Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Yesu ,Mtumishi mteule wa Mungu
Soma Mathayo 12: 15Lakini Yesu alipojua jambo hilo, akatoka mahali pale. Watu wengi walimfuata, akawaponya wagonjwa wote, 16akawaamuru wasiwaambie watu habari zake, 17 ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:
18“Tazama mtumishi wangu niliyemteua,
mpendwa wangu anipendezaye moyoni.
Nitaiweka roho yangu juu yake,
naye atatangaza hukumu yangu kwa mataifa yote.
19Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele,
wala sauti yake haitasikika barabarani.

Yesu alikuwa Mtumishi wa Mungukwa mujibu wa Biblia, Wewe unasema Yeye Ni MUNGU
Wewe ni KRISTO wa UONGO na Umepotezwa na unapoteza wenzako
Naendelea kusisitiza kwamba unahitaji kufahamu ni wakati gani Yesu aliongea kama mwanadamu na wakati ambao aliongea kama Mungu.

Tafuta mafundisho ya namna ya kutafsiri biblia ili usipate tafsiri isiyokuwa sahihi.
 
Ambacho kinasauhulika ni kuwa Mtume wa Allah Rehema na Amani ziwe juu yake ameletwa kuwa kiigizo CHEMA kwa wanadamu WOTE [role Model].... Best of character na mwenye cheo cha Juu kabisa,
Kati yake na Mandela nani ana character na cheo cha juu?
 
Naendelea kusisitiza kwamba unahitaji kufahamu ni wakati gani Yesu aliongea kama mwanadamu na wakati ambao aliongea kama Mungu.

Tafuta mafundisho ya namna ya kutafsiri biblia ili usipate tafsiri isiyokuwa sahihi.
Itakuwa wewe ni muotaji ndoto, kwani kitabu kiko wazi, hakihitaji tafsiri unayosema wewe,
Yesu anajishuhudia mwenyewe kuwa Musione haya ni fanyayo kuwa ni kwa nafsi yangu, bali ni kwa amri na uweza wa Baba aliyenituma.
Yoh 14:1 Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwamini ni Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi. 3 Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi
sasa hivi wewe huielewi Lugha hii?
 
Naendelea kusisitiza kwamba unahitaji kufahamu ni wakati gani Yesu aliongea kama mwanadamu na wakati ambao aliongea kama Mungu.

Tafuta mafundisho ya namna ya kutafsiri biblia ili usipate tafsiri isiyokuwa sahihi.
Kwa hakiaka wewe si mfusi wa Yesu, bali Shetani
MIMI NAJARIBU KUKUONESHA KUWA YESU ALIKUWA MJUMBE WA MUNGU KWA WATU.
Lakini wewe huamini hata hizi aya za Bibilia! Unakinzana na mamneno ya Yesu? Unampinga Yesu?,Kisha unajitengezea Mungu wako unamwita Yesu? Huu ni Mtihani mkubwa uliowakuta nyinyi munaojiita" Walokole"

Soma Yoh:12 44-50
Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, “Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma. 45 Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma. 46 Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani. 47 Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki mimi sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa. 48 Asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: neno lile nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho. 49 Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini. 50 Nami najua kuwa amri yake huleta uzima wa milele. Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme.”

YAANI WEWE HUMJUI ALIYEMTUMA YESU?
HUMUAMINI ALIYEMTUMA YESU?

IMANI YAKO NIBURE!
 
Kwa hakiaka wewe si mfusi wa Yesu, bali Shetani
MIMI NAJARIBU KUKUONESHA KUWA YESU ALIKUWA MJUMBE WA MUNGU KWA WATU.
Lakini wewe huamini hata hizi aya za Bibilia! Unakinzana na mamneno ya Yesu? Unampinga Yesu?,Kisha unajitengezea Mungu wako unamwita Yesu? Huu ni Mtihani mkubwa uliowakuta nyinyi munaojiita" Walokole"

Soma Yoh:12 44-50
Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, “Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma. 45 Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma. 46 Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani. 47 Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki mimi sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa. 48 Asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: neno lile nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho. 49 Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini. 50 Nami najua kuwa amri yake huleta uzima wa milele. Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme.”

YAANI WEWE HUMJUI ALIYEMTUMA YESU?
HUMUAMINI ALIYEMTUMA YESU?

