Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?


Mungu anamkumbatia shetani always
 
nyiniyi mumepotezwa na Paulo kwa kuwambia kuwa hamuna ulazima wa kutahiriwa
Bado tuu hujagundua kuwa Sauli alikuwa against na Yesu?
Sauli anakulisheni Nyamafu na Nguruwe,
Sauli anakunwesheni Pombe.
Na hata Kukuhalalishieni mapenzi ya jinsia moja.
Bado hamujagundua kitu hapo?
nawasikitikia sana
 
Paulo ni mtume wa Yesu Kristo. Hakuna mahali Paulo yupo kinyume na Yesu.


hata Kukuhalalishieni mapenzi ya jinsia moja.
Weka ushahidi wa hili.
 
All these claims simply reveals lack of understanding of the writer. There is no contradiction in any of them. Ask for light and you will immediately see. Learn first the principles of biblical interpretation.
 
Tumuulize Mkewe Mama Aisha , Je Muhammad (saw) ALITAHIRIWA?
 
Paulo ni mtume wa Yesu Kristo. Hakuna mahali Paulo yupo kinyume na Yesu.



Weka ushahidi wa hili.
Ni nani aliyefundisha kuwa Padri hahitaji kuwa na mke?
Hatimae ama wanakuwa Mashoga, au wanakuwa wabakaji Masisiter.
Hulioni hili?
 
Ni nani aliyefundisha kuwa Padri hahitaji kuwa na mke?
Hatimae ama wanakuwa Mashoga, au wanakuwa wabakaji Masisiter.
Hulioni hili?
Au tufunguike zaidi?
Kuhusu kushindiliwa ya Paulop?
 
Ni nani aliyefundisha kuwa Padri hahitaji kuwa na mke?
Hatimae ama wanakuwa Mashoga, au wanakuwa wabakaji Masisiter.
Hulioni hili?
Hakuna neno padri kwenye biblia. Paulo hajawahi kutoa agizo kwamba mtu yeyote asioe.
 
Mhuu umeshamaliza Maneno , Wacha sasa Uzi ufikie mwisho maana Ujinga dawa yake ni ELIMU
 
Muhammad alikuwa na wake wengi kuliko maagizo ya Allah. Pia alioa mtoto wa miaka tisa.
Sifa ya Mtoto wa kiume ni kuonesha urijaali wake na
Wale wagonjwa wenye ubaradhuli Tunawahurumia tuu, maana wenyewe huamua kuwa Mashoga, au Kuto owa Kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…