Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Allah ndio alikuja Kuweka wazi
Msome Allah na Yesu Allah anasema Kuna Mungu na Yesu anajitaja mwenyewe

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.

Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....
Itim 6:15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme,

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.

102. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye, Muumba wa kila kitu...
John1: 3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.

Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.”....

Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...
Math25:32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.

Koran 59:23. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, ....
Luke 4:34“Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni Mtakatifu wa Mungu!”

Ndugu Mokiti

Naona unaruka ruka ,mara umeshika mada hii mara ile,
Kwanini Humuamini yesu na mafundisho yake?
 

Ndugu Mokiti

Naona unaruka ruka ,mara umeshika mada hii mara ile,
Kwanini Humuamini yesu na mafundisho yake?
Wewe ukiuliza wapi Yesu kasema Mimi Mungu , nimekupa aya Allah anamtambulisha Yesu

Msome point ya kwanza hii
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Twende kwa hatu
hii siyo mada yangu,
atakufafanulia Kijana MEDISONMUTTA. yeye namuamini, akishindwa nitakusaidia.
Nakuliza tena kwa ninihuamini Mafundisho ya yesu?
 
Twende kwa hatu
hii siyo mada yangu,
atkufafanulia Kijana MEDISONMUTTA. yeye namuamini, akishindwa nitakusaidia.
Nakuliza tena kwa ninihuamini Mafundisho ya yesu?
Aya hapa Muhamma kaya copy

Hadith Muhammad anasema siku ya mwisho Mungu atawaoji kwa kuwauliza Nilikuwa mgonjwa, nilikuwa na njaa, nilikuwa na kiu n:k

On the authority of Abu Hurayrah (may Allah be pleased with him), who said that the Messenger of Allah (ﷺ) said:God will say on the Day of Resurrection: O son of Adam, I fell ill and you visited Me not. He will say: O Lord, and how should I visit You when You are the Lord of the worlds? He will say: Did you not know that My servant So-and-so had fallen ill and you visited him not? Did you not know that had you visited him you would have found Me with him? O son of Adam, I asked you for food and you fed Me not. He will say: O Lord, and how should I feed You when You are the Lord of the worlds? He will say: Did you not know that My servant So-and-so asked you for food and you fed him not?...... It was related by Muslim. Hadith 18, 40 Hadith Qudsi

Yesu ndie atakae wahoji watu

John5: 31“Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu.42Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji. 43Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.’ 44“Hapo nao watajibu, ‘Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukukuhudumia?’ 45Naye atawajibu, ‘Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.’
 
Twende kwa hatu
hii siyo mada yangu,
atkufafanulia Kijana MEDISONMUTTA. yeye namuamini, akishindwa nitakusaidia.
Nakuliza tena kwa ninihuamini Mafundisho ya yesu?
Mungu wetu aliamua kuja mwenyewe kutuonyesha binadamu anaweza kuishi maisha matakatifu na tukaona hakufanya dhambi kwa Hali yake ya kuwa na human flesh

Ukienda kwa Allah unakuta anakwambia usipo fanya dhambi anakutoa uhai 😂😂😂😂
 
Allah hana Roho , yeye ni creature yenye mguu mmoja mikono miwili upande mmoja 😂😂😂
Allah anasema yeye Yesu ni mwanzo na mwisho , Yesu anasema Mimi ni mwanzo na mwisho
Soma
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
 
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
Allah hana Roho , kuwa makini kijana waislamu wakikusikia unasema Allah ana Roho watakuchinja
 
Wewe ukiuliza wapi Yesu kasema Mimi Mungu , nimekupa aya Allah anamtambulisha Yesu

Msome point ya kwanza hii
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Ulete jibu hapa Kristo ni roho na ule mwili ilikuwa sanamu sio wake.

Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
 
Twende kwa hatu
hii siyo mada yangu,
atakufafanulia Kijana MEDISONMUTTA. yeye namuamini, akishindwa nitakusaidia.
Nakuliza tena kwa ninihuamini Mafundisho ya yesu?
Huyu hapa Allah anasema usipo fanya dhambi anakuua , kama sio Lucifer huyu ni nani?

