Hafai....muongo muongo sana naye hasa kwenye hili dubwana na Richmond mbona anapigapiga chenga tu..kama kweli yeye ni PM si apeleke goma hilo bungeni na aliweke wazi...In short Pinda hafai na hata U PM aliupata basi tu.....
Wewe unaonyesha una chuki binafsi. Huyu ndiye kiongozi muadilifu kuliko wote tulionao kwa sasa. Zaidi ya yote, ni msomi, ana confidence na ana uchungu na nchi yake. Tunataka viongozi wasio na tamaa ya utajiri bali wenye kiu ya maendeleo ya nchi yetu. Anafaa kuwa RAIS!