Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Naona umeamua kumtumia Charles John Ellicott muanglikana akusaidie ambaye amezaliwa 1819. Katika maelezo hakuna sehemu amekanusha kuhusu kulaaniwa. Humo kapiga porojo za kusamehewa dhambi ya kwamba laana zetu zimebebwa.

Galatians 3:13​

13 Christ redeemed us from the curse of the law(A) by becoming a curse for us, for it is written: “Cursed is everyone who is hung on a pole.
Zipo commentary nyingi soma , tumemaliza usirudie swali kama una scratch CD na msaidie ndugu Yako muongo Kisai kasema waliona Yesu kasulubiwa badae anadai sio yeye kasema
 
Zipo commentary nyingi soma , tumemaliza usirudie swali kama una scratch CD na msaidie ndugu Yako muongo Kisai kasema waliona Yesu kasulubiwa badae anadai sio yeye kasema
Hakuna kukimbia swali hapa hadi tupate jibu. Naona umegoogle bila kutumia akili. Yaani hapo umehamisha lugha hakuna kilichojibiwa.
Huku kwako kuchambua kunakushinda nini hadi ujaribu commentaries za waanglikana ambazo hazina majibu. Swali halijibiki nikubadilishie swali rahisi zaidi?


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Hakuna kukimbia swali hapa hadi tupate jibu. Naona umegoogle bila kutumia akili. Yaani hapo umehamisha lugha hakuna kilichojibiwa.
Huku kwako kuchambua kunakushinda nini hadi ujaribu commentaries za waanglikana ambazo hazina majibu. Swali halijibiki nikubadilishie swali rahisi zaidi?


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Majibu nimeshaweka kasome , tena zipo commentary nyingi sio moja tu
 
Kwa hili Kisai uje uwe muungwana uombe samahani kwa kudanganya haukukiri waliona ni Yesu msalabani

Alafu uje useme Allah alikaa mda Gani kuja kusema lililo kweli
Kijana nimekwambia ruka utakavyo ruka ila maswali yangu lazima uyajibu. Suala miaka nimeshalielezea huko nyuma na hiyo si hoja ya msingi, hata ingekuwa miaka elfu, Allah anafanya analo litaka, na huleta mtume na manabii kwa haja, soma huko nyuma nilielezea hili. Sasa usilete usanii ukaona hii nayo ni hoja ambayo nimeshaiweka wazi huko nyuma.

Maswali yangu ni yale yale tuambie kwa mujibu wa imani yenu ambayo mnaamini Yesu amesulubiwa, kina nani walishuhudia, n habari za Yesu, Yohana amezipata wapi ?
 
Kijana nimekwambia ruka utakavyo ruka ila maswali yangu lazima uyajibu. Suala miaka nimeshalielezea huko nyuma na hiyo si hoja ya msingi, hata ingekuwa miaka elfu, Allah anafanya analo litaka, na huleta mtume na manabii kwa haja, soma huko nyuma nilielezea hili. Sasa usilete usanii ukaona hii nayo ni hoja ambayo nimeshaiweka wazi huko nyuma.

Maswali yangu ni yale yale tuambie kwa mujibu wa imani yenu ambayo mnaamini Yesu amesulubiwa, kina nani walishuhudia, n habari za Yesu, Yohana amezipata wapi ?
Haupendi ushuhuda wa Allah au ? Maana naona unataka mwingine wakati Allah kasema alicho fanya
 
Zipo commentary nyingi soma , tumemaliza usirudie swali kama una scratch CD na msaidie ndugu Yako muongo Kisai kasema waliona Yesu kasulubiwa badae anadai sio yeye kasema
Sasa kijana si uweke maelezo yangu yote, unaruka ruka nini ?

Mimi nakupa miaka kumi uonyeshe uongo wangu uko wapi na uonyeshe wapi nilikiri.
 
Haupendi ushuhuda wa Allah au ? Maana naona unataka mwingine wakati Allah kasema alicho fanya
Suala la imani yangu nimelimaliza nipo kwenye imani yenu, au hiki Kiswahili ninacho kiandika hapa hukielewi ?

Wewe si unaamini Yesu alisulubiwa au imani yako ni kama yangu ? Sasa usilete utoto.

Jibu maswali niliyo kuuliza
 
Suala la imani yangu nimelimaliza nipo kwenye imani yenu, au hiki Kiswahili ninacho kiandika hapa hukielewi ?

Wewe si unaamini Yesu alisulubiwa au imani yako ni kama yangu ? Sasa usilete utoto.

Jibu maswali niliyo kuuliza
Allah kasema waliona kasulubiwa sasa wewe bisha humu sema hawakuona ,
 
Majibu nimeshaweka kasome , tena zipo commentary nyingi sio moja tu
Uweke majibu wenzako waone. commentary zipo nyingi ndiyo majibu gani. Haujaweka majibu bado.
Nimekuwekea nyekundu tena Kristo amelaaniwa au hajalaaniwa tukitumia mstari huo?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Uweke majibu wenzako waone. commentary zipo nyingi ndiyo majibu gani. Haujaweka majibu bado.
Nimekuwekea nyekundu tena Kristo amelaaniwa au hajalaaniwa tukitumia mstari huo?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Nimeshaweka link ingia kasome , hayo ndio majibu
 
Allah kasema waliona kasulubiwa sasa wewe bisha humu sema hawakuona ,
Soma hapa :

157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini. (an-Nisaa : 157)

Hii ni Qur'aan, sasa Biblia yenu nataka inijibu ya kuwa walio shuhudia Yesu akisulubiwa ni nani ?
 
Soma hapa :

157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini. (an-Nisaa : 157)

Hii ni Qur'aan, sasa Biblia yenu nataka inijibu ya kuwa walio shuhudia Yesu akisulubiwa ni nani ?
Walifananishiwa na wakaona tukio lote na wakaandika walicho ona Yani wapo wa kweli kabisa kwa kushuhudia walicho ona
 
Nakubali wazi Allah kasema waliona wazi kasulubiwa , they sawa na wakaandika walicho ona Yani ni wakweli kabisa
Hiyo ni Qur'aan, sasa turudi katika imani yako na ndimo lilipo swali langu.
 
Back
Top Bottom