA kuupinga kwa nguvu zote
 
Huyu hapa nani amekiri walijua ni Yesu , swali lilifuta Allah baada ya kufanya shughuli ya uongo alikaa mda Gani kuja kusema alidanganya? Ni muhimu ujibu time
Ukiambiwa una matatizo ya akili unatakiwa ujitathmini, jibu liko wazi huu ni upande wetu sisi waislamu kutokana na maandiko yetu sisi yaani Qur'aan.

Nataka kwa mujibu wa maandiko yenu ambayo wewe unaamini ya kuwa Yesu alisulubiwa ndiyo utuambie habari hizi aliziandika nani na walio shuhudia watano wakasema Yesu amesulubiwa nitajie. Kijana natumia Kiswahili chepesi sana.
 
Kwa hiyo vitabu vyenu Al jallayn na ibn abas unathubitisha ni vya uongo?
Soma ufafanuzi nilio kupa usipoteze muda kwenye hakuna.

Nasubiri majibu ya maswali yangu.

Nikipata wasaa nitakuja na uzi maalumu mtuambie hizi injili zenu ni nani aliziandika na kisha nitamalizia na uungu wa Yesu upo kimaandiko au ni Falsafa za Wagiriki maana hauingii akilini. Hiki ni kidokezo tu. Tuachane nacho kwa muda huu.
 
Ukiambiwa una matatizo ya akili unatakiwa ujitathmini, jibu liko wazi huu ni upande wetu sisi waislamu kutokana na maandiko yetu sisi yaani Qur'aan.

Nataka kwa mujibu wa maandiko yenu ambayo wewe unaamini ya kuwa Yesu alisulubiwa ndiyo utuambie habari hizi aliziandika nani na walio shuhudia watano wakasema Yesu amesulubiwa nitajie. Kijana natumia Kiswahili chepesi sana.
Ushahidi ni wako maana ndio maandiko unayo yaamini
Kwanza omba samahani kwa kudanganya haukukiri tukio waliona
 
Tukio liliwekwa kwenye kumbukumbu kijana maana umekiri waliona Isa bandia kama original , huu uongo wa Allah ni WA kuupinga kwa nguvu zote
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza unadandia dandia hoja zangu ?
 
Soma ufafanuzi nilio kupa usipoteze muda kwenye hakuna.

Nasubiri majibu ya maswali yangu.

Nikipata wasaa nitakuja na uzi maalumu mtuambie hizi injili zenu ni nani aliziandika na kisha nitamalizia na uungu wa Yesu upo kimaandiko au ni Falsafa za Wagiriki maana hauingii akilini. Hiki ni kidokezo tu. Tuachane nacho kwa muda huu.
Ufafanuzi umesema Al jallayn na ibn abas maandiko ya waislamu ni uongo wameandika
 
Ushahidi ni wako maana ndio maandiko unayo yaamini
Kwanza omba samahani kwa kudanganya haukukiri tukio waliona
Kule sikukiri chochote kule nilielezea ninachokiamini.

Ule siyo ushahidi sababu unaenda kinyume na imani yako. Jibu swali nililo kuuliza.
 
Kule sikukiri chochote kule nilielezea ninachokiamini.

Ule siyo ushahidi sababu unaenda kinyume na imani yako. Jibu swali nililo kuuliza.
Umekiri hivyo vitabu havina ushahidi kutoka kwa hao watu , mpaka ndugu yake Muhamma Ibn Abbas ambae Muhamma alisema yeye ni mfasiri hodari umesema ni muongo 😂😂😂 na kitabu chake waislamu mmechezesha
 
Umekiri hivyo vitabu havina ushahidi kutoka kwa hao watu , mpaka ndugu yake Muhamma Ibn Abbas ambae Muhamma alisema yeye ni mfasiri hodari umesema ni muongo 😂😂😂 na kitabu chake waislamu mmechezesha
Kijana soma nilichokiandika vizuri. Mbona kipo wazi.

Wala sijasema havina ushahidi, una matatizo ya uelewa kijana.
 
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza unadandia dandia hoja zangu ?
Nasubiria uombe samahani kwa kupinga haukukiri waliona ni Yesu

Alafu uje useme Allah baada ya tukio la uongo alikaa mda Gani kuja kusema kweli
 
Nasubiria uombe samahani kwa kupinga haukukiri waliona ni Yesu

Alafu uje useme Allah baada ya tukio la uongo alikaa mda Gani kuja kusema kweli
Kijana una matatizo ya akili sasa huku unaelekea kunipotezea muda.

Jibu maswali niliyo kuuliza.
 
Kijana una matatizo ya akili sasa huku unaelekea kunipotezea muda.

Jibu maswali niliyo kuuliza.
Omba samahani kwa kupinga hukusema waliona ni Yesu
Kuwa muungwana

Kazi ya uongo ni ya shetani na watoto wake
Soma
Yohana 8:44
Neno: Bibilia Takatifu
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanga nya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
 
Kijana una matatizo ya akili sasa huku unaelekea kunipotezea muda.

Jibu maswali niliyo kuuliza.
Jibu Allah baada ya kudanganya kuhusu Isa alikaa mda Gani kuja kusema lililo kweli?
 
Omba samahani kwa kupinga hukusema waliona ni Yesu
Kuwa muungwana

Kazi ya uongo ni ya shetani na watoto wake
Soma
Yohana 8:44
Neno: Bibilia Takatifu
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanga nya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
Kijana hapa lazima nikukande, na hakuna kupindisha maneno, soma maneno yangu yako wazi sana.

Swali langu limekuuliza kulingana na imani yako, sasa ruka ruka binuka kaa simama, nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Jibu Allah baada ya kudanganya kuhusu Isa alikaa mda Gani kuja kusema lililo kweli?
Hili nilishalielezea huko nyuma.

Nasubiri majibu ya maswali yangu. Hapa lazima nikukande kijana, hatulei wajinga na wapotoshaji.
 
Mwenyezi Mungu ndiye Mwingi wa rehema na Mwenye Kurehemu.
Mwanadamu anapokuwa hai, duniani anaomba rehema za Mwenyezi Mungu lakini anapofariki anambewa Mwenyezi Mungu amrehemu..

Kumbuka ata watume walikuwa wanadamu na walikuwa wanamuomba Mwenyezi Mungu, na kwakuwa tumeahidiwa kufufuliwa na kulipwa kwaiyo tunahitaji rehema za Mwenyezi Mungu duniani na aturehemu haela.
Mtume aliye kipenzi cha allah aombewe tena? Mitume katika Kristo walimaliza wakiwa wanajua hatma yao. Huyu anayeombewa ni guesswork tu maana hata yeye hakujua hatma yake.

Kwetu sisi wakristo, kaburi li wazi, Yesu Kristo alifufuka na tunafahamu hatma yetu. Hatuombewi tukishaondoka duniani.
 
jinu liko wazi, wao walijua ni Yesu,
Kwa hili Kisai uje uwe muungwana uombe samahani kwa kudanganya haukukiri waliona ni Yesu msalabani

Alafu uje useme Allah alikaa mda Gani kuja kusema lililo kweli
 
Naona umeamua kumtumia Charles John Ellicott muanglikana akusaidie ambaye amezaliwa 1819. Katika maelezo hakuna sehemu amekanusha kuhusu kulaaniwa. Humo kapiga porojo za kusamehewa dhambi ya kwamba laana zetu zimebebwa.

Galatians 3:13​

13 Christ redeemed us from the curse of the law(A) by becoming a curse for us, for it is written: “Cursed is everyone who is hung on a pole.
 
Back
Top Bottom