Sahih Muslim 2749
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
 
Allah hana Roho , kuwa makini kijana waislamu wakikusikia unasema Allah ana Roho watakuchinja
Mwenyezi Mungu hana roho. Vilivyoumbwa ndivyo vina roho. Tunaita viumbe.
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
 
Ulete jibu hapa Kristo ni roho na ule mwili ilikuwa sanamu sio wake.

Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
Jibu hii point kijana usiruke kama monkey 🐵🐒

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Muhammad NDio muongo mkubwa analeta habari Musa yupo uchi anakimbizwa na jiwe 😂😂😂😂
Mara Musa kampiga Malaika kampukutisha taya
Uwe una jibu maswali kwanza kisha unauliza au kujenga hoja mpya.
 
Mwenyezi Mungu hana roho. Vilivyoumbwa ndivyo vina roho.
Kuanzia leo ujue Allah na Jehovah ni tofauti,
Allah physical being creature
Jehovah spiritual being

Ndio maana mnaona shida kujua Yesu alikuwa ndani ya mwili maana nature ya mungu wenu ni physically

Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
 
Jibu hii point kijana usiruke kama monkey 🐵🐒

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa. Umeanzisha pumba hilo nitakujibu.


Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
 
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa. Umeanzisha pumba hilo nitakujibu.


Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
Jibu hili kwanza
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Kuanzia leo ujue Allah na Jehovah ni tofauti,
Allah physical being creature
Jehovah spiritual being

Ndio maana mnaona shida kujua Yesu alikuwa ndani ya mwili maana nature ya mungu wenu ni physically

Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa.
Huyo aliyetundikwa msalabani ule ni mwili au sanamu? Umeanzisha pumba naona

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
 
Ukiwa huna uhakika na unachoandika ni BORA KUTOANZISHA UZI....

kwenye Uislam ukisikia anatajwa Mola Mlezi utasikia kwa mfano Allah Subhanah Wataala, akitajwa Mtume utasikia Rehema na Amani ziwe juu yake, wakitajwa mitume wote waliobakia aliwemo mtume wa Allah Issah utakisikia Alayh Salam, wakitajwa maswahaba utasikia Radhiallah Anhu, Waja wema waliotangulia Rahmahullah au waliopo HAI utasikia hafidhallah

Kwa hiyo siyo kweli UNACHOKISEMA KUWA KWENYE UISLAM MTUME ANAOMBEWA MSAMAHA.....

MOLA MLEZI ameweka utaratibu wa kumtukuza YEYE kila anapotajwa au unapotaja jina la Mola Mlezi, kuwatakia salama na amani Waja wema waliotangulia kwa maana waliishi na kumridhisha YEYE na YEYE amewaridhia na wanaombewa mpaka na malaika...


KINYUME CHAKE kwa kila aliyeishi kwa UJABARI NA KUMUASI MOLA MLEZI KAMA FIRAUNI na wote wanaomfuatia basi utasikia yakitamkwa MKASIRIKO YA MOLA MLEZI NA KUWEKWA MBALI NA REHEMA ZAKE baada ya majina yao!!!!

Kwa aliye hai ataombewa UONGOFU ila akifa mwanadamu kati uasi basi hadi Malaika watamwombea Makasiriko ya Mola Mlezi....

HUJAWAHI ONA MTU ANAFARIKI NA WATU WANAFURAHI KUWA WATAPUMZIKA KUTOKANA NA MAUDHI AU DHULMA ZAKE???? Au MWINGINE ANAFARIKI KILA YUALIA KUTOKANA NA WEMA WAKE KWA WATU???

Basi jua vivyo hivyo kwa wanadamu na Mailaka kumwombea aliyefariki au hata aliye HAI...
Hivi like swala la kupewa mabikira 72 huwa ni kweli au ni uzushi kama uzushi mwingine?
 
Alie mpaka muhammad habari za Musa ni nani, nani alikuwa Shahid
Hili ufafanuzi wake unakuja na jepesi sana.

Utaweka hilo andiko umelipata wapi kisha uchambuzi nitakupa.

Turudi katika nukta ya msingi, ya maswali yangu mawili :

1. Nitajie watu watano tu walio shuhudia Yesu akisulubiwa kama mnavyo amini.

2. Yohana mnasema ni Mtume, nani alimpa utume na habari za Yesu Yohana alizipata kwa nani ?
 
Back
Top Bottom