Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Tuanze na unae muamini kwa nini hakuna andiko alitahiriwa na kwa nini alikuwa govinda
Wewe wasema, lakiniMuhammad alitahiriwa kwa mujibuwa Mafundishoya Ibrahim na Babuyake Ismail.
N mimi hapa nimetahiriwa vile vile kwa kufuata andiko lile la AGANO LA MUNGU KWA IBRAHIM
 
Kama Vitabu vya dini vimesita kulizungumzia jambo, elea halina maslahi kwako wewe muumini.
Ridhika na Maneno ya Mwenyezimungu aliposema,
Nimetuma waonyaji kwa kila Taifa, ili watu wjuwe kuwa Kuna Mungu MMOJA na kuna siku ya Hukumu.
Kwahiyo Muhammad ndio mtume pekee wa waarabu? Hakuna kabla na baada yake? Hii ni risk kubwa sana waislamu mmeichukua, maisha yenu yote mmeyajenga juu ya lone standing guy asiyekuwa na backup yoyote.
 
Wewe wasema, lakiniMuhammad alitahiriwa kwa mujibuwa Mafundishoya Ibrahim na Babuyake Ismail.
N mimi hapa nimetahiriwa vile vile kwa kufuata andiko lile la AGANO LA MUNGU KWA IBRAHIM
Onyesha andiko linalosema muhammad alitahiriwa.
 
kwa nini hakuna andiko alitahiriwa na kwa nini alikuwa govinda
Qur-an yakutosha kukuelimisha.

135. Na wakasema (WAKIRISTO na MAYAHUDI kuwambia Waislamu): Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaokoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina. 135



136. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake. 136



137. Basi wakiamini kama mnavyo amini nyinyi, itakuwa kweli wameongoka. Na wakikengeuka basi wao wamo katika upinzani tu. Na Mwenyezi Mungu atakutosheni kukukingeni na shari yao, na Yeye ndiye Msikizi, Mjuzi. 137



138. Huko ndiko kupaka rangi kwa Mwenyezi Mungu, na nani aliye mbora wa kupaka rangi kuliko Mwenyezi Mungu? Na sisi ni wenye kumuabudu Yeye tu. 138



139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu. 139


140. Au mnasema kuwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zao walikuwa Mayahudi au Wakristo? Sema: Je, nyinyi mnajua zaidi au Mwenyezi Mungu? Na ni nani mwenye kudhulumu zaidi kuliko yule aliye ficha ushahidi alio nao utokao kwa Mwenyezi Mungu? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na hayo myafanyayo. 140
 
Ukristo sio dini. Ni uhusiano (relationship) na ushirika (fellowship) na Mungu aliyehai. Dini ni kwa ajili ya watu wanaotafuta kumfahamu Mungu wa kweli. Dini zipo nyingi kama waislamu, buddha, bahaya, confusius nk.

Mpaka pale mwanadamu anapopata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu Kristo, hakuna raha, pumziko wala uzima wa milele. Njoo kwa Yesu Kristo. Achana na dini.
Ukristo sio dini. Ni uhusiano (relationship) na ushirika (fellowship) na Mungu aliyehai. Dini ni kwa ajili ya watu wanaotafuta kumfahamu Mungu wa kweli. Dini zipo nyingi kama waislamu, buddha, bahaya, confusius nk.

Mpaka pale mwanadamu anapopata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu Kristo, hakuna raha, pumziko wala uzima wa milele. Njoo kwa Yesu Kristo. Achana na dini.
HUUJUI UKRISTO...

USOME UKRISTO KWANZA NDIO UJE ULETE HOJA... KWENYE UKRISTO WEWE BADO MTUPU...

Wakristo mnafuata ukristo kibubusa tu... Hamuujui Ukristo... SOMENI KWANZA...
 
HUUJUI UKRISTO...

USOME UKRISTO KWANZA NDIO UJE ULETE HOJA... KWENYE UKRISTO WEWE BADO MTUPU...

