Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Imebidi nicheke
Ameambiwa Wamachame watamsuta
Ukiangalia body language hata ya wanaombembeleza wanalazimisha tukio juu ya woga

Miwani, kilio kwa sauti mboni machozi siyaoni au ni mimi macho yangu...
Nilitegemea angekuwa nyambi nyambi lakini yupo poapoa
*** wants to get over it and move on.... It is what it is **** kuna mtu anawaza haya kwa mbaaali
UKWELI MCHUNGU😏
 
Hao ndio wabongo kwa hiyo kulia kwa kugalagala ndio umeguswa na msiba.
 
Toka mume wake amefariki huko dubai alikuwepo sasa atakuwa alishalia sana na sasa ameanza kuikubali hali iyo pia ana watoto hawezi kuanza kuzimia zimia kila mara atawaumiza pia watoto.
Mimi mwanangu akiniona nalia huwa anachanganyikiwa anaanza kulia anatapika ,huku akiniomba mama acha kulia atashinda siku nzima amelala pembeni yangu
 
Kumbe Mengi watoto zake hawajampatia wajukuu hata mmoja.Basi si mlaumu Mengi kuzaa na Jack,mitoto mikubwa hata hawana watoto.
 
Toka mume wake amefariki huko dubai alikuwepo sasa atakuwa alishalia sana na sasa ameanza kuikubali hali iyo pia ana watoto hawezi kuanza kuzimia zimia kila mara atawaumiza pia watoto.
Mimi mwanangu akiniona nalia huwa anachanganyikiwa anaanza kulia anatapika ,huku akiniomba mama acha kulia atashinda siku nzima amelala pembeni yangu
Na yale madera ndiyo style za Lebanon?
 
Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.

Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .

Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .

By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.

Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.

Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

By warumi .
Msiwe mnafanya mawazo yenu ndio kila mtu anaona hivyo!
 
JF kama magazeti ya shigongo siku hizi
 
Back
Top Bottom