Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Si unaona mwingine kapiga mtu risasi saba kisa mapenzi wakati dini inaruhusu kutoa talaka na hata kuoa wanne?

Ni pepo wanaloabudu ndio linawacontrol.
Kama Wakristu hawaondoani mapepo, kila siku basi una haki ya kuandika haya.
Mtu alielelewa vizuri, hufundishwa kuishi na jamii nyingine vizuri, Siku hizi hizi mada za udini kuikashifu dini nyingine ni nyingi sana.
Hii kutokana na Ongezeko la watoto wa nje ya ndoa, na waliokataliwa na wanaodhaniwa kuwa ni Baba zao, na kukosa malezi mazuri.
 
Kama Wakristu hawaondoani mapepo, kila siku basi una haki ya kuandika haya.
Mtu alielelewa vizuri, hufundishwa kuishi na jamii nyingine vizuri, Siku hizi hizi mada za udini kuikashifu dini nyingine ni nyingi sana.
Hii kutokana na Ongezeko la watoto wa nje ya ndoa, na waliokataliwa na wanaodhaniwa kuwa ni Baba zao, na kukosa malezi mazuri.
Wewe ndio umehusisha na dini yako. Wapo watu wengi tu wanaonekana makanisani lakini bado wanaabudu mapepo.

Huyo jamaa wa mwanza licha ya kuwa muislam lakini inaonekana pia alikuwa akiabudu fedha. Pepo la tamaa ya mali likamtawala mpaka akaishia kuua na kujiua.
 
Mark 9:40 Yeyote anayewakubali ninyi ananikubali mimi. Na yeyote anayenikubali anamkubali yule
aliyenituma.
Yohana 16:5“Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?
27kwa maana Baba mwenyewe anawapenda, kwa sababu mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu. 28Nilitoka kwa Baba na kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba.”

Je weweChampionship wamjua aliyemtuma Yesu ni nani??
Yesu alichukua hali ya ubinadamu na kujishusha kama aliyetumwa na baba yake. Yesu, ambaye ni Mungu Mwana, alikuja kutimiza mapenzi ya Baba yake. Mungu Baba Mwana na Roho Mtakatifu ni Mungu mmoja.

Yohana 10:30​

Mimi na Baba tu umoja
 
Wakatoliki ndio walianzisha mecca na dini yake. Nyie mna muhammad na wao wana bikira maria. Katoliki sio kanisa na halijawahi kuwa kanisa la Yesu Kristo.
Sula la Muhammad (s.a.w) si saizi yako,
Huyu mtu ni kipenzichetu, mwalimu wetu, Mtu aliyeletwa kutufundisha kumjua MUNGU wa Kweli kupitia mafundisho yake Qur-an tukufu sisi Tunamuabudu Huyo MUNGU wa kwelina wa PEKEE bila ya kumshirikisha na wengine Uungu wake .

Muhammad ni kama Yesu alivyosema kwenye Yohana 17:3 Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. 4 Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.
 
Sula la Muhammad (s.a.w) si saizi yako,
Huyu mtu ni kipenzichetu, mwalimu wetu, Mtu aliyeletwa kutufundisha kumjua MUNGU wa Kweli kupitia mafundisho yake Qur-an tukufu sisi Tunamuabudu Huyo MUNGU wa kwelina wa PEKEE bila ya kumshirikisha na wengine Uungu wake .

Muhammad kama yesualivyosema kwenye Yohana 17:3 Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. 4 Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.
Muhammad ukimsoma Wikipedia ni bonge moja la jamaa mstaarabu ila dini yake aliyoanzisha imekuwa na changamoto sana duniani baada ya kuweka mafundisho ya violence.

Kwasababu umetumia biblia tena kitabu cha Yohana, mimi nakupeleka sura ya kwanza:

1. Hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2. Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.

3. Vitu vyote viliumbwa kwa yeye, wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.

4. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.

5. Nuru hungʼaa gizani nalo giza halikuishinda.

14. Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utukufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba.
 
Hapo umetaja dhehebu mona tu kijana, hayo mengine umetaja ni mapote na dini ambazo zinajinasibisha na Uislamu.

Madhehebu katila Uislamu ni haya :

1. Hanafiya
2. Malikiya
3. Shaafiiya
4. Hanbaliya

Mengine si maarufu na yalishapotea ambayo ni :

5. Thauriya
6. Zaydiya
7. Dhahiriya

Sasa najiuliza imekuwaje mpaka ukaweka makala nzima na hujui maana ya "Dhehebu" ni nini ? Huu ni ujinga ulio komaa mno. Yaani unaweka makala, ianonekana umecopy na ku paste humu, na huyo muandishi naye kichwa mchunga tu kama wewe, kwahiyo mmekutana nyote "Pipa na Mfuniko".

