Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.

Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .

Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .

By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.

Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.

Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

By warumi .
Umekula mchana?
 
Yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe mjane mama machache!

Ila kwa jicho yakinifu kwa mliopima mtanielewa
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.
Hapa haitaji mtaji wa kuwezeshwa kuwa adui wa mwanamke mwenzake.
 
Askofu keshasema yule ni mke halali na walishatubu wakarudi kundini. Kuchepuka anachepuka mchungaji sembuse muumini jamanii?
 
Imebidi nicheke
Ameambiwa Wamachame watamsuta
Ukiangalia body language hata ya wanaombembeleza wanalazimisha tukio juu ya woga

Miwani, kilio kwa sauti mboni machozi siyaoni au ni mimi macho yangu...
Nilitegemea angekuwa nyambi nyambi lakini yupo poapoa
*** wants to get over it and move on.... It is what it is **** kuna mtu anawaza haya kwa mbaaali

Analia kislay queen jamani mambo ya kugaragara ni huko uswazi take away [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mke wa marehemu ana nguvu wala huhitaji mpambe asiyejiweza ni madame Rita

Huyua alia kapishana na gari ya mshahara alijuwa vizee vya kichaga kufa vigumu kumbe mzee hajachelewa mchaga wamanzese mzee Mengi kajiwahia zake
 
Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.

Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .

Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .

By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.

Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.

Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

By warumi .



Hornet njoo hapa....muwe mnaelewa maana ya neno mume au mke..unalala naye kila sk jaman ushindwe kulia?best sijakuelewa kbs
 
Zari , Jacky bure kabisa, sijawahi kuona mtu kafiwa Mme jeneza linashuka kaburini asidondoshe hata chozi.
 
Back
Top Bottom