Huruma ya ku own two rich men one as a husband the other one as mchepuko?
Sasa hicho si choyo lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huruma ya ku own two rich men one as a husband the other one as mchepuko?
Huruma ya ku own two rich men one as a husband the other one as mchepuko?
UKWELI MCHUNGU😏Imebidi nicheke
Ameambiwa Wamachame watamsuta
Ukiangalia body language hata ya wanaombembeleza wanalazimisha tukio juu ya woga
Miwani, kilio kwa sauti mboni machozi siyaoni au ni mimi macho yangu...
Nilitegemea angekuwa nyambi nyambi lakini yupo poapoa
*** wants to get over it and move on.... It is what it is **** kuna mtu anawaza haya kwa mbaaali
Who is this! Naona anajiamini sana. Yupo hapa TZ au anaishi nje?🙏🏾Mjini sihami, asante Rachel Temu
Ni Rachel mdogo wake Hoyce Temu.Who is this! Naona anajiamini sana. Yupo hapa TZ au anaishi nje?
Na yale madera ndiyo style za Lebanon?Toka mume wake amefariki huko dubai alikuwepo sasa atakuwa alishalia sana na sasa ameanza kuikubali hali iyo pia ana watoto hawezi kuanza kuzimia zimia kila mara atawaumiza pia watoto.
Mimi mwanangu akiniona nalia huwa anachanganyikiwa anaanza kulia anatapika ,huku akiniomba mama acha kulia atashinda siku nzima amelala pembeni yangu
Mh! anaishi hapa TZ?Ni Rachel mdogo wake Hoyce Temu.
Zile ni abaya watakuwa walinunua DubaiNa yale madera ndiyo style za Lebanon?
Mh! anaishi hapa TZ?
Kwenye hiyo clip ametaja. Asante na kwaheriniKenya nae ana mzee wake anatunzwa
Msiwe mnafanya mawazo yenu ndio kila mtu anaona hivyo!Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.
Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .
Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .
By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.
Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
By warumi .
OkZile ni abaya watakuwa walinunua Dubai
Yule mzee aliona mbali miaka 100 ahead. Kwa wale watoto mjukuu si leo. Mtoto aliyekuwa na muelekeo wa kuoa na kusettle down ni Mutie.Kumbe Mengi watoto zake hawajampatia wajukuu hata mmoja.Basi si mlaumu Mengi kuzaa na Jack,mitoto mikubwa hata hawana watoto.