IMANI YAKO NIBURE!
Nimeshakuandikia procedure unayotakiwa kufuata ili uielewe biblia. Kinyume na hapo unapotea.
 
Itakuwa wewe ni muotaji ndoto, kwani kitabu kiko wazi, hakihitaji tafsiri unayosema wewe,
Yesu anajishuhudia mwenyewe kuwa Musione haya ni fanyayo kuwa ni kwa nafsi yangu, bali ni kwa amri na uweza wa Baba aliyenituma.
Yoh 14:1 Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwamini ni Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi. 3 Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi
sasa hivi wewe huielewi Lugha hii?
Sasa hapo wewe hakuna ulichoelewa zaidi ya kuingiza tafsiri unazotaka. Nimekuwekea bold kidogo japo upate kutafakari na kumfahamu vizuri Bwana Yesu Kristo mwokozi.
 
Hivi unadhanikuwa mimisifahamu Lugha ya kiswahili au imi sina Roho wa kunongoza kuhusumamboya kidini?
Hebu jiongeze katika uelewa wacha kubabaishsa.
SOMA TENA HAPA kwenhye Bold
Yoh 14:1 Yesu aliwaambia*, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwamini ni Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Nyumbani mwa Baba yangu* mna makao mengi''

1. *Aliyesema niYesu kuwambia wanafunzi
2.**Wakuaminiwa ni Mungu (Baba) na Yesu Mtumishi wa Mungu naMjumbe.
3.***Nyumbani mwa Baba( Peponi/paradiso)kuna makaazi mengi kwa Yesu na wafuasi wake.
Sasa huelewi kitu gani hapa.
Sasa hapo wewe hakuna ulichoelewa zaidi ya kuingiza tafsiri unazotaka. Nimekuwekea bold kidogo japo upate kutafakari na kumfahamu vizuri Bwana Yesu Kristo mwokozi.
''Mwamini ni Mungu, niaminini na mimi pia''. HUU NDIO UJUMBE HALISI WA YESU.
Kwa hiyo.
Mimi Binafsi (Battawi)namuamini Yesu na Namuamini Mungu wa Yesu ambaye ndiye Mungu wa Manabii waliotangulia akina Musa, Ibrahim, Daudi, Yohana , Isaya na wengineo, Wewe Je? Wamuamini Mungu huyo? au tunapotezeana muda tu?
 
Hivi unadhanikuwa mimisifahamu Lugha ya kiswahili au imi sina Roho wa kunongoza kuhusumamboya kidini?
Hebu jiongeze katika uelewa wacha kubabaishsa.
SOMA TENA HAPA kwenhye Bold
Yoh 14:1 Yesu aliwaambia*, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwamini ni Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Nyumbani mwa Baba yangu* mna makao mengi''

1. *Aliyesema niYesu kuwambia wanafunzi
2.**Wakuaminiwa ni Mungu (Baba) na Yesu Mtumishi wa Mungu naMjumbe.
3.***Nyumbani mwa Baba( Peponi/paradiso)kuna makaazi mengi kwa Yesu na wafuasi wake.
Sasa huelewi kitu gani hapa.

''Mwamini ni Mungu, niaminini na mimi pia''. HUU NDIO UJUMBE HALISI WA YESU.
Kwa hiyo.
Mimi Binafsi (Battawi)namuamini Yesu na Namuamini Mungu wa Yesu ambaye ndiye Mungu wa Manabii waliotangulia akina Musa, Ibrahim, Daudi, Yohana , Isaya na wengineo, Wewe Je? Wamuamini Mungu huyo? au tunapotezeana muda tu?
Mwaka 2009 nilifanya utafiti kuhusu uislamu na hivyo haya maswali yenu na tafsiri mnazotumia nayaelewa sana.

Maandiko haya mnayatumia wakati mnasema kila siku kwamba yalichakachuliwa. Mnatumia vile vipengele mnavyovipenda.

Yesu alitabiriwa na nabii isaya:

Isaya 9:6-7​

Maana mtoto amezaliwa kwa ajili yetu, tumepewa mtoto wa kiume. Naye atapewa mamlaka ya kutawala. Ataitwa: “Mshauri wa Ajabu”. “Mungu Mwenye Nguvu”, “Baba wa Milele”, “Mfalme wa Amani”. Utawala wake utastawi daima, amani ya ufalme wake haitakoma. Atachukua wadhifa wa mfalme Daudi na kutawala juu ya ufalme wake; ataustawisha na kuuimarisha, kwa haki na uadilifu, tangu sasa na hata milele. Hayo atayafanya Mwenyezi-Mungu wa majeshi.
 