Wakristo mnafuata ukristo kibubusa tu... Hamuujui Ukristo... SOMENI KWANZA...
Have a safe trip to hell. You will arrive there and regret for the rest of eternity or repent now and get saved by the blood of Jesus Christ. The choice is yours.
 
Bw. Championship na Bw. Mokiti
Nawasalimu kwa jina la Mungu aliye umba Mbingu na Ardhi,Wanyama ,Bahari na vitu vyotetuvijuavyo na tusivyovijua .
Namsifu Mungu huyo Muumba na Namshukuru kwa Rehema zake kwetu Mimi na Nyiyi wote .
Namshukuru kwa kutujaalia Afya ,Utlivu na Uvumilivu baina yetu.
Mungu akimtakia mtu Kheri Humuongoza katika Nuru yake na kumpa ufahamu wa Ile Kweli,
Namuomba Mungu Huyo Akupeni Nyinyi na mimi uwezo wa kumjuwa, kumuabudu na kumsifu vile inavyostahiki.
Natarajia mutafutilia bango langu No #846 hapo juu.
kama mumekwazika musione tabu kunifuatilia.
Illa nawaaga, nakwenda kwenye Nyumba Tukufu ya Meccka pale alipopelekwa Mama yetu Hagar na Mwanawe Ismail aliyebarikiwa sana na sana na sana nakufanywa kuwa TAIFA KUU .Nakwenda kwenye Kisima Kile alichonywesha maji Ishmael na Malaika wa Bwana Mungu wa Ibrahim.
Nitachukua Majiyale, ili na nyiyi wapendwa mukitamani niwaonjeshe ilimuweze kupata baraka tele ya maji ya kisima kile cha kale.

Leo usiku nitaondoka kwenda safari hiyo TUKUFU sanakuliko Safari zote Ulimwenguni.

Naitika Mwito wa Mungu Muumba aliotuita kwenda pale na kufanya Ibada maalumu katika mji ule.
 
Bw. Yesu alisema kuwambia wanafunzi wake. 12

Mt 11:29 SUV​

*Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

*Na Allah kasema katika Qur-an
kuwambia Maswahaba wa Mtume naWaislamu kuwa
''Huyu Mtume Mtume Muhammad (saw) amekuwa kwenu ninyi waumini kiigizo chema (kwa hiyo mfuateni mafundisho yake, jifunzenikwake, chukueni dini yenu kutoka kwake)''
 
Wewe wasema, lakiniMuhammad alitahiriwa kwa mujibuwa Mafundishoya Ibrahim na Babuyake Ismail.
N mimi hapa nimetahiriwa vile vile kwa kufuata andiko lile la AGANO LA MUNGU KWA IBRAHIM
Leta andiko muhammad katahiriwa
Kumbuka alikuwa mpagani , kama ametahiriwa lazima andiko liwepo ndani ya koran
 
Bw. Championship na Bw. Mokiti
Nawasalimu kwa jina la Mungu aliye umba Mbingu na Ardhi,Wanyama ,Bahari na vitu vyotetuvijuavyo na tusivyovijua .
Namsifu Mungu huyo Muumba na Namshukuru kwa Rehema zake kwetu Mimi na Nyiyi wote .
Namshukuru kwa kutujaalia Afya ,Utlivu na Uvumilivu baina yetu.
Mungu akimtakia mtu Kheri Humuongoza katika Nuru yake na kumpa ufahamu wa Ile Kweli,
Namuomba Mungu Huyo Akupeni Nyinyi na mimi uwezo wa kumjuwa, kumuabudu na kumsifu vile inavyostahiki.
Natarajia mutafutilia bango langu No #846 hapo juu.
kama mumekwazika musione tabu kunifuatilia.
Illa nawaaga, nakwenda kwenye Nyumba Tukufu ya Meccka pale alipopelekwa Mama yetu Hagar na Mwanawe Ismail aliyebarikiwa sana na sana na sana nakufanywa kuwa TAIFA KUU .Nakwenda kwenye Kisima Kile alichonywesha maji Ishmael na Malaika wa Bwana Mungu wa Ibrahim.
Nitachukua Majiyale, ili na nyiyi wapendwa mukitamani niwaonjeshe ilimuweze kupata baraka tele ya maji ya kisima kile cha kale.

