Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais