Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Yule mzee aliona mbali miaka 100 ahead. Kwa wale watoto mjukuu si leo. Mtoto aliyekuwa na muelekeo wa kuoa na kusettle down ni Mutie.
Bora alivyoamua kujitafutia yeye mwenyewe watoto,yaani Mengi angekuwa baba angu ningegonga kopi za kutosha.
 
kuna wamama ni wataalamu wa kulia na kugaragara misibani,huyo jacky yuko down to earth,what you see is what you get,,huwezi kulia kinafiki kama hujisikii kulia
 
Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.

Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .

Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .

By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.

Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.

Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

By warumi .
Upuuzi mtupu
 
Huna akili wewe, umeona mwisho wa thread nimeandika Jina gani ? , Sasa hata kama nikija na ID Mia so what ? , we hujitambui Kweli wewe, kwa hiyo unajukuta umeniumbua eeh ? Mxieew
Kumbe na wewe ni wa Kike?
 
Bora alivyoamua kujitafutia yeye mwenyewe watoto,yaani Mengi angekuwa baba angu ningegonga kopi za kutosha.
Ninadhani huko lab aliwaambia wahakikishe ni mbegu za Y zimeingia. Na alioa ili wale twins wawe legitimised kama watoto wa ndoa.
 
[emoji3]unanivunja mbavu boss ila mzee alikosea kuwadekeza watoto
Naamini wangekuwa na familia mzee angekuwa anawasikiliza sana ila kuishi kisela kulimsononesha mzee

Afu huyo wa kiume haishi tanzania mda mwingi yupo marekani
50+ mbegu zinapunguza ubora chances za ku conceive naturally inapungua. Lakini usijaribu kwa bar made au house girl.
 
Wabongo buana...huwa wanajifanaya wanajua kila kitu heheheh!!!

Sisi tuliowahi piga picha na Jac tujiandae tu kuwepo kwa front pages...
 
[emoji3]unanivunja mbavu boss ila mzee alikosea kuwadekeza watoto
Naamini wangekuwa na familia mzee angekuwa anawasikiliza sana ila kuishi kisela kulimsononesha mzee

Afu huyo wa kiume haishi tanzania mda mwingi yupo marekani
Yule alikuwa the true definition ya mummy ‘s boy
 
Back
Top Bottom