Leo usiku nitaondoka kwenda safari hiyo TUKUFU sanakuliko Safari zote Ulimwenguni.

Naitika Mwito wa Mungu Muumba aliotuita kwenda pale na kufanya Ibada maalumu katika mji ule.
Usisahau kubusu jiwe
 
Mokit
Naomba soma Bngo langu No.846
Natarajia utakiri kua Waislamu tunafuata Dini ya Ibrahimu na manabii walio tangulia.
Akiwemo ysu.
 
Bw. Championship na Bw. Mokiti
Nawasalimu kwa jina la Mungu aliye umba Mbingu na Ardhi,Wanyama ,Bahari na vitu vyotetuvijuavyo na tusivyovijua .
Namsifu Mungu huyo Muumba na Namshukuru kwa Rehema zake kwetu Mimi na Nyiyi wote .
Namshukuru kwa kutujaalia Afya ,Utlivu na Uvumilivu baina yetu.
Mungu akimtakia mtu Kheri Humuongoza katika Nuru yake na kumpa ufahamu wa Ile Kweli,
Namuomba Mungu Huyo Akupeni Nyinyi na mimi uwezo wa kumjuwa, kumuabudu na kumsifu vile inavyostahiki.
Natarajia mutafutilia bango langu No #846 hapo juu.
kama mumekwazika musione tabu kunifuatilia.
Illa nawaaga, nakwenda kwenye Nyumba Tukufu ya Meccka pale alipopelekwa Mama yetu Hagar na Mwanawe Ismail aliyebarikiwa sana na sana na sana nakufanywa kuwa TAIFA KUU .Nakwenda kwenye Kisima Kile alichonywesha maji Ishmael na Malaika wa Bwana Mungu wa Ibrahim.
Nitachukua Majiyale, ili na nyiyi wapendwa mukitamani niwaonjeshe ilimuweze kupata baraka tele ya maji ya kisima kile cha kale.

Leo usiku nitaondoka kwenda safari hiyo TUKUFU sanakuliko Safari zote Ulimwenguni.

Naitika Mwito wa Mungu Muumba aliotuita kwenda pale na kufanya Ibada maalumu katika mji ule.
Uwe makini katika huo utalii maana iran bado anayo plan ya kulipua mecca na medina. Huo ni mradi wa wajanja wa saudia kupiga hela za utalii, hamna cha ziada.

Mungu wa kweli anaabudiwa mahali popote kwasababu yupo kila mahali. Hauhitaji kwenda sehemu ndio uabudu.
 
Allah amekuwaje mtaalam wa kupaka rangi?
* 138. Waambieni: Hakika Mwenyezi Mungu ametuongoa sisi kwa uwongofu wake mwenyewe, na ametuonyesha hoja zake. Na hapana mbora zaidi kwa uwongofu na hoja kuliko Mwenyezi Mungu. Na sisi hatumnyenyekei ila Mwenyezi Mungu. Na wala hatufuati ila anavyo tuongoa na kutuongoza Yeye. (Hilo ndilo pambo, au batizo, au kutia rangi kwa Mwenyezi Mungu--S'ibghatu Llahi).
Nabii gani alikuwa anaenda Maka kubusu mawe
Sasa unaunda mada nyingine?
Jibu swali kama uetahiriwa, ?
na Ukiristo unasemaje kuhusu kutahiri.?
wacha kurukia rukia ,au ndiounapotezea?
 
Soma qur-an upate faida Ndugu.
Mbona sisi tunasoma Biblia,!
Au ndio unaogopa Majini, ?
Si huwa munakemeaga Mapepo nyinyi
 
Sasa unaunda mada nyingine?
Jibu swali kama uetahiriwa, ?
na Ukiristo unasemaje kuhusu kutahiri.?
wacha kurukia rukia ,au ndiounapotezea?
Umekiri muhammad Ali copy kutoka Ibrahim alafu unauliza tena ukristo unasemaje

Embu weka andiko muhammad katahiriwa
 
Back
Top Bottom