Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Kama Wakristu hawaondoani mapepo, kila siku basi una haki ya kuandika haya.Si unaona mwingine kapiga mtu risasi saba kisa mapenzi wakati dini inaruhusu kutoa talaka na hata kuoa wanne?
Ni pepo wanaloabudu ndio linawacontrol.
Mtu alielelewa vizuri, hufundishwa kuishi na jamii nyingine vizuri, Siku hizi hizi mada za udini kuikashifu dini nyingine ni nyingi sana.
Hii kutokana na Ongezeko la watoto wa nje ya ndoa, na waliokataliwa na wanaodhaniwa kuwa ni Baba zao, na kukosa malezi mazuri.