Hayo atayafanya Mwenyezi-Mungu wa majeshi.
Naye atapewa mamlaka ya kutawala. -Atapewa mamlaka na nani?
Huyu atakaye yatimiza mambo haya ni nani,?
maana mimi nafahamu kuwa Ni Mungu ndiye mtendaji wa haya yote,
na wakati huo yesu ndiye atakaye kirimiwa kipawa hicho na Mungu mwenyewe
, hapa imekaaje, hebu fafanua Mkuu.
 
Mtu akitaka tubishane kuhusu kuombea wafu, kwanza kabisa tukubaliane vitabu vya kwenye biblia ambavyo waprotestanti huwa wanavipinga
 
Naye atapewa mamlaka ya kutawala. -Atapewa mamlaka na nani?
Huyu atakaye yatimiza mambo haya ni nani,?
maana mimi nafahamu kuwa Ni Mungu ndiye mtendaji wa haya yote,
na wakati huo yesu ndiye atakaye kirimiwa kipawa hicho na Mungu mwenyewe
, hapa imekaaje, hebu fafanua Mkuu.
Naona unatafuta na kuona kile ambacho tàyari umefundishwa tangu utoto wako pale madrasa.

Nabii anatoa unabii kuhusu messiah ambaye atakuwa mtoto (binadamu) na Mwana (Mungu). Unabii unampa Yesu kama mwanadamu mamlaka Ile ambayo Adamu alipoteza.
 
Nabii anatoa unabii kuhusu messiah ambaye atakuwa mtoto (binadamu) na Mwana (Mungu). Unabii unampa Yesu kama mwanadamu mamlaka Ile ambayo Adamu alipoteza.
Naye atapewa mamlaka ya kutawala. -Atapewa mamlaka na nani?
NAOMBA NIJIBU HAPo juu.
Ujuwe na mimi nautafuta uzima wa milele, usinikhini mkuu
 
Naye atapewa mamlaka ya kutawala. -Atapewa mamlaka na nani?
HAOMBA NIJIBU HAPA.
Ujuwe na mimi nautafuta uzima wa milele, usinikhini mkuu
Mamlaka anayachukua Mwana kutoka kwa Baba yake katika namna ya kurudisha Ile nafasi ya utawala aliyokuwa nayo mwanadamu na akaipoteza kwasababu ya dhambi.

Yesu na Baba yake siku zote ni umoja wa milele. Aliuacha utukufu wake ili aishi kama mwanadamu.

Yohana 17:5

Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako
 
hivi ! si wewe Unautaka uzima wa milele ? au siyo?
unaupataje basi? nifafanulie kwa maandiko
 
hivi ! si wewe Unautaka uzima wa milele ? au siyo?
unaupataje basi? nifafanulie kwa maandiko
Mimi uzima wa milele tàyari ninao. Huu hapa:

Huu ndio ushuhuda, ya kwamba, Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. Yeye aliye naye Mwana, anao uzima, yeye asiye na Mwana hana uzima.” (1 Yoh.5:11,12).
Yule amwaminiye Mwana ana uzima wa milele: na yule asiyemwamini Mwana hatauona uzima; ila ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake” (Yohana 3:36)
 
Mimi uzima wa milele tàyari ninao. Huu hapa:

Huu ndio ushuhuda, ya kwamba, Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. Yeye aliye naye Mwana, anao uzima, yeye asiye na Mwana hana uzima.” (1 Yoh.5:11,12).
Yule amwaminiye Mwana ana uzima wa milele: na yule asiyemwamini Mwana hatauona uzima; ila ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake” (Yohana 3:36)
SWADAKTA, SASA MBONA MANENO YA YESU HUYAAMINI?
Unachukua mapokeona matabiri na unabii wa wengine wakati yesu mwenyewe kajishuhudia kwa kusema.
N'' na uzima wa milele ndio huu, wakujuwe wewe kuwa ni MUNGU WA KWELI NA PEKEE,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA'' yoh 17: 3
Sasa ina mana kuwa Uzima wenyewe ni kumuamini MUNGU,
mbona hapa tuko sawa.

