Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

Hii inajulikana, swali langu umesoma lakini? Nauliza benki ipi nzuri (masharti nafuu) kwa mikopo ya 15-100M na 100-500M
Hapa lazima uende benki husika ... Range ya mkopo ni kubwa sana .. Mikopo kama 15 - 30 milioni, inashughulikiwa kwa urahisi na saccos na vikoba..... Masharti ya benki kukopa inategemea , unakopa kama mfanyabiashara au mfanyakazi watakuwa na masharti yao. Ambayo si rahisi kuyaweka hapa... Benki zote za biashara zinaweza kutoa mkopo huo.. Swala ni wewe , una qualify vipi, track record yako ya kipesa na unataka kukopa kwa kitu gani, kilimo, biashara mbalimbali.. Ukipitia benki mojamoja utapata picha.... Experience ya mtu mmoja wa hapa jukwani sidhani ni kipimo sahihi
 
Hapa lazima uende benki husika ... Range ya mkopo ni kubwa sana .. Mikopo kama 15 - 30 milioni, inashughulikiwa kwa urahisi na saccos na vikoba..... Masharti ya benki kukopa inategemea , unakopa kama mfanyabiashara au mfanyakazi watakuwa na masharti yao. Ambayo si rahisi kuyaweka hapa... Benki zote za biashara zinaweza kutoa mkopo huo.. Swala ni wewe , una qualify vipi, track record yako ya kipesa na unataka kukopa kwa kitu gani, kilimo, biashara mbalimbali.. Ukipitia benki mojamoja utapata picha.... Experience ya mtu mmoja wa hapa jukwani sidhani ni kipimo sahihi
Kabla hatujaenda huko benki tunataka kusikia testimonials? Kuna mtu amekopa sehemu na hatamani kurudi akishare hapa tunajifunza au nimekosea wapi ndugu?
 
Suala la mikopo lipo subjective kwa sababu kila mtu ana elimu na uzoefu wake na kwa kuongezea ni kuwa benki kama ABSA inakopesha vizuri as long as umecomply vizuri. Hizi benki kubwa kama CRDB, NMB, NBC nazo nipo vizuri ila tatizo ni kwamba zinazidiwa na demand ya huduma na wateja. Nimewahi kwenda kufanya application ya mkopo mdogo tu wa 36m ila process ya masaa 24 ilichukua zaidi ya wiki 3 mpaka pesa inasoma kwenye account.
 
Suala la mikopo lipo subjective kwa sababu kila mtu ana elimu na uzoefu wake na kwa kuongezea ni kuwa benki kama ABSA inakopesha vizuri as long as umecomply vizuri. Hizi benki kubwa kama CRDB, NMB, NBC nazo nipo vizuri ila tatizo ni kwamba zinazidiwa na demand ya huduma na wateja. Nimewahi kwenda kufanya application ya mkopo mdogo tu wa 36m ila process ya masaa 24 ilichukua zaidi ya wiki 3 mpaka pesa inasoma kwenye account.
Hongera, mkuu uko kwenye biashara au ajira? hao ABSA masharti yao yapoje
 
Hongera, mkuu uko kwenye biashara au ajira? hao ABSA masharti yao yapoje
Asante mkuu, nipo kwenye biashara full-time. Huko ABSA mashaeti yao kwa biashara ni lazima uwe na collateral, documents zote ziwe sawa na pia mkopo uwe ni wa kuendeleza biashara. Nilichopenda kwa hiyo benki ni kwamba hakuna adha ya mafoleni na pia customer service ipo vizuri. Isingekuwa mkopo wa awali nigekuwa na akaunti huko.
 
Uchumi wa kukopa ( uchumi feki ) ni uchumi wa mababiloni wanaotenda maovu kwenye anga la washenzi kama ilivyo kwenye kitabu cha "the richest man in Babylon".

Lakini "The richest man in Roma or Israeli ; akili asilia aliyopewa na Mwenyezi-Mungu ndio mtaji . Huu ni uchumi halisia au orijino kwenye anga la neema ya Mungu . The word "capital ( mtaji )" originated from a latin word "capitalis" which means " ...of the head(brain)." Capitis which means of or pertaining to the head ( brain ) . Maana rahisi ya Ubepari ( capital-ism) ni kutumia akili asilia iliyowekwa na Mwenyezi-Mungu kwenye ubongo toka wakati mtu anazaliwa .

Luka 12:34- Pale ilipo hazina yako ndipo pia utakapokuwa moyo wako .
 
Back
Top Bottom