Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

aisee we ni kiazi...tajiri unayemuona amekopa ni hao unaowafamamu wewe na kunatrick watu hufanya kuonyesha wanamikopo kupunguza ukubwa wa kodi....tajiri unayemuona kakopa itakuwa amepata kandarasi kubwa kuliko uwezo wa mtaji wake hivyo ni kama anahamisha fedha abakie na fedha zaidi...wewe mtaji na mzunguko wako ni milioni 20 kwa mwaka...unakwenda kukopa m30 unafungwa mota urejeshe fedha na riba juu baada ya miaka miwili au mitatu unakuta ushapotea kabisa....watu hukopa pale anapozidiwa na wateja yaani demand imezidi supply yake anakwenda kuboost supply kwafedha zilizowekwa benk na wasio na mishe zao ennki wanachukua chao na yeye anabaki na chake...sasa wewe unapambana kupata wateja supply ipo chiini demand ipo chhini unaenda kukopa utakunya mavi ya blue...unashindwa kulipa ada unakwenda kukopa biashara ngumu unakwenda kukopa...watu wanakopa kuanzisha project ambazo demand ipo wazi yaani baada ya kukamilisha anapata fedha ya kurejesha na kubaki na faida...sio tena anaanza kukuza biashara ama nini...
 
Swali zuri ila naona hapa si pahala pake. Muone kama Covax anabwabwaja tu
 
Biashara zenye audited financial report ni 2% ya biashara zote Tanzania, na tayari ni kubwa hata kulipa mkopo sio issue kwao, ila nyingi zinazo hitaji mkopo ni informal hazina documents za biashara zaidi ya leseni tu.
Mkuu watu wanapenda kukopa hawajui mlolongo wa payment ,unatakiwa kabla hujasaini omba mpangilio wa malipo na ujue hadi mwisho unalipa shiling ngapi iterms of interest . Kuhusu hizo za informal bank hasa za hapa zinahuduma ya vikundi wanaweza kopa, tatizo watu sio waaminifu kulipa hiyo ni characters za watu.
 
Biashara ya pharmacy ni kuuza dawa, unaamini anaweza kujenga hotel au kuna dawa za kulevya pia.

Elewa hapa duniani kuna biashara za watu ni cover tu kuhaada watu source of income yake lakini income yake halisi siyo hiyo unayoiona wewe kwa macho.

Hata Rummy naye alikuwa anazuga na Pharmacy kumbe alikuwa anauza "BWIMBWI".
 
Hapa umeandika vizuri kabisa, hapo kwenye kuangalia mzunguko wako kuna kitu wanaita debt to income ratio yaani kiwango cha Deni unagawa kwa kipato chako cha mwezi (rejesho unagawa kwa mapato ya mwezi)
 
Jumamosi niliona kipindi kimoja StarTV, walikuwa wanamuhoji mwanafamilia/ afisa wa GSM kama ni vyema kuchukua mkopo au la.. Alichojibu kama mkopo ni kwa ajili ya kuendeleza biashara hilo ni jambo jema..Lakini kama mkopo ni kwa ajili ya matumizi ya maisha hilo si jambo jema.. Nafikiri hii ni loud and clear
 
Unapiga ulanzi Tu hapo Mzee wangu😂 kummake Malaya
 
Hii inajulikana, swali langu umesoma lakini? Nauliza benki ipi nzuri (masharti nafuu) kwa mikopo ya 15-100M na 100-500M
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…