yaani mimi na wewe tumekosana kidogo tuu,katika ufahamu wa aya hizi,
MIMI ->Yesu kasema uzima umo kwenye kumuamni Mungu mmoja wa kweli na Yesu kristo aliyetumwa.
Wewe ->umechukua maneno ya Yohana binafsi yanayosema Uzima umo kwenye kumuamini Yesu tuu kama mwana kwa mujibu wa maandiko ya YOHANA 3:36.
Hapa kuna jambo la Msingi la kuzingatiwa.
KAULI TAARIFA YA YOHANA
NA KAULI HALISI YA YESU.
MBONA UNAZIKWEPA KAULI ZA Bw.YESU
 
SWADAKTA, SASA MBONA MANENO YA YESU HUYAAMINI?
Unachukua mapokeona matabiri na unabii wa wengine wakati yesu mwenyewe kajishuhudia kwa kusema.
N'' na uzima wa milele ndio huu, wakujuwe wewe kuwa ni MUNGU WA KWELI NA PEKEE,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA'' yoh 17: 3
Sasa ina mana kuwa Uzima wenyewe ni kumuamini MUNGU,
mbona hapa tuko sawa.

yaani mimi na wewe tumekosana kidogo tuu,katika ufahamu wa aya hizi,
MIMI ->Yesu kasema uzima umo kwenye kumuamni Mungu mmoja wa kweli na Yesu kristo aliyetumwa.
Wewe ->umechukua maneno ya Yohana binafsi yanayosema Uzima umo kwenye kumuamini Yesu tuu kama mwana kwa mujibu wa maandiko ya YOHANA 3:36.
Hapa kuna jambo la Msingi la kuzingatiwa.
KAULI TAARIFA YA YOHANA
NA KAULI HALISI YA YESU.
MBONA UNAZIKWEPA KAULI ZA Bw.YESU
Tunazunguka palepale tu. Yesu anazungumza kama mwanadamu na aliyetumwa na Baba yake katika hayo maandiko unayoyapenda. Ninayaelewa na kuyaamini kabisa. Yesu alijivua utukufu wa kimungu Ili aweze kuwakomboa wanadamu.

Wafilipi 2:5-11

5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuko na namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba



Kwahiyo tambua ili upate tafsiri sahihi ya maandiko ni lazima uyasome yote ili upate context na full text. Yesu alijivua uungu ili afanye utumishi kwa kutumwa na Baba.

Utukufu wote alimpa Baba na kumtambulisha hivyo ili sisi tunaomtumikia leo hii tujue kwamba katika utumishi ni lazima tujishishe na kunyenyekea mbele za Mungu.
 
Mtume Paulo aliyaomba makanisa ya Rumi, Efeso na lile la Korintho yamuombee ili injili iweze kufika mbali zaidi kwa kinywa chake.

Alipomaliza huduma aliaga katika barua kwa Timotheo kwamba ameilinda imani na kwamba anaenda zake kwenye taji aliyowekewa.

Mtume Petro naye alikumbusha kuombea huduma na alipomaliza aliwaambia waumini kwamba wakati umefika kwake kuondoka tena itakuwa kutundikwa juu ya msalaba kichwa kikiwa chini na miguu juu.

Hawa wote wawili walikuwa na furaha na kuondoka duniani kwa uhakika na ushindi. Walikuwa wakiwasisitiza waumini wafuate mfano wao.

Sasa nashangaa kuna nabii eti ni wa mwisho na ndio mkuu kwa wote lakini mpaka sasa anaombewa akiwa amefariki.

Alikwama wapi na nini kimemfanya yeye asiwe na uhakika wa kuingia mbinguni mpaka aendelee kuombewa?
Kwanza Paulo sio mtume wa Mungu pili uwe unauliza ili ufundishwe kama unataka kujua kuhusu Mtume Muhammad na Uislam kwa sababu hi dini imekamilika hakuna anaeitetea uwepo wake ila huwa inajitetea yenyewe
 
Kwanza Paulo sio mtume wa Mungu pili uwe unauliza ili ufundishwe kama unataka kujua kuhusu Mtume Muhammad na Uislam kwa sababu hi dini imekamilika hakuna anaeitetea uwepo wake ila huwa inajitetea yenyewe
Kama inajitetea yenyewe wewe umekuja kufanya nini hapa?
 
Back
Top Bottom