Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mkuu hii mada imeuliza bila chuki yoyote, ni katika kutafuta maarifa.
Kwenye uislamu kuna kitu kinaitwa sadaka yenye kuendelea kama kuchangia msikiti, kufundisha mtu elimu n.k, hata ukifa wema wako haufi, ndio maana kwa wema ule wa mtume kutupa elimu , tutaendelea kumuombea hata kama kafa, huko kwenu kama mtu hakifa hana maana mtajua wenyewe
 
Mungu hawezi kuteswa na watu alio waumba mwenyewe ili awakomboe watu hao hao, hivi ni vichekesho vya karne, unashangaa Mohamadi kuombewa halafu Mungu wako kupigwa mijeledi inakuingia akilini, dunia imejaa vituko
Mungu anaweza kufanya chochote kwa hekima yake hivyo akivaa mwili mijeledi anakula vizuri tu na ukombozi tumeupokea bure kwa damu yake.

Unataka kichekesho? Soma quran 4:157-158. Allah kawadanganya wayahudi halafu anawahukumu kwa kuamini uongo wake.
 
Kwenye uislamu kuna kitu kinaitwa sadaka yenye kuendelea kama kuchangia msikiti, kufundisha mtu elimu n.k, hata ukifa wema wako haufi, ndio maana kwa wema ule wa mtume kutupa elimu , tutaendelea kumuombea hata kama kafa, huko kwenu kama mtu hakifa hana maana mtajua wenyewe
Akiombewa kule aliko anapata faida gani? Ningependa kuzijua.
 
Yesu ni Mungu aliyehai na rafiki wa karibu. Ameumba vyote unavyoona na usivyoona. Mungu huyu alivaa mwili ili kuwakomboa wanadamu.
Kwahiyo mungu anakufa? Maana siku ya ijumaa kuu yesu alikufa kwahiyo siku hiyo duniani mungu hakiwepo?
 
Sio mtume tu hata wazazi wetu wakifa tunawaombea, hata waalimu waliotufunza dini tunawaombea,hivyo basi Uislamu unatambua kuwa mtume ndio aliotufunza jambo la kumtambua Mungu hivyo tutaendelea kumuombea hata kama kafa, maana mema yake hayafi
Waebrania 9:27 mtu anakufa mara moja na baada ya hapo ni hukumu. Kuombea wafu ni kupoteza muda maana hakuna kinachobadilika tena.
 
Mungu anaweza kufanya chochote kwa hekima yake hivyo akivaa mwili mijeledi anakula vizuri tu na ukombozi tumeupokea bure kwa damu yake.

Unataka kichekesho? Soma quran 4:157-158. Allah kawadanganya wayahudi halafu anawahukumu kwa kuamini uongo wake.
Mungu hawezi kuchapwa mijeledi na watu alio waumba, hakuna atakae thubutu hata kumsogelea, inashangaza eti Mungu ili awaokoe watu mpaka waje wamtundike kama ndafu, hii imani mnaamini vip? kuna vitu Mungu hawezi fanya ipo siku huyo Mungu wenu watu watambebesha mimba maana kila kitu anafanya
 
Kwahiyo mungu anakufa? Maana siku ya ijumaa kuu yesu alikufa kwahiyo siku hiyo duniani mungu hakiwepo?
Kufa hata mimi nikifa (nikitoka kwenye huu mwili) haimaanishi kwamba I cease to exit. Kwahiyo Mungu alitoka kwenye mwili lakini hakuacha kuendelea kuwa Mungu.
 
Mungu hawezi kuchapwa mijeledi na watu alio waumba, hakuna atakae thubutu hata kumsogelea, inashangaza eti Mungu ili awaokoe watu mpaka waje wamtundike kama ndafu, hii imani mnaamini vip? kuna vitu Mungu hawezi fanya ipo siku huyo Mungu wenu watu watambebesha mimba maana kila kitu anafanya
Unataka kichekesho? Soma quran 4:157-158. Allah kawadanganya wayahudi halafu anawahukumu kwa kuamini uongo wake.
 
Waebrania 9:27 mtu anakufa mara moja na baada ya hapo ni hukumu. Kuombea wafu ni kupoteza muda maana hakuna kinachobadilika tena.
Mema yake hayaishi , uislamu umetoa fursa jenga msikiti mema yako yatakuja hata ukifa mpaka msikiti ubomoke, ukifundisha mtu nae akifundisha watu mema yanakuja mpaka wote wafe, huwezi elewa mambo mazuri kama haya
 
Mungu hawezi kuteswa na watu alio waumba mwenyewe ili awakomboe watu hao hao, hivi ni vichekesho vya karne, unashangaa Mohamadi kuombewa halafu Mungu wako kupigwa mijeledi inakuingia akilini, dunia imejaa vituko
Nimecheka sana,Mungu aliyeumba milima,bahari, wanyama wakubwa kama nyangumi anamuogopa binadamu aliyemuumba, wakati vizazi viliyopita alikuwa anatuma Malaika wake tu wakaviteketeze
 
Mungu hakuzaliwa,Mungu hazai,Mungu hanamfano wa kitu au hana sura,Mungu hafi,Mungu hanamshrika yaani yuko peke yake.Sasa sijui Yesu hapo anaingia vipi?
Mungu yupo kama mwanadamu tu (mwanadamu kaumbwa kwa sura na mfano wa Mungu) japokuwa upekee wake upo kwenye ukweli kwamba yeye ni omnipotent, omniscient na omnipresent.
 
Nimecheka sana,Mungu aliyeumba milima,bahari, wanyama wakubwa kama nyangumi anamuogopa binadamu aliyemuumba, wakati vizazi viliyopita alikuwa anatuma Malaika wake tu wakaviteketeze
Ahahaha acha tu , Mungu anatemewa mate
 
Lete aya hapa acha kuleta tafsiri za uchochoroni, nataka nikufanye ubao wewe mwenyewe
Screenshot_20220529-221254.png
 
Mungu yupo kama mwanadamu tu (mwanadamu kaumbwa kwa sura na mfano wa Mungu) japokuwa upekee wake upo kwenye ukweli kwamba yeye ni omnipotent, omniscient na omnipresent.
Hakuna kitu kama hicho,kalibu kwenye Uisilamu upate Elimu ya kweli isiyokuwa na kupingana,inamaana ili wewe umsamehee mjukuu wako badala ya kumtandika fimbo badala yake yeye ndiye anayekutandika.Huo siyo upendo ili ujinga na usitarajie huyo mjukuu kama atakuheshimu tena
 
Hakuna kitu kama hicho,kalibu kwenye Uisilamu upate Elimu ya kweli isiyokuwa na kupingana,inamaana ili wewe umsamehee mjukuu wako badala ya kumtandika fimbo badala yake yeye ndiye anayekutandika.Huo siyo upendo ili ujinga na usitarajie huyo mjukuu kama atakuheshimu tena
Neno la Mungu kamilifu lipo kwenye biblia takatifu.
 
Back
Top Bottom