Kwahiyo hapo umetaja dini za watu wanao jinasibu na Uislamu na ukataja makundi ya kizushi yanye kufanya kufuru kama vile Masufi, Ahmadiya siyo Waislamu, Mashia kadhalika na ukataja mapote katika dini ya USHIA kama vile Ismailiya na mengine.
ACHA KUWAKANA WENZAKO

UNATAKA KUDANGANYA UMMA KUWA UISLAMU HAUNA MADHEHEBU,

UNATAKA KUDAI WA SUNNI NDIO WAPO SAHIHI ,ILA WENGINE HAWANA HATI MILIKI YA UISLAMU
 

Attachments

  • FB_IMG_1652988700079.jpg
    FB_IMG_1652988700079.jpg
    25.1 KB · Views: 10
Hapo umetaja dhehebu mona tu kijana, hayo mengine umetaja ni mapote na dini ambazo zinajinasibisha na Uislamu.

Madhehebu katila Uislamu ni haya :

1. Hanafiya
2. Malikiya
3. Shaafiiya
4. Hanbaliya

Mengine si maarufu na yalishapotea ambayo ni :

5. Thauriya
6. Zaydiya
7. Dhahiriya

Sasa najiuliza imekuwaje mpaka ukaweka makala nzima na hujui maana ya "Dhehebu" ni nini ? Huu ni ujinga ulio komaa mno. Yaani unaweka makala, ianonekana umecopy na ku paste humu, na huyo muandishi naye kichwa mchunga tu kama wewe, kwahiyo mmekutana nyote "Pipa na Mfuniko".

Kwahiyo hapo umetaja dini za watu wanao jinasibu na Uislamu na ukataja makundi ya kizushi yanye kufanya kufuru kama vile Masufi, Ahmadiya siyo Waislamu, Mashia kadhalika na ukataja mapote katika dini ya USHIA kama vile Ismailiya na mengine.
Kijana umapoamua kujadili imani za waungwana ujipange.

Hayo majina ya viungo vya pilau za kiarabu vipi uyaite madhehebu ya waislamu?
Nani kakudanganya kuna waislamu wanaitwa thauria [emoji23][emoji23]
 
ACHA KUWAKANA WENZAKO

UNATAKA KUDANGANYA UMMA KUWA UISLAMU HAUNA MADHEHEBU,
Hapa muongo ni wewe ambaye hujui maana ya Madhehebu. Nani amekwambia amekataa kwamba hakuma madhehebu ? Niliyo kutajia hapo ni vyama vya siasa ? Kijana ongeza umakini natumia kiswahi chepesi kuandika.

Mimi nakupa kazi tena miaka kumi uje kututhibitishia ya kuwa Shia ni Waislamu na Ahmadiya ni Waislamu, ukiweza naacha kutumia hii
UNATAKA KUDAI WA SUNNI NDIO WAPO SAHIHI ,ILA WENGINE HAWANA HATI MILIKI YA UISLAMU
Haya unayasema wewe. Ila ukiweka makala kama hizi unatakiwa ukijue unachokoandika, yaani uwe umekisoma.

Makala yako nzima imeshindwa kutofautisha kati ya dhehebu na mapote yanayo jinasibisha na Uislamu, sasa kwa kukusaidia tu tafuta kitabu hiki ukisome :

Al-Adiyaan wa al firqah wal madh'hab al Muaswira (Dini, mapote na madhehebu za zama hizi) kilicho andikwa na Sheikh Abdul Qaadiri Shibatul Hamd (Allah amrehemu).
 
Kijana umapoamua kujadili imani za waungwana ujipange.

Hayo majina ya viungo vya pilau za kiarabu vipi uyaite madhehebu ya waislamu?
Nani kakudanganya kuna waislamu wanaitwa shadhiria. [emoji23][emoji23]
Sijakuelewa umeandika nini ?
 
Sala inaenda namna hii hapa kwenye msikitini wa jirani. "Watukufu waislamu tumswalie mtume, allah akbar, tumuombee rehma kwa mwenyenzi mungu". Kwanini anaombewa rehema wakati ni kipenzi cha allah na tayari yupo ahera?
Tatizo kubwa linalowasumbua wakristo wengi ni LUGHA YA KISWAHILI.
Hii lugha asili yake ni KIARABU.
Piga ua ukitaka kusoma au kuandika kiswahili lazima utumie maneno ya KIARABU.
Sasa nikikuuliza nini maana ya kumtakia REHMA mtu sijui jibu utakuwa nalo,?

Tatizo lingine ukienda kanisani mtoa mahubiri ili aheshimike lzm aongee KISWAHILI kwa Lahja (lafudhi) za kizungu japo anaongea kiswahili. Matokeo yake lugha yetu ya Kiswahili inawaponyoka kabisa.

Hii lugha msipojifunza lzm mkiskia harufu ya pilau mseme kuna majini. [emoji1].
Soma kiswahili championi. Wanao wasije kukosa faida mbele ya safari.
 
Hapa muongo ni wewe ambaye hujui maana ya Madhehebu. Nani amekwambia amekataa kwamba hakuma madhehebu ? Niliyo kutajia hapo ni vyama vya siasa ? Kijana ongeza umakini natumia kiswahi chepesi kuandika.

Mimi nakupa kazi tena miaka kumi uje kututhibitishia ya kuwa Shia ni Waislamu na Ahmadiya ni Waislamu, ukiweza naacha kutumia hii

Haya unayasema wewe. Ila ukiweka makala kama hizi unatakiwa ukijue unachokoandika, yaani uwe umekisoma.

Makala yako nzima imeshindwa kutofautisha kati ya dhehebu na mapote yanayo jinasibisha na Uislamu, sasa kwa kukusaidia tu tafuta kitabu hiki ukisome :

Al-Adiyaan wa al firqah wal madh'hab al Muaswira (Dini, mapote na madhehebu za zama hizi) kilicho andikwa na Sheikh Abdul Qaadiri Shibatul Hamd (Allah amrehemu).
KWAHIYO Uislamu wa SUNNI unaojifichia humo sio Dhehebu?
 

Attachments

  • FB_IMG_1652986862734.jpg
    FB_IMG_1652986862734.jpg
    23.1 KB · Views: 12
Sijakuelewa umeandika nini ?
Kiswahili ndio lugha inayotumika Tanzania.
Sasa km Kiswahili pia kinakupa shida mi ntawezaje kukuelewesha Kisai.
Labda upite tu kwa amani.
 
Kiswahili ndio lugha inayotumika Tanzania.
Sasa km Kiswahili pia kinakupa shida mi ntawezaje kukuelewesha Kisai.
Labda upite tu kwa amani.
Nimecheka sana, kwanini unakuwa muongo, naona ume edit. Kwahiyo unakataa kwamba hapakuwa na dhehebu hilo ?

Soka habari za Imam Sufiyan ath-Thawri. Kuna muda mnakuwa wajinga mpaka mnatupa uvivu wa kuwajibu, sasa mwenzako ana copy makala ya upotoshaji kama ilivyo anakuja ku paste mambo kibao halafu uongo mtupu.

Shida yenu mnavamia habari za Uislamu kutoka mitandaoni mkihojiwa mnapoteana, ongeza umakini. Kuna utofauti mkubwa sana kati ya Madhehebu na Firaqi.
 
KWAHIYO Uislamu wa SUNNI unaojifichia humo sio Dhehebu?
Hakuna dhehebu linalo itwa SUNNI katika Uislamu. Kwanini hamsomi ? Basi hata kuhoji hizo akili mnazitumia wapi ?

Mimi nimekuuliza swali, tupe maana ya tamko Dhehebu, kisha hayo uliyo yaweka utuambie ni madhehebu au nini ?

Kisha ile hadithi ya mtume aliyosema mapote 73 alikusudia madhehebu ?
 
Tatizo kubwa linalowasumbua wakristo wengi ni LUGHA YA KISWAHILI.
Hii lugha asili yake ni KIARABU.
Piga ua ukitaka kusoma au kuandika kiswahili lazima utumie maneno ya KIARABU.
Sasa nikikuuliza nini maana ya kumtakia REHMA mtu sijui jibu utakuwa nalo,?

Tatizo lingine ukienda kanisani mtoa mahubiri ili aheshimike lzm aongee KISWAHILI kwa Lahja (lafudhi) za kizungu japo anaongea kiswahili. Matokeo yake lugha yetu ya Kiswahili inawaponyoka kabisa.

Hii lugha msipojifunza lzm mkiskia harufu ya pilau mseme kuna majini. [emoji1].
Soma kiswahili championi. Wanao wasije kukosa faida mbele ya safari.
Mkuu kumbe upo? Mswalie mtume.
 
Muhammad ukimsoma Wikipedia ni bonge moja la jamaa mstaarabu ila dini yake aliyoanzisha imekuwa na changamoto sana duniani baada ya kuweka mafundisho ya violence.

Kwasababu umetumia biblia tena kitabu cha Yohana, mimi nakupeleka sura ya kwanza:

1. Hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2. Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.

3. Vitu vyote viliumbwa kwa yeye, wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.

4. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.

5. Nuru hungʼaa gizani nalo giza halikuishinda.

14. Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utukufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba.
Mimi nashukuru kwa uchambuzi wako,
Aliyesema Katumwa kuja kuwafundisha watu wamjue Mungu ni Yesu
Bali yesu yeye Mwenyewe anasema alimuabudu Mungu.
Naye Yesu kawafundisha watu hivyo , wamuabudu Mungu.
Sasa huyu anayesema kuwa Yesu ndiye Mungu mwenyewe si anampinga Yesu?
Je We wamuabudu Mungu wa Yesu kama Mimi au unamuabudu nani?
 
Back
Top Bottom