Hafai....muongo muongo sana naye hasa kwenye hili dubwana na Richmond mbona anapigapiga chenga tu..kama kweli yeye ni PM si apeleke goma hilo bungeni na aliweke wazi...In short Pinda hafai na hata U PM aliupata basi tu.....
BILA SHAKA ANATUFAA JAPO KWAMIAKA MITANO TU. NAPENDA KUMKUMBUSHA TUMAIN KUWA RAIS MSTAAFU WA URUS AMBAYE SASA NI WAZIR MKUU YEYE HAJAWAH KUTUMIA COMPUTER WALA PIA KUPOKEA SIM YAN HANA SIM NA KAMA ATAKUMBUKA MWAKA FULAN ALIKUWA PERSON OF THE YEAR VIRADMIN PUTIN. NILAZIMA UJUWE UJANJA SIO KUWA NA SIM AU KUJUWA COMPUTER NILAZIMA UJUWE KUNA KAZ WATU HATA LAPTOP HAWARUHUSIW KUWA NAYO NILAZIMA UJUWE PINDA AME KUWA KATK IDARA ZA USALAMA KWA KIPINDI KIREFU HVYO ANAJUWA UBAYA WAKUTUMIA LAPTOP AU COMPUTER, WEL NAWEZA SEMA KAMA SISI WENYEWE HATUJAJUWA KUTENGENEZA LAPTOP AU COMPUTER HAIFAI VIONGOZ WETU KUZITUMIA MAANA USALAMA WA NCH NA MAL ZAKE UNAKUWA HATARIN NADHAN NISISEME SANA KTK HILI ILA NIKIWA KAMA MWANA HARAKAT NA MPIGANIA HAKI NA UHURU WA WATANZANIA NA MAL ZAO PINDA ANAFA KUWA RAIS AU MAGUFUL BILA SHAKA TAIFA LINGE PAA KIMAENDELEO. SHIME PINDA. God bless Tanzania and God bless Tanzanian. Thank u! Thank u.
Amechoka sana ukifika wakati huo, kiafya na kiakili
Besides uwezo wake ni mdogo kiakili na hata kiuchambuzi choka mbaya amesoma sheria hajui sheria, anabaki analia bungeni (anataka symphathy), swala makoti na matumizi ya serikali ..sentesi hizo tu zinaonyesha uwezo wake ni mdogo..therefore ni below standard
Hatuhitaji 2015 mtu ambaye computer hajawahi kutumia.
1. "Kutangaza mali ni hiari ya mtu, wala sheria haiku-demand (haikulazimishi) kutangaza mali. Sikuona ajabu; sikuona kitu cha ajabu kabisa kwa yeye (Pinda) kufanya hivyo. Yeye ni waziri mkuu amependa kufanya hivyo Okay! (sawa)."
2. Makinda ambaye pia ni mbunge wa Njombe Kusini alisema: "Sheria hainilazimishi kufanya hivyo, hiyo ni hiari na wewe huwezi kuniambia nifanye hivyo kwa sababu utakuwa umenilazimisha."
Dr Mwinyi
wakati mwingine waweza dhani una ufahamu kuliko wengine. huna tofauti na shabiki anayetazama mpira wa miguu na kuanza kukosoa uchezaji. kwako standard ni kumeza machungu na kuvaa tabasamu la mamba. kwa maoni yako, Obama ni below standars kwani alishalia hadharani. watu tusitumie hisia kutoa maamuzi, bali akili
Sasa kama sheria ipo lakini ni non binding kuna umuhimu gani wa kuwa na hiyo sheria? Ni kama vile mtu aseme kuna sheria ya "usiibe" lakini hainilazimishi kutoiba. Yaani hiyo sheria ilitungwa kufurahisha tu baraza?
Pinda ni muongo
mpaka sasa hivi siamini kuwa hata % kubwa yp JF wanakubali kuwa Pinda ana gari moja. its imposible ina maana pinda ni mzembe kiasi hicho? sio mjasiriamali? huyu ataiba au ni mwizi.