Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Samuel tuache bwana tufaidi matunda ya uhuruJF kama magazeti ya shigongo siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samuel tuache bwana tufaidi matunda ya uhuruJF kama magazeti ya shigongo siku hizi
Bora alivyoamua kujitafutia yeye mwenyewe watoto,yaani Mengi angekuwa baba angu ningegonga kopi za kutosha.Yule mzee aliona mbali miaka 100 ahead. Kwa wale watoto mjukuu si leo. Mtoto aliyekuwa na muelekeo wa kuoa na kusettle down ni Mutie.
Upuuzi mtupuKuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.
Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .
Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .
By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.
Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
By warumi .
mi nashindania wapi na wahenga kina skai...najisomeaga zangu nanyamaza twiiiSamuel tuache bwana tufaidi matunda ya uhuru
Kumbe na wewe ni wa Kike?Huna akili wewe, umeona mwisho wa thread nimeandika Jina gani ? , Sasa hata kama nikija na ID Mia so what ? , we hujitambui Kweli wewe, kwa hiyo unajukuta umeniumbua eeh ? Mxieew
Ninadhani huko lab aliwaambia wahakikishe ni mbegu za Y zimeingia. Na alioa ili wale twins wawe legitimised kama watoto wa ndoa.Bora alivyoamua kujitafutia yeye mwenyewe watoto,yaani Mengi angekuwa baba angu ningegonga kopi za kutosha.
What the problem with themYule mzee aliona mbali miaka 100 ahead. Kwa wale watoto mjukuu si leo. Mtoto aliyekuwa na muelekeo wa kuoa na kusettle down ni Mutie.
Wao ndio wamemsababisha mzee aoe uzeeni.Ninadhani huko lab aliwaambia wahakikishe ni mbegu za Y zimeingia. Na alioa ili wale twins wawe legitimised kama watoto wa ndoa.
Ninadhani huko lab aliwaambia wahakikishe ni mbegu za Y zimeingia. Na alioa ili wale twins wawe legitimised kama watoto wa ndoa.
50+ mbegu zinapunguza ubora chances za ku conceive naturally inapungua. Lakini usijaribu kwa bar made au house girl.Kwanini alipandikiza watoto mbona mzee alikuwa mtaalam wa hizo kazi
Huruma ya ku own two rich men one as a husband the other one as mchepuko?
Probably she is doing the same but with two broke niggas wanawake sijui kwanin hawapendan?Guess ni maisha yake hata kama ni kweli... you can do the same, hujakatazwa
Hussein ElementWho is the 2nd rich man,please!?
50+ mbegu zinapunguza ubora chances za ku conceive naturally inapungua. Lakini usijaribu kwa bar made au house girl.
Yule alikuwa the true definition ya mummy ‘s boy[emoji3]unanivunja mbavu boss ila mzee alikosea kuwadekeza watoto
Naamini wangekuwa na familia mzee angekuwa anawasikiliza sana ila kuishi kisela kulimsononesha mzee
Afu huyo wa kiume haishi tanzania mda mwingi